Sasa mkuu hili tukio limetokea Nigeria, au na wewe ni wa huko? naona Kiswahili chako kimenyooka sanaHuyu jamaa namjua vizuri sana, Nyumbani kwao ni karibu na kwetu, kwa hyo historia yake yote naijua, alivyo kua mwanzo mpaka sasa alipo fikia, aliondoka kesho na ndege ya saa tano juzi kuelekea marekan karudi jana, kusema ukweli sina mengi ya kusema, huo ndio ukwel, historia yake ni ndefu sana nimeamua kuifupisha.
Hahaaa, timu kataa ndoa kapatikana leo.Picha ni Mwanandoa aliyezaa nje mtoto kisha hakumuoa huyo dada. Mwanamke aliyekua anamuoa alikuwa hajui kama ana mtoto nje.
Siku ya harusi wakati wa kutoa zawadi, mwanamama aliweka mtoto kwenye beseni kama zawadi.
View attachment 3018018
Hii ndio JF mkuu. ππππSasa mkuu hili tukio limetokea Nigeria, au na wewe ni wa huko? naona Kiswahili chako kimenyooka sana
Wavaa kobazi hawakawii kusema umedhalilisha vazi pendwa.
KayakanyagaHahaaa, timu kataa ndoa kapatikana leo.
π hii haijawai kutokeaHahaa safi sana
Sana mpaka kukaa kwenye kibeseniNa wamefanana....
Mpenzi wewe utakubali nikupe zawadi ya mtoto wangu na mpenzi wangu ephen_ ?πππππ
Honeymoon ishaingia doa tayari.Sura ya bibi harusi ina majibu ya kifuatacho,hapo ukute hajawahi sema hata ana mtoto ukweli kwenye mahusiano ni muhimu jmn hata kama umezaa watoyo 10sema tu.
Watoto ni baraka wapokee tu usinune mbele ya umati wa watu πUkute kwenye harusi yangu ntazawadiwa kama hivo vi nneπ₯²
Anyways watoto ni baraka.
Hiyo ni nigeria mkuuAsee Wapi Huko?
Sema waswahili wa Pemba hao
Tz hatuna ke wenye ujasiri huo.Tanzania hii hii mkuu?
Dakiiikaa za jiooooniiiiNa mkeka umechanika mpinzani tyr ana goli
Hatari sanaVita ya ndoa inaanza siku hiyo hiyo,sasa mpk mfikishe miaka 70 kuna ambae atakua hana sikio...
Sasa kama mtoto ni zawadi si ndio kampa zawadi baba yake jamani.Huyo Mwanamke nafuu aliachwa kwakuwa Hana Akili,Mtoto ni Zawadi Mungu anatupatia,huwezi ukamuweka hivyo.ndoa zinatangazwa,angeweza kuzuia kama alikuwa na madai Kuliko huo unyanyasaji Kwa Mtoto
AiseePicha ni Mwanandoa aliyezaa nje mtoto kisha hakumuoa huyo dada. Mwanamke aliyekua anamuoa alikuwa hajui kama ana mtoto nje.
Siku ya harusi wakati wa kutoa zawadi, mwanamama aliweka mtoto kwenye beseni kama zawadi.
View attachment 3018018