8. Wengi mafurushi.
Jiandae mtoa mada kuoga mapovu ya kutosha.
Wanaume wa Jf wanaishi kwenye sayari ambayo haipo duniani. Huku mtaani hawapo wa aina yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni wa kawaida ila wenzako wengi hawaexist huku mtaani
nenda sheli mwamba siku hizi hadi milioni 4 una push ndinga vijana waache kulalamika pigeni kaziYani tupigike mtaani na huku kwa mtandao tupigike piaa??? Haiwezekanii subiri niingie lake oil hapa nitarudiii[emoji23][emoji23][emoji23]
Hornet
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijamaanisha hivyo, usiniwekee Maneno, nimetoa mfano wa Matumizi ya Computer na Internet miaka ya 2000.
nenda sheli mwamba siku hizi hadi milioni 4 una push ndinga vijana waache kulalamika pigeni kazi
HahaahahahahhaaahahahaHahahaa. Lakini cha ajabu kwenye hizo nyuzi za aina hiyo watu ndio wanajaa mbaya kuonyesha kwamba hizo kamba ndio burudani kwao
Unateseka tunavyojua?Hakuna wasilolijua yote wanayajua wao kuanzia mapenzi, siasa na mambo yote ya maisha.
Case closed..mleta mada unalingine?Tulio wengi sisi sio vijana wadogo, tumetoka mbali, Angalia ID zote zenye miaka mingi ni watu wazima sisi.
Wengi ni watu wenye nafasi katika Jamii.
Lakini pia enzi zile computer zilikuwa maofisini kwa watu maalum,Watu walioweza kuwa na access na JF walikuwa watu wa aina fulani tu,Nakumbuka mahali nilipokuwa miaka ya 2000-2003 Computer zilikuwa 2 tu Wilaya nzima, ya ofisini kwangu Mimi na idara nyingine kulikuwa na Expert, naye huyo expert mara nyingi alikuwa anakuja ofcn kwangu kupata huduma ya Internet, ilikuwa ili huwezi kupata connection lazima uwe na line ya simu.
Sasa na sisi mashemeji halisi ndo hataki tuzungumzie Hali zetu?? Eboo!Mkuu usitishike, mbona tupo tunaokaa kwa shemeji
Cc chaliifrancisco
ID ya kike mmiliki mwanaumeHahaha sagna ni hatari na tumacho tudogoooo
Uliza wanaojua watakujibu mm nitakuchosha tu