Hii ndiyo mikoa yenye wanawake wavumilivu katika ndoa

Kaskazini mjadala wake tulishaufunga dada, huko hakufai hata kidogo. mabinti wa kaskazini ni wajuaji aisee acha kabisa[emoji119][emoji119][emoji119]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe tyr ndoa hakunaa me na wewe!!!! Hio mikoa usiyoipenda nipo my dear
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkeo mlugulu nini?!!!
Sjaoa bado Cute wife, usiniwahishe huko😊
Nilikuwa najaribu tu kuwaza kama yule mkaguru ndio angekuwa wife🀣
 
Manyara
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Ana mafundisho mazuri kweli, ngoja nkulipie kesho aanze kukufundaπŸ˜‚
Kungwi Depal kesho una muda umfunde mwana huyu
Ajeee
Hatajutia kabisa,, tena baba Mwamposa atafurahia maana dada ataenda na slide za kutosha 🀣🀣
 
Moshi iwe namba moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…