Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Nilikuwa naongezea lugha ya picha maana mleta mada hakuambatanisha pichaDuuuh hili swali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa naongezea lugha ya picha maana mleta mada hakuambatanisha pichaDuuuh hili swali!
Aifola na SaratogaNaombeni kujua mabasi yapi mazuri ya Dar to Kigoma.
Viburi na ubishi, ni wabishi balaa na Wajuaji Huu mji usijifanye una mazoea na watu ni wanafiki balaa, ukiwa nae ni rafiki ukigeuza mgongo anakusema tena Kwa chuki kubwa mnoEti wanawake wana viburi sana...ni kweli?
Kiuharisia❌Unaongea vitu ambavyo kiuharisia havipo kabsa
Rami❌Unaongea nn we jamaa kiuhalisia kigoma hujaenda.
Nimetoka kigoma juzi rami imeishia round about ya kuingia kibondo...!
Baada ya apo kuna vipande vya kutosha vya rami na vumbi
Mwidiwe uridiwe 😁😁Mwakeye se chambu?