Sura ya bibi harusi ina majibu ya kifuatacho,hapo ukute hajawahi sema hata ana mtoto ukweli kwenye mahusiano ni muhimu jmn hata kama umezaa watoyo 10sema tu.
 
Sasa mkuu hili tukio limetokea Nigeria, au na wewe ni wa huko? naona Kiswahili chako kimenyooka sana
 
Sura ya bibi harusi ina majibu ya kifuatacho,hapo ukute hajawahi sema hata ana mtoto ukweli kwenye mahusiano ni muhimu jmn hata kama umezaa watoyo 10sema tu.
Honeymoon ishaingia doa tayari.
Ukute kwenye harusi yangu ntazawadiwa kama hivo vi nneπŸ₯²
Anyways watoto ni baraka.
Watoto ni baraka wapokee tu usinune mbele ya umati wa watu πŸ˜…
Asee Wapi Huko?
Hiyo ni nigeria mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…