Hii nchi imegawanywa kuanzia kipindi cha Magu, Samia anaendeleza dhambi hiyo kuhusu ujenzi wa miundo mbinu

Hii nchi imegawanywa kuanzia kipindi cha Magu, Samia anaendeleza dhambi hiyo kuhusu ujenzi wa miundo mbinu

Doslamari

New Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
4
Reaction score
1,499
Ndugu zangu watanzania wenzangu nchi hii si moja, hakuna usawa ktk ujenzi wa miundo mbinu. Mwezi wa 8 nilisafiri kutokea Arusha kwenda Dodoma kupitia Kiteto.

Kiteto ni wilaya ndani ya mkoa wa Manyara. Ukitokea Arusha unapitia mji wa Orkesumet ambao ni makao makuu ya wilaya ya Simanjiro. Hilo basi nililopanda lilijaa kupitiliza kuanzia ofisini, hata pa kusimama ilikuwa ngumu bado njiani haiachi mtu. Kulikuwa na basi moja tu kampuni ya Simanjiro Express.

Barabara ni mbaya sana, ni vumbi na mashimo. Hutaamini km maeneo yale watu wanajua maana ya uhuru. Kule bado ni Tanganyika. Kutokea Kiteto kwenda Dodoma kuna njia 2, moja kupitia Kongwa na ya pili kupitia Izava(Kondoa).

Barabara kuu ni kupitia Kongwa kwa Ndugai. Kiteto ni eneo la kimkakati, ni wilaya ya uzalishaji mkubwa wa nafaka, inaunganisha ukanda wa kaskazini na kanda za kati na mashariki mwa nchi. Kutokea Kiteto unaenda Dsm na Tanga kupitia Mkata, unaenda Turiani(Morogoro), unaenda Dodoma, unaenda Babati na kwenda Arusha.

Utashangaa ndani ya nchi moja kuna maeneo kumejengwa madaraja ya njia 4 juu ya maji. Kuna maeneo kuna miundo mbinu ya barabara ya lami, reli ya MGR na kuna reli ya SGR. Ndani ya nchi hii moja. Kuna ubaguzi na uonevu mkubwa sn nchi hii. Mkoa wa Manyara uko nyuma sana kimiundo mbinu umepuuzwa pamoja na kwamba ni mkoa wa uzalishaji mkubwa.

Nani wa kuwasaidia hawa watu.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu nchi hii si moja, hakuna usawa ktk ujenzi wa miundo mbinu. Mwezi wa 8 nilisafiri kutokea Arusha kwenda Dodoma kupitia Kiteto. Kiteto ni wilaya ndani ya mkoa wa Manyara. Ukitokea Arusha unapitia mji wa Orkesumet ambao ni makao makuu ya wilaya ya Simanjiro. Hilo basi nililopanda lilijaa kupitiliza kuanzia ofisini, hata pa kusimama ilikuwa ngumu bado njiani haiachi mtu. Kulikuwa na basi moja tu kampuni ya Simanjiro Express. Barabara ni mbaya sana, ni vumbi na mashimo. Hutaamini km maeneo yale watu wanajua maana ya uhuru. Kule bado ni Tanganyika. Kutokea Kiteto kwenda Dodoma kuna njia 2, moja kupitia Kongwa na ya pili kupitia Izava(Kondoa). Barabara kuu ni kupitia Kongwa kwa Ndugai. Kiteto ni eneo la kimkakati, ni wilaya ya uzalishaji mkubwa wa nafaka, inaunganisha ukanda wa kaskazini na kanda za kati na mashariki mwa nchi. Kutokea Kiteto unaenda Dsm na Tanga kupitia Mkata, unaenda Turiani(Morogoro), unaenda Dodoma, unaenda Babati na kwenda Arusha. Utashangaa ndani ya nchi moja kuna maeneo kumejengwa madaraja ya njia 4 juu ya maji. Kuna maeneo kuna miundo mbinu ya barabara ya lami, reli ya MGR na kuna reli ya SGR. Ndani ya nchi hii moja. Kuna ubaguzi na uonevu mkubwa sn nchi hii. Mkoa wa Manyara uko nyuma sana kimiundo mbinu umepuuzwa pamoja na kwamba ni mkoa wa uzalishaji mkubwa. Nani wa kuwasaidia hawa watu.
Kwa hiyo Magu ndiyo anahusika na kuwa nyuma hiyo mikoa kama kichwa cha Habari ?
 
