Kuna familia moja ilikuwa na shoga huko walikuwa wanamficha balaa. Wabadilike kwanza wao ndio mambo mengine yatabadilika.Hawa wanafiki tu kazi hawataki kufanya kila siku chokochoko tu kwa wageni. Shoga akiwa mzanzibar sawa, akiwa mgeni kosa. Wabakaji wakubwa hawa, na hakuna sehemu inayoongoza tanzania kwa unyanyasaji wa kijinsia kama znz, sikiliza mawio kila siku asubuhi
Kiongozi mimi nimeishi huko miaka karibu 3 hivi ..vijana wengi hawafanyi kazi, nenda mchina mwanzo na pale uwanja wa jeshi ni SOGA tuuHuwa napata taabu mtu anapohusisha uvivu na Wazanzibari. Hili jambo husemwa kama nyimbo iliyozoeleka ila ni uongo.
Niwe na chuki na Mzanzibar ili zinisaidie nini ?? Naongea kwa ushahidi nilioona kwa macho yangu.UOVU hausemwi hapa nasema ili kuweka mambo sawa. Malaya wa kiarabu hata kariakoo mtaa wa Sikukuu wapo.Anajisemea tu kwa chuki zake binafsi mzanzibari na mtanganyika watu wawili tofauti. Amtafute uyo malaya wa kiarabu anaepatikana kisonge na cccm
Swala la Mchina na pengine popote haliakisi uvivu. Mimi pia nipo Bara. Hawa wanaoitwa wavivu ndo wafanyabiashara kiasi kwamba mtu akisema tu huyu ni Mzanzibari - maarufu Mpemba - basi wanasema huyo ana pesa. Hivi pesa hupatikana kwa uvivu?Kiongozi mimi nimeishi huko miaka karibu 3 hivi ..vijana wengi hawafanyi kazi, nenda mchina mwanzo na pale uwanja wa jeshi ni SOGA tuu
Serikali ya JMT imeleta faida gani Zanzibar?Serikali ya Zanzibar si ipo ? Kwanini haijaumaliza umasikini
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mbaguzi?Kwahiyo wewe ni mwarabu?
Sawa kwa hiyo umekubali wabantu asili yao ni bara siyo ZanzibarMkataa kwao ni mtumwa..kama wewe ni black jua kwenu ni kigoma na tabora..usijikute mwarabu.
#MaendeleoHayanaChama
Sasa muungano una faida gani?Kwa
Kwa hiyo unasubiri muungano umalize umaskini wa Zanzibar !?
Jang'ombe, Kikwajuni na Miembeni ndio usiseme.Kiongozi mimi nimeishi huko miaka karibu 3 hivi ..vijana wengi hawafanyi kazi, nenda mchina mwanzo na pale uwanja wa jeshi ni SOGA tuu
exceptionsSwala la Mchina na pengine popote haliakisi uvivu. Mimi pia nipo Bara. Hawa wanaoitwa wavivu ndo wafanyabiashara kiasi kwamba mtu akisema tu huyu ni Mzanzibari - maarufu Mpemba - basi wanasema huyo ana pesa. Hivi pesa hupatikana kwa uvivu?
wew jamaa ni lijinga sana..Sawa kwa hiyo umekubali wabantu asili yao ni bara siyo Zanzibar
".....akapewa milioni 3 akamaliza kesi tena akaikimbia Zanzibar akaenda Tanga ,kesi ikaisha"....Nafahamu kwamba Zanzibar haiwezi kujitenga na nchi nyingine Duniani, wala haiwezi kukataa mabadiliko ya maendeleo Duniani, lakini lazima kuwe na mipaka kulingana na utamaduni wa Visiwa hivyo.
Zanzibar iliingia kwenye sekta ya utalii kwa masilahi ya kukuza uchumi wake na sio vinginevyo.
Ingawaje wapo ambao badala ya kutumikia ipasavyo kwenye nafasi walizopewa wanakwenda Mrama na kusababisha dhumuni na malengo kutokufikiwa.
Katika sekta hii ya utalii na uwezekaji kuna kila sababu ya kufanya uchambuzi yakinifu kwa wageni wanaotaka kuwekeza.
Kwa mfano kuna kampuni moja ambayo umenunua maeneo mengi na makubwa ukanda huu kusini Paje na Jambini.
Mahotel yao yana jina linaloanzia na herufi P jina ambalo ni la aina ya kiungo tunachotumia kwenye chakula kama kuongeza ladha na kinawasha.
Sitaki kusema jina kamili maana watu hawa huwa na wanasheria wao tena wazawa wenyeji, hawa huwakingia Vifua na ukajikuta huna mtetezi.
Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar. Hawa ni waumini wa mapenzi ya jinsia moja na hata wageni wao ni wale matajiri wakubwa Duniani wanaokuja kustarehe na wapenzi wao.
Kama ni Mwanamke atakuja na mpenzi wake wa kike, kama ni Mwanaume atakuja na mpenzi wake wa kiume.
