Nilikuwa naongezea lugha ya picha maana mleta mada hakuambatanisha pichaDuuuh hili swali!
Aifola na SaratogaNaombeni kujua mabasi yapi mazuri ya Dar to Kigoma.
Viburi na ubishi, ni wabishi balaa na Wajuaji Huu mji usijifanye una mazoea na watu ni wanafiki balaa, ukiwa nae ni rafiki ukigeuza mgongo anakusema tena Kwa chuki kubwa mnoEti wanawake wana viburi sana...ni kweli?
KiuharisiaβUnaongea vitu ambavyo kiuharisia havipo kabsa
RamiβUnaongea nn we jamaa kiuhalisia kigoma hujaenda.
Nimetoka kigoma juzi rami imeishia round about ya kuingia kibondo...!
Baada ya apo kuna vipande vya kutosha vya rami na vumbi
Mwidiwe uridiwe ππMwakeye se chambu?