Paroco
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 2,389
- 10,595
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂🤸🤸🤸
Umetisha kipenzii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hata walionacho huwa wanamijadala yao either kuhusu aliyenacho zaidi or wasionachoWasio nacho wakiwa wanamjadili aliyenacho
Hizo ndiyo akili za masikini wa kitanzania hebu tafuteni pesa vijana maana unakuta anayeandika hivi anaishi kwao na kula ugali wa baba ake utafikiri nae ni mama yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tusionacho ila tulio na vichache af maisha ndvyo yalivyoWasio nacho wakiwa wanamjadili aliyenacho
Hizo ndiyo akili za masikini wa kitanzania hebu tafuteni pesa vijana maana unakuta anayeandika hivi anaishi kwao na kula ugali wa baba ake utafikiri nae ni mama yake
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona n gari mbovu sana hii tofauti na ile ya juuHii hapa Rolls Royce ya Mwanza kaka. Nimefukua kwenye library na kuipata!
hapa namkumbuka kaka marehemu Ephaim kibonde kunanamna alikuwa anasema kuna gali na galry kwa sauti ya kibonde utanielewa zaidi.Hii ndiyo gari la mnyama Platnumz, yaani gari itatua Uwanja wa ndege wa Mwl J.Nyerere terminal lll, likiwa ndani ya ndege ya kukodi ya mzingo..
So far, bei ya gari ni sawa budget nzima ya wizara ya Mwakyembe,
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
huko mbali muone kijana wa duro pale tekno,utajua bado sana[emoji16][emoji16][emoji16].Ukiingia insta za Davido na Wiz ndio utajua sisi watanzania masikini sana
Unamua sana kwa gari alilolipata mwenzio.?huko mbali muone kijana wa duro pale tekno,utajua bado sana[emoji16][emoji16][emoji16].
ila kiukweli huwa naumia basi tu.yaani mond ndio kafika peek lakini gari ya kifahari anayomiliki,toyota.anyway wanazi wake watasema nachonga sababu sina hata baiskeri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni toleo la zamani !!mbona n gari mbovu sana hii tofauti na ile ya juu
yah kwani wewe roho haikuumi,kuona msanii wa nje anatoboa kimasiha wakati wa ndani jasho jingi mavuno hafifu!!!Unamua sana kwa gari alilolipata mwenzio.?
Ninachokushangaa zaidi unafananisha Industry yenye support ya ndani ya watu zaidi milion 200 na industry yenye support ya watu zaidi mil 50 alafu unafanya comparison ya achievement.
Una habari kwamba ww ni wa pili kutoa maoni? Yaani kabla yako alikuwepo mtoa mada na mtu mmoja tu. Unajua hiyo inamaanisha nn?Wasio nacho wakiwa wanamjadili aliyenacho
Hizo ndiyo akili za masikini wa kitanzania hebu tafuteni pesa vijana maana unakuta anayeandika hivi anaishi kwao na kula ugali wa baba ake utafikiri nae ni mama yake
Sent using Jamii Forums mobile app