Vitendo vyao vinatisha haswa pale ninapoangalia mila na desturi zetu.
Ni kweli kwamba tunao hapa nchini wanaume WAPUMBAVU. . Nimetumia neno WAPUMBAVU kwasababu ndio linalotumika kama Tafsida visiwani. Kumaanisha Wanaume wanao jihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Hawa wageni WAPUMBAVU Sasa hivi wamevuka mipaka maana Sasa Wana Pati au sherehe ambayo hufanyika kwenye Hotel zao zote.
Sherehe hizo ni za wapenzi wapya! Lakini hata wale ambao wana sherehekea kudumu kwa Muda mrefu kwenye mahusiano yao.
Unajua mwanzo nilidhania labda sherehe hizo zinajumuisha wao kwa wao tu, yaani wageni.
Jambo la kusikitisha ni kwamba hata vijana wetu wadogo kabisa nao wanajumuika. 😢
Tulichunguze jambo hili 👇
Ajira kwenye kampuni hiyo imetoa kipaumbele kwa vijana wetu WAPUMBAVU. Kampuni hiyo ndio kimbilio lao maana wanasema hawapati ajira sehemu nyingine kirahisi.
Sio kwamba kila kijana wetu afanyaye kazi hapo anakuwa wa mrengo huo HAPANA.
Wapo wenye heshima zao na hata wanaokerwa na uhamasishaji wa Vitendo vya kishetani.
Nataka kusema kwamba kasi ya ununuaji wa maeneo ya kampuni hii, inatisha. Alafu wao sio kununua tu hata kukodi.
tatizo kubwa tulilonalo sisi Waafrika ni kutokuwa na umoja, ni vigumu Sana ku chukuliwa hatua hizo haswa pale tatizo linaporipotiwa na mtu anbaye huna fedha wala kujulikana popote.
Kwanza wanasheria wao ni wazawa utapata shida Sana.
Nakumbuka tukio la Mwanamke wa Kizanzibar kuvuliwa nguo yake ya ndani. . Na Mkuu wa kitengo ambaye ni mgeni.
Mwanamke huyu alikuwa ni msafisha vyumba Hotel ya The Residence. Kisa cha kuvuliwa nguo yake ya ndani eti kuna mgeni aliche check out siku mbili nyuma na alipofika kwao akawa haioni nguo yake ya ndani.
Jambo la aibu Sana, nguo ya ndani ya Mwanamke huyo alipovuliwa ikapelekwa Reception ikapigwa picha ikatumwa kwenye mtandao ili mgeni aione kwamba je hiyo ndio nguo yake?
Mgeni akajibu kwamba sio yake.
TAMWA Zanzibar ilipopata taarifa tukaja kuchukuliwa kwenda kupigania haki ya Mwanamke mwenzetu.
Yule Bosi alipoona vile akakimbia, uongozi ukamtumia Mwanasheria wao mzawa anbaye alikuwa kwenye chombo cha kutunga sheria.
Ujinga mkubwa alioufanya Mwanamke mwenzetu huyo pamoja na TAMWA kusimama kidete akarubuniwa na uongozi pamoja na Mwanasheria mzawa akapewa Milioni Tatu akamaliza kesi tena akakimbia Zanzibar akaenda Tanga kesi ikaisha.
Nitaendelea baadae Ahsante
You are too personal and less informed ....Hujui kuwa Zanzibar ndiyo inayoongozwa kwa vitendo vya ushoga katika ukanda huu? Hujui kuwa viongozi wa dini wengi ni washiriki wa ushoga hasa wale wenye asili ya mashariki ya kati?
Si wote ndugu yangu...Kuna sehem imeandikwa jf ni ya tanganyika? Raisi wako alivosema kama yeye ni Mzanzibar ungelikua una la kumjibu ungemwambiaje???
Sijui kwa nini hampendi tujinasibishe na uzanzibari wetu?
Kwa hiyo hivyo vitendo vibaya ulivyosema vinalindwa na imani za dini ?!!!Hawa wazanzibar wa aina hii wanajificha kwenye uislam lakini nataka nikwambie hawa ni wafiraji wakubwa sana! Hawa wanafiki wanajificha kwenye kuvaa kanzu na hijabu huku vyumbani mnafanya ufiraji! Acheni unafiki sheria ipo huyo mwekezaji atabanwa na atafata masharti kikamirifu!
Wamekuingizia ujinga nawe umejibu UJINGA Khaaaa😳😳🤣🤣Huyu ni mtanganyika alie create account akajinasibisha na uzanzibari l.
Ajielewe wapi.....Nchi ya uarabuni iwe na ardhi Africa kwa Wabantu?
Unajielewa wewe?
Duuuh wewe jamaa unashangaza sana....yaani muungano hauna faida?!!! Khaaa 😳😳🤣🤣Ndiyo umasikini upo na Muungano umeshindwa kuumaliza. Sasa Muungano una faida gani kwa Zanzibar?