Kifikra za kujenga nchi Magufuli alikuwa mfano wa third word (aina maana hakuwa na ushamba wa ukabila katika teuzi zake)

Kuendekelea kifikra anahitajika mtu mkali zaidi ya Magufuli.

Shida ya Tanzania ni low standard za expectations na quality ya uongozi. Na kudhani safari ya mabadiliko ni rahisi.

Kwa mazoea ya Tanzania hasa kwa fikra za wazee wa CCM, siasa za upinzani, akili za vyombo vya habari na wanasiasa wa Tanzania; bado sana (kwa pamoja hawa watu wenye jukumu la kuchagiza maendeleo wengi wao hawana know-how skills za majukumu yao).

Hakuna maendeleo hapo miaka 800.

It’s never gonna happen, Tanzania ni nchi inayoongozwa na wajinga na yenye wananchi wajinga (sio wote, Iła asilimia kubwa).


Kama nchi haitoboi kamwe bila ya kupata kiongozi ambae ni better version ya Magufuli.

Akili za watanzania ni so shallow, zina reflect umaskini wa nchi ilipo. Nchi haipo hapo kwa bahati mbaya bali ni uwezo mdogo wa viongozi.

Maamuzi ya hovyo nchi hii serikali inayofanya na uwezo mdogo wa watu wanaofanya hayo maamuzi; hayo mambo hayawezekani nchi zilizoendelea kamwe.

