Hii ndio orodha ya majiji mazuri zaidi Tanzania

Hii ndio orodha ya majiji mazuri zaidi Tanzania

Arusha stendi ya mabasi ya mikoani mpaka leo ni ndogo ile ya mjini, Ni jiji zuri kwa watalii na matajiri wanaotumia ndege wanatua Uwanja wa Kia, Mbeya kuna stendi za maana kwa watu wa kawaida na uwanja wa Ndege upo kwa wenye uwezo.

Arusha kielimu ipo nyuma kuna chuo kikubwa kimoja tu cha uhasibu (IAA) hata shule ya english za serikali sidhani kama ipo, Ukienda Mbeya kuna utitiri wa vyuo kama 12 hivi, Shule za kiingereza zipo nne za serikali, Private ndio usiseme ni utititiri, Arusha inawafaa wenye pesa zao wanasomesha zile shule za Braeburn milioni 30 kwa mwaka

Arusha kuna uhalifu wa hali ya juu, Huwezi linganisha na Mbeya

Arusha kuna mzunguko mdogo wa pesa, Matajiri ni wengi lakini vyanzo vyao vya pesa ni migodi ya nje ya mkoa. sio ndani ya Arusha.

Naishia hapo ila kuna mengi zaidi
Mara yako ya mwisho kufika Arusha ni mwaka gani mkuu?
Unaulizia shule ya Serikali ya English medium Arusha? Ipo. Inaitwa Arusha School.

Vyuo je?
1. Arusha Technical
2. Arusha University
3. Nelson Mandela University
4. Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru
5. Chuo cha Mifugo Tengeru
6. Mt. Meru University
7. Eastern and Southern African Management Institute - ESAMI (hiki ni Chuo cha Kimataifa, wanaopitia pale wanapata exposure kubwa sana)
8. Makumira University
9. Tanzania Military Academy(TMA)

Havijatosha tu? Au niendelee kuvitaja na vingine? Bado vipo vingi tu.
 
Hata hujielewi unachoandika unavosema airport tunatumia KIA kwan hujui huo uwanja uko km 40 tu kutoka city centre ya arusha au ulivoskia Kia ukajua ni kama mwanza na bukoba
Bado hapo kuna airport ndogo ya arusha na yenyewe inapanuliwa na ndio ya pili kwa miruko mingi ya ndege na upo mjini kuna route zote local kwenda dar, zanzibar etc na air tanzania inatua uwanja mdogo wa arusha na jengo lake la abiria limeshakamilika
* Unasema hata shule za English medium za serikali hujui kama zipo unaonyesha wewe sio mtu wa data ni mtu wa kuchkua stori za vijiweni na kuzileta jamii forums 😄
*Arusha school ndio shule kubwa ya English medium ya serikali nchini na wamesoma watu wengi wazito ikiwemo mohamed dewji
*Arusha jiji ndio inaongoza kwa ufaulu kwa miaka zaidi ya mitano mfululizo we huogopi
*Sekondari kuna ilboru na kisimiri zote za serikali na kila mwaka zipo top 10
* Arusha ndio mji wenye International community kubwa nchini
*Arusha ndio mji wenye taasisi nyingi za kimataifa
*Makao makuu ya Afrika mashariki
*Mahakama ya Afrika
*Kuna International Schools zaidi ya 10
*Kuna kambi za jeshi zaidi ya 4
*Kuna mahoteli na supermarkets za kila kada, Kuna migahawa ya brands za kimataifa ambazo zipo dar tu kama pizza hut, KFC na subway
*Ndio mji namba mbili kwa makusanyo ya TRA nyuma ya Dar
*Ndio mji namba mbili kwa majengo mengi ya ghorofa
Sasa kaa hapo kijiweni mdanganyane arusha kuna chuo kimoja ni kichekesho 😆 yani jiji la kimataifa liwe na chuo kimoja?
Kuna ESAMI hichi ni chuo cha Afrika kinatoa masters tu, kuna Ms Tcdc, kuna tumaini makumira main campus, kuna arusha technical college, kuna tma, kuna duluti kuna ustawi wa jamii tengeru nikianza kuvitaja hatutamaliza leo bado kuna Nelson Mandela University hapo bado Aghakhan wana eneo la kujenga chuo kikubwa Afrika
Hali ya hewa ya arusha ndio best tanzania 🇹🇿 hakuna baridi ya kupausha kama mbeya wala joto
*Hatuhitaji maoni yenu kujua kama arusha ni bora mji ambao unamikutano ya kimataifa kila kukicha arusha ndio mji bora hapa nchini mkitaka kujifariji na vi thread vyenu wekeni hata arusha ni ya mwisho mjitekenye na kucheka wenyewe 😄
NB: Hayo maswala ya stendi na masoko ni kazi ya serikali kuu hakuna halmashauri hata moja imejenga stendi wala soko kwa hela zake mpanda na sumbawanga kuna stendi mpya unataka kusema ni pazuri kuliko arusha?
Na bado design za stendi ya arusha na masoko yanayojengwa zimeshatoka sjui mtajifichia wapi??
📸 pichani uwanja wa samia, esami ,Nelson Mandela University
Mkuu mdazi umemaliza kila kitu.
 
