Hii kolabo ya kijasusi kati ya mama na binti zao inakatisha sana tamaa vijana waoaji

Hii kolabo ya kijasusi kati ya mama na binti zao inakatisha sana tamaa vijana waoaji

Ninyi ni mafala, hapo mlitakiwa wanaume wooote muungane alafu mmoja amwambie mama mkwe nina shida fulani njoo baada ya hapo mngetokea wote mkamla mama na mwanae huku wakishuhudinana nyambafu
Haaahaaa umeandika kwa hasira sana.

btw unatafuta kesi ya ubakaji hapo
 
10m kadumu na huyo dem kwa kama miaka miwili hv.

Gawanya hio hela kwa miaka miwili ndo utaelewa, na kama unakaa mjini itakua rahisi zaidi kuelewa.

Personally simshangai sana
Mie namshangaa 5m per kila mwaka kwa Mwanamke ambaye hakuna cha ziada anachokupa zaid ya Sex ni ujinga.

Sema ukweli ww ushawah kuwapa Wazazi wako hicho kias cha pesa?

5m kwa Mwalimu wa serikalini ni mshahara wake wa Mwaka mzima.
 
Yaani mkuu,mkeo anakuja (baba flani,hali ya mtoto ni mbaya,kuna magonjwa mengi ya sana ya kike kike ni hatari na tungechelewa kidogo tabibu kasema angekufa) na hapa Dr keshapewa chake ili wewe ukija usijue uhalisia.

Kumbuka shughuli zako zimesimama.
Mimi ndo maana nauita huu ni UJASUSI, kolabo ya mama na binti yake ikikuamulia utajuta
 
Mie namshangaa 5m per kila mwaka kwa Mwanamke ambaye hakuna cha ziada anachokupa zaid ya Sex ni ujinga.

Sema ukweli ww ushawah kuwapa Wazazi wako hicho kias cha pesa?

5m kwa Mwalimu wa serikalini ni mshahara wake wa Mwaka mzima.
Kuna watu wanapenda. Huyo sio mimi siwezi mwongelea.

Unataka kusema hukusikia yule mmakonde alonunua range mbili hadi akazipa jina la malaya fln humu mjini aloliwa hadi na watoto wadogo?

Kuna wenzetu wanapenda kupitiliza
 
Kuna watu wanapenda. Huyo sio mimi siwezi mwongelea.

Unataka kusema hukusikia yule mmakonde alonunua range mbili hadi akazipa jina la malaya fln humu mjini aloliwa hadi na watoto wadogo?

Kuna wenzetu wanapenda kupitiliza
Ndio maana nikasema ni UJINGA.

Sijakataa kuwa hayo uliyoyaandika yametokea.

Msimamo wangu ni hapo. Huyo jamaa ni fala.
 
Ni marufuku mama mkwe kuomba pesa direct kwa mkwe,apitie kwa mwanae na huo ndio utaratibu,ila kutumiwa ndio anatumiwa direct kutoka kwa mkwe.

Kuzoeana na mama mkwe sio vyema kimadili
Wanaozoeana na mama wakwe zao wana moyo sana, tulio na fantasy za ajabu hatuwezi. Huyu jamaa kama angemuoa huyo binti basi angekuja kumla mama mkwe siku moja
 
Back
Top Bottom