Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Hapo ulikuwa unategwa wewe ila bora ulivyoshtuka.Pitapita zangu maeneo ya town nikaona bango kubwa linalohusu mkopo wa bajaji na pikipiki nikaamua isiwe shida ngoja nijisogeze yaliyojiri ni kama yafuatayo;
Aina ya bajaji ni RE
Kianzio cha mkopo ni 700,000 na marejesho kwa siku ni 28,000 kwa miaka miwili inamaana hapa ndani ya miaka miwili unarejesha zaidi ya 20 milion aisee huu ni unyonyaji wa hali ya juu
Halafu nimekutana na jamaa pale ndo anatoa hiyo pesa anafurahi na kusema marejesho ya elfu 28,000 kwa siku kwake haisumbui huyu jamaa atakuja juta baadaeView attachment 3115668
Nilijikuta ninanunua bajaji baada ya kuambiwa kwamba ya mkopo kianzio ni milioni 1 halafu rejesho ni elfu 22 kwa siku.
Nilichokifanya niliongeza laki 5 na kupata milioni 1.5 nikanunua bajaji used na kuirekebisha kwa laki 5.
Kijana kama unaweza kuwa na laki 7 au milioni ya kianzio cha mkopo wa bajaji basi unaweza ukajiongeza ukanunua bajaji used.
Namba B ni 1.3-2.3m
Namba C ni 2.5-3.5m
Namba D 4-5.5m
Mwambieni Mama samia awakopeshe bure bila riba...yaani ukae na hela ya mtu miaka miwili unataka irudi kama ilivyo ? Hapo nusu ya hizo bajaj zitapotea kimazingira sababu ya utapeli wa watanzania halafu zilizobakia ndio faidaPitapita zangu maeneo ya town nikaona bango kubwa linalohusu mkopo wa bajaji na pikipiki nikaamua isiwe shida ngoja nijisogeze yaliyojiri ni kama yafuatayo;
Aina ya bajaji ni RE
Kianzio cha mkopo ni 700,000 na marejesho kwa siku ni 28,000 kwa miaka miwili inamaana hapa ndani ya miaka miwili unarejesha zaidi ya 20 milion aisee huu ni unyonyaji wa hali ya juu
Halafu nimekutana na jamaa pale ndo anatoa hiyo pesa anafurahi na kusema marejesho ya elfu 28,000 kwa siku kwake haisumbui huyu jamaa atakuja juta baadaeView attachment 3115668
Na hapo umepiga siku 365 hujaweka ile Robo.Milioni 21 na ushee hapo ndani ya miaka miwili kwa biashara ya bajaji hutuboiView attachment 3115670
Bajaji kwa mkoa wa Mbeya wanarudisha vizuri tu huo mkopo..
Mkuu achana nao usiwasanue sana, Mtu m bishi muacha hvo hvo, si ipendi riba hata chembe, maana yake hyo bajaji within 2 years iyo bajaji isha choka na kuchoka, itabidi uanze ku weka sawa, it's too bitter, maana hiyo bajaji lazima iende mwendo wa ngiri,Mkuu mm nilifika ofisini kwao hicho nilichoandika kwenye bandiko sijaongeza chumvi ni kile nilichoanbiwa na mtoa huduma na nilikuta jamaa wanalipa huku wakidai hiyo hesabu inawezekana kwa siku
Sina lengo la kuwaharuibia biashara hawa jamaa
Kijiwe siyo kizuri. Kikubwa nimejiunga Bolt na Farasi.Hongera kwa uthubutu, vipi kuhusu kijiwe ulichopo kwa siku unalaza kiasi gani baada ya makato yote. Nahitaji kuingia kwenye hiyo sekta kama huto jali naomba unitafutie hiyo chombo namba D iliyo simama.
Mwache ajaribu...hakuna mkopo wa bure
Aisee nilikua na wazo hili, ila dah!Milioni 21 na ushee hapo ndani ya miaka miwili kwa biashara ya bajaji hutuboiView attachment 3115670
Nilikua na wazo hili ila duuuh! Aisee! Ni hatari si thubutu! Nakumbuka niliingia mkopo wa sola kipindi fulani kwa elfu 3 kwa siku 🤣🤣🤣🤣 kwa miaka miwili, sitokaa ni sahauMilioni 21 na ushee hapo ndani ya miaka miwili kwa biashara ya bajaji hutuboiView attachment 3115670
Kijiwe siyo kizuri. Kikubwa nimejiunga Bolt na Farasi.
Ila pia ninafanya research ya vijiwe venye hela.
Eeh wadanganye hivyo hivyo,Bajaj yenyewe ni RE hiyo mpaka anamaliza huu utumwa haitakaa miaka miwili haijafaHiyo kampuni marejesho sio 28,000 ni 27,714 ambapo kwa wiki ni 194,000 faida yake ikiharibika wanatengeneza wenyewe kwa kipindi chote cha mkataba 2yrs. Kuna kampuni rejesho ni 31,200 na kila kitu ni kwa dereva.
Hii inafanyika hata kwa maboss wa mtaani na ni kawaida kabisa walio katika kiwanda hiki wanajua ndio maana kelele hamna.
Kwa kiasi flani haya makampuni yamekuwa mkombozi kwa watu kwasababu maboss wa mtaani manyanyaso yalikuwa makubwa sana kwa madereva wengine wanasubiria mkataba unataka kuisha anakutafutia makosa anakunyanganya chombo
Eeh wadanganye hivyo hivyo,Bajaj yenyewe na RE hiyo mpaka anamaliza huu utumwa haitakaa miaka miwili haijafaHiyo kampuni marejesho sio 28,000 ni 27,714 ambapo kwa wiki ni 194,000 faida yake ikiharibika wanatengeneza wenyewe kwa kipindi chote cha mkataba 2yrs. Kuna kampuni rejesho ni 31,200 na kila kitu ni kwa dereva.
Hii inafanyika hata kwa maboss wa mtaani na ni kawaida kabisa walio katika kiwanda hiki wanajua ndio maana kelele hamna.
Kwa kiasi flani haya makampuni yamekuwa mkombozi kwa watu kwasababu maboss wa mtaani manyanyaso yalikuwa makubwa sana kwa madereva wengine wanasubiria mkataba unataka kuisha anakutafutia makosa anakunyanganya chombo
Wanafanikiwa sana,ni eneo tu ulipatieBiashara ya bajaji ni nzuri kwa kusimuliwa tu 🤣 ingia mchezoni uone balaa lake
Sawa sawaWanafanikiwa sana,ni eneo tu ulipatie
Wacha wapigwe. Watanzania ni wajinga wajinga sana.Ukiwa na akili timamu huwezi kufanya huo ujinga.
Hiyo laki saba bora ajiongeze kidogo achukue bodaboda tu.
Bajaji moja unanunua kwa bei ya bajaji 3.
Ajira za nini? Nchi ina kila raslimali. N uongozi tu mbovu. Piganeni muwe na viongozi wazuri kwanza na msiache viongozi au chama kitawale muda mrefu. Kuwe na mashindano. Bajaji siyo suluhisho kwani kila siku zinazidi kuingia mpya mtaani na wateja hawaongezeki kwa kasi. Itafika kipindi bajaji haitaingiza hata elfu 5 kwa siku.Ajira hazipo, tufanyeje?
Kukaa bila kazi hatuwezi...