Hahah
Huu uzi wamelenga kuionesha arusha iko chini et namba nne 😄
Alafu mtoa mada anajificha eti uzuri wa mji sio magorofa kwahiyo uzur wa mji ni vile vijumba kama viberiti milimani mwanza au zile slums za mbeya
Sehemu nzuri ndio zinazotembelewa arusha, zanzibar, dar huko kwingine bado sanaa mwanza pale rock city mall wamefanya madarasa ya wanafunzi alafu wanajilinganisha na arusha 😄
Acha wivu mdazi kufananisha arusha na Mwanza ni kuivunjia heshima Mwanza.
 
Huu ndiyo mpangilio sahihi:
1. Dar
2. Arusha
3. Mwanza
4. Mbeya
5. Dodoma
Nimeshakwambia majiji TZ ni 2 tu mbona huelewi

Dar

Mwanza

Mji ambao hauna stend na soko la maana, Arusha jengeni kwanza stend na soko ndio mtakuwa jiji mambo mengine mnajitahidi.

Mbeya sio jiji kwa sababu kuna nyumba za tope mjini halafu haijulikani city center ni wapi.

Dodoma wanakuja vizuri, tatizo hali ya hewa na lile jangwa kama Kandahar lakini wanakuja kuwa namba 3.

Kwahiyo kwa sasa majiji yabaki 2 tu.
 
Unasema hata shule za English medium za serikali hujui kama zipo unaonyesha wewe sio mtu wa data ni mtu wa kuchkua stori za vijiweni na kuzileta jamii forums 😄
*Arusha school ndio shule kubwa ya English medium ya serikali nchini na wamesoma watu wengi wazito ikiwemo mohamed dewji
Arusha school aliyosoma Mohammed dewji ni shule iliyoanzishwaa kwajili ya wazungu, ada ni takribani milioni 20 na wengi wanaosoma shule hizo ni watoto wa matajiri na mabalozi sio wananchi wa kawaida ndio maand nilisema mwanzoni Arusha ni jiji zuri zaidi kwa matajiri na watalii, Shule nazozungumzia za serikali english medium ni hizi za laki 2 kwa wananchi wa kawaida, ukienda Mbeya zipo 5, Arusha kuna ipi ??


*Arusha jiji ndio inaongoza kwa ufaulu kwa miaka zaidi ya mitano mfululizo we huogopi
Nina wasi wasi pengine umeishia darasa la sita huzijui hata shule zinazoongoza achilia mikoa, mikoa inayoongozaga kwa ufaulu ni Moshi, Mbeya, Iringa, n.k. shule kama Saint Francis ya Mbeya inakimbiza tangu zamani, ni kiwanda cha wanafunzi wanaopasua Necta.
*Arusha ndio mji wenye taasisi nyingi za kimataifa
Mnanufaika nazo vipi wakati waajiriwa wengi ni watu wa nje ?? hata kama ni watanzania wengi wametokea vyuo vya Dar, Mbeya, Moro, n.k. hapo Arusha nje ya chuo cha Uhasibu (I.A.A) kuna chuo gani kingine cha maana ?
*Kuna International Schools zaidi ya 10
Kwajili ya watoto wa kishua, Braeburn ada milioni 50
*Ndio mji namba mbili kwa makusanyo ya TRA nyuma ya Dar
Makusanyo ya kodi ni ya sekta ya utalii kutoka kwa wazungu, sio watu wa jiji kama ilivyo kwa majiji mengine
 
Mbona Arusha umeichambua vizuri sana ?
Arusha Jiji limewekwa kukidhi zaidi watalii na wenye pesa, sio wananchi wa kawaida.

