Hii kusema "huko kwa kina Kassim" ina maana gani?

😅
Dear passengers, its your hostess "MERCIFUL"
We are passing above clouds and turbulence, kindly fasten your seatbelt and straighten your seats!
It's going to be a bumpy ride!!
Yaani kama ni safari ya boat tuko Nungwi
 
Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Naona ana mpango wa kukwepa kinyang'anyiro cha ndani ya chama, ubabe wa jiwe unajirudia 2025.....ndo maana ya kusema hii ni awamu ya sita ili tupitishwe bila kupingwa kwenye kipindi cha pili cha awamu ya sita, bhagosha.....
 
Naenjo naenjoy sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…