Hii kolabo ya kijasusi kati ya mama na binti zao inakatisha sana tamaa vijana waoaji

Hii kolabo ya kijasusi kati ya mama na binti zao inakatisha sana tamaa vijana waoaji

Wanaume hasa vijana wamekuwa wasanii wasanii sana kuchezea mabinti zetu, sasa tulichofanya sisi baba zao ni kuwashirikisha wake zetu wawe makini sana na hawa vijana matapeli.

Kwa hiyo ukiona mfumo wa kolabo kati ya mama na binti yake basi tambua kwamba na mie mandigi tumo kwenye background.

alaaaa.
 
Wanaume hasa vijana wamekuwa wasanii wasanii sana kuchezea mabinti zetu, sasa tulichofanya sisi baba zao ni kuwashirikisha wake zetu wawe makini sana na hawa vijana matapeli.

Kwa hiyo ukiona mfumo wa kolabo kati ya mama na binti yake basi tambua kwamba na mie mandigi tumo kwenye background.

alaaaa.
Mhhh.! Hii inasikitisha
 
Nyuz za hivi muhimu sana kuwakumbusha vijana wasiajiachie sana na waache kutafuta sifa za kijinga ukweni. Watafte sifa Kwa sababu maalum tu[emoji4]
Ila ukiwa unasifika ukweni unajua sometimes ni advantage kwa mwanaume, kwanza utawakula sana humo,

Na inasaidia kuongeza wivu kwa mke wako ili asichezee mahusiano yenu.
 
Wanaume hasa vijana wamekuwa wasanii wasanii sana kuchezea mabinti zetu, sasa tulichofanya sisi baba zao ni kuwashirikisha wake zetu wawe makini sana na hawa vijana matapeli.

Kwa hiyo ukiona mfumo wa kolabo kati ya mama na binti yake basi tambua kwamba na mie mandigi tumo kwenye background.

alaaaa.
Jua pia vijana watakumegea mkeo na bintiye kaa chonjo mkuuu
 
Ww sio baharia.Fullstop.Matumizi ya pesa kwa pisi unayoelewa sio issue,Issue ni kufikiri ww ni kidume.Iko hivi ukipenda demu ukamuelewa hudumia ila usidhani wala kuamini uko mwenyewe.Tuko wengi na vipaji tofauto.na kuna mabaharia OG
 
Ww sio baharia.Fullstop.Matumizi ya pesa kwa pisi unayoelewa sio issue,Issue ni kufikiri ww ni kidume.Iko hivi ukipenda demu ukamuelewa hudumia ila usidhani wala kuamini uko mwenyewe.Tuko wengi na vipaji tofauto.na kuna mabaharia OG
Hujasoma story ukaielewa.
 
Eti mtoto wa mjini halafu unapigwa m10 kizembe hivyo
Nyie washamba wa hela tu, 10 m kwa miaka miwili ni karibu wastan wa 420k kila mwezi.

Kwa mtu alokua ameamua kuoa kwenye hio family na uzuri wa huyo binti hio ni hela ya kawaida saaaaana
 
Wanaozoeana na mama wakwe zao wana moyo sana, tulio na fantasy za ajabu hatuwezi. Huyu jamaa kama angemuoa huyo binti basi angekuja kumla mama mkwe siku moja
Yah maana mkishapeana pesa lazima atakueleza na shida yake,kuna muda utamsaidia pesa na ushauri,hapo mtazidi kuwa karibu.

Ma mama wa namna hiyo lazima ni hawa wa mjini mjini,sasa kifuatacho hapo lazima shetani asingiziwe
 
Ukitaka Kujua tabia za binti alizozificha mtizame mama yake mzazi alivyo.

Binti ambaye mama yake sio mkali mkali ni kimeo. Mama mtu makini hawezi kutambulishwa kwa mpenzi wa binti yake. Yaani mzinifu wa binti yake anaanzia wapi kuwa na urafik na mzazi
Miaka hiyo nilikuwa na mmoja huyo ana dada yake sasa huyo dada yake ana lijamaa hilo linaenda kwao mpaka linalala kabisa halafu mama mtu Wala haongei chochote, nilikuwa na mpango wa kuoa kabisa ila nilivyoshuhudia hilo niliruka futi mia
 
Back
Top Bottom