Vuta picha jiji halina shule ya serikali english medium za laki 2 (kama ipo haizidi moja) lakini mtu anaishi Ngarenaro anakuja sifia eti kuna shule za kimataifa za milioni 40
 
Arusha school aliyosoma Mohammed dewji ni shule iliyoanzishwaa kwajili ya wazungu, ada ni takribani milioni 20 na wengi wanaosoma shule hizo ni watoto wa matajiri na mabalozi sio wananchi wa kawaida ndio maand nilisema mwanzoni Arusha ni jiji zuri zaidi kwa matajiri na watalii, Shule nazozungumzia za serikali english medium ni hizi za laki 2 kwa wananchi wa kawaida, ukienda Mbeya zipo 5, Arusha kuna ipi ??



Nina wasi wasi pengine umeishia darasa la sita huzijui hata shule zinazoongoza achilia mikoa, mikoa inayoongozaga kwa ufaulu ni Moshi, Mbeya, Iringa, n.k. shule kama Saint Francis ya Mbeya inakimbiza tangu zamani, ni kiwanda cha wanafunzi wanaopasua Necta.

Mnanufaika nazo vipi wakati waajiriwa wengi ni watu wa nje ?? hata kama ni watanzania wengi wametokea vyuo vya Dar, Mbeya, Moro, n.k. hapo Arusha nje ya chuo cha Uhasibu (I.A.A) kuna chuo gani kingine cha maana ?

Kwajili ya watoto wa kishua, Braeburn ada milioni 50

Makusanyo ya kodi ni ya sekta ya utalii kutoka kwa wazungu, sio watu wa jiji kama ilivyo kwa majiji mengine
Hujui kitu hopeless 😄
Endelea kubishana stori za kijiweni
Hiyo arusha school aliyosoma mo dewji ni shule ya serikali
Wivu juu ya arusha utawaua
Arusha school aliyosoma Mohammed dewji ni shule iliyoanzishwaa kwajili ya wazungu, ada ni takribani milioni 20 na wengi wanaosoma shule hizo ni watoto wa matajiri na mabalozi sio wananchi wa kawaida ndio maand nilisema mwanzoni Arusha ni jiji zuri zaidi kwa matajiri na watalii, Shule nazozungumzia za serikali english medium ni hizi za laki 2 kwa wananchi wa kawaida, ukienda Mbeya zipo 5, Arusha kuna ipi ??



Nina wasi wasi pengine umeishia darasa la sita huzijui hata shule zinazoongoza achilia mikoa, mikoa inayoongozaga kwa ufaulu ni Moshi, Mbeya, Iringa, n.k. shule kama Saint Francis ya Mbeya inakimbiza tangu zamani, ni kiwanda cha wanafunzi wanaopasua Necta.

Mnanufaika nazo vipi wakati waajiriwa wengi ni watu wa nje ?? hata kama ni watanzania wengi wametokea vyuo vya Dar, Mbeya, Moro, n.k. hapo Arusha nje ya chuo cha Uhasibu (I.A.A) kuna chuo gani kingine cha maana ?

Kwajili ya watoto wa kishua, Braeburn ada milioni 50

Makusanyo ya kodi ni ya sekta ya utalii kutoka kwa wazungu, sio watu wa jiji kama ilivyo kwa majiji mengine
Wewe umezoea kubishana na watu wa vijiweni 😄
Hizo ndio hoja zako??
Mo dewji kasoma arusha school ya serikali unabisha
Mwanzo ulisema arusha hamna shule ya english medium ya private 😜
Huu uzi ni mwanza vs arusha
Baada ya mwanza kupigwa na kitu kizito kuanzia makusanyo ya TRA na wingi wa maghorofa
Mlichobaki nacho ni kuzaliana kama panya
Mnatafuta ahueni huku
Arusha umetoka kuwa mji wa 9 kwa ukubwa hadi leo ilipo
Na sasa hivi dodoma ndio imewazika kwa umuhimu miji ni Dar, Zanzibar, Dodoma na Arusha bas
Nyie dagaa wa ziwani zama zenu zimeisha
Unaongelea mapato ya utalii hujui hata kitu kinaitwa mnyororo wa thamani ndio maama ufukara umewajaa hamna kitu cha kuwaingizia mapato
Laiti ungejua projects zinazoendelea arusha ungeshika kichwa 😄
 
Back
Top Bottom