Tusione vinaelea kwa wenzetu, vimeundwa
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu nchi hii si moja, hakuna usawa ktk ujenzi wa miundo mbinu. Mwezi wa 8 nilisafiri kutokea Arusha kwenda Dodoma kupitia Kiteto. Kiteto ni wilaya ndani ya mkoa wa Manyara. Ukitokea Arusha unapitia mji wa Orkesumet ambao ni makao makuu ya wilaya ya Simanjiro. Hilo basi nililopanda lilijaa kupitiliza kuanzia ofisini, hata pa kusimama ilikuwa ngumu bado njiani haiachi mtu. Kulikuwa na basi moja tu kampuni ya Simanjiro Express. Barabara ni mbaya sana, ni vumbi na mashimo. Hutaamini km maeneo yale watu wanajua maana ya uhuru. Kule bado ni Tanganyika. Kutokea Kiteto kwenda Dodoma kuna njia 2, moja kupitia Kongwa na ya pili kupitia Izava(Kondoa). Barabara kuu ni kupitia Kongwa kwa Ndugai. Kiteto ni eneo la kimkakati, ni wilaya ya uzalishaji mkubwa wa nafaka, inaunganisha ukanda wa kaskazini na kanda za kati na mashariki mwa nchi. Kutokea Kiteto unaenda Dsm na Tanga kupitia Mkata, unaenda Turiani(Morogoro), unaenda Dodoma, unaenda Babati na kwenda Arusha. Utashangaa ndani ya nchi moja kuna maeneo kumejengwa madaraja ya njia 4 juu ya maji. Kuna maeneo kuna miundo mbinu ya barabara ya lami, reli ya MGR na kuna reli ya SGR. Ndani ya nchi hii moja. Kuna ubaguzi na uonevu mkubwa sn nchi hii. Mkoa wa Manyara uko nyuma sana kimiundo mbinu umepuuzwa pamoja na kwamba ni mkoa wa uzalishaji mkubwa. Nani wa kuwasaidia hawa watu.
Miundombinu sasa inajengwa walipotokea viongozi wakubwa mfano huko Kizimkazi sports academy ya kimataifa imejengwa na uwanja wa mpira wa kimataifa na mengi megine. Lindi ndio wamejenga campus mbili za UDSM, bandari ya Kilwa, uwanja wa mpira na karibu vyote vipo Ruangwa nyumbani kwa Majaliwa.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu nchi hii si moja, hakuna usawa ktk ujenzi wa miundo mbinu. Mwezi wa 8 nilisafiri kutokea Arusha kwenda Dodoma kupitia Kiteto. Kiteto ni wilaya ndani ya mkoa wa Manyara. Ukitokea Arusha unapitia mji wa Orkesumet ambao ni makao makuu ya wilaya ya Simanjiro. Hilo basi nililopanda lilijaa kupitiliza kuanzia ofisini, hata pa kusimama ilikuwa ngumu bado njiani haiachi mtu. Kulikuwa na basi moja tu kampuni ya Simanjiro Express. Barabara ni mbaya sana, ni vumbi na mashimo. Hutaamini km maeneo yale watu wanajua maana ya uhuru. Kule bado ni Tanganyika. Kutokea Kiteto kwenda Dodoma kuna njia 2, moja kupitia Kongwa na ya pili kupitia Izava(Kondoa). Barabara kuu ni kupitia Kongwa kwa Ndugai. Kiteto ni eneo la kimkakati, ni wilaya ya uzalishaji mkubwa wa nafaka, inaunganisha ukanda wa kaskazini na kanda za kati na mashariki mwa nchi. Kutokea Kiteto unaenda Dsm na Tanga kupitia Mkata, unaenda Turiani(Morogoro), unaenda Dodoma, unaenda Babati na kwenda Arusha. Utashangaa ndani ya nchi moja kuna maeneo kumejengwa madaraja ya njia 4 juu ya maji. Kuna maeneo kuna miundo mbinu ya barabara ya lami, reli ya MGR na kuna reli ya SGR. Ndani ya nchi hii moja. Kuna ubaguzi na uonevu mkubwa sn nchi hii. Mkoa wa Manyara uko nyuma sana kimiundo mbinu umepuuzwa pamoja na kwamba ni mkoa wa uzalishaji mkubwa. Nani wa kuwasaidia hawa watu.
Mkuu pamoja na hizi changamoto ulizoeleza, niombe connection ya kununua shamba maeneo ya Izava, karibia na kale kamji.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu nchi hii si moja, hakuna usawa ktk ujenzi wa miundo mbinu. Mwezi wa 8 nilisafiri kutokea Arusha kwenda Dodoma kupitia Kiteto. Kiteto ni wilaya ndani ya mkoa wa Manyara. Ukitokea Arusha unapitia mji wa Orkesumet ambao ni makao makuu ya wilaya ya Simanjiro. Hilo basi nililopanda lilijaa kupitiliza kuanzia ofisini, hata pa kusimama ilikuwa ngumu bado njiani haiachi mtu. Kulikuwa na basi moja tu kampuni ya Simanjiro Express. Barabara ni mbaya sana, ni vumbi na mashimo. Hutaamini km maeneo yale watu wanajua maana ya uhuru. Kule bado ni Tanganyika. Kutokea Kiteto kwenda Dodoma kuna njia 2, moja kupitia Kongwa na ya pili kupitia Izava(Kondoa). Barabara kuu ni kupitia Kongwa kwa Ndugai. Kiteto ni eneo la kimkakati, ni wilaya ya uzalishaji mkubwa wa nafaka, inaunganisha ukanda wa kaskazini na kanda za kati na mashariki mwa nchi. Kutokea Kiteto unaenda Dsm na Tanga kupitia Mkata, unaenda Turiani(Morogoro), unaenda Dodoma, unaenda Babati na kwenda Arusha. Utashangaa ndani ya nchi moja kuna maeneo kumejengwa madaraja ya njia 4 juu ya maji. Kuna maeneo kuna miundo mbinu ya barabara ya lami, reli ya MGR na kuna reli ya SGR. Ndani ya nchi hii moja. Kuna ubaguzi na uonevu mkubwa sn nchi hii. Mkoa wa Manyara uko nyuma sana kimiundo mbinu umepuuzwa pamoja na kwamba ni mkoa wa uzalishaji mkubwa. Nani wa kuwasaidia hawa watu.
Bado mnasota na marehemu kila uchao?, pathetic iko siku utabanduliwa wewe na mkeo utasema ni Magufuli kawabandua
 
Back
Top Bottom