Nami niongeze moja, sijui utaliweka upande upi, wa mafanikio yake au mapungufu yake.Hongera kwa kutumia uhuru wako wa kutoa maoni
Mie sijadiligi watu. Najadili hojaAzimio la Arusha alileta nani? Kiswahili kuwa lugha ya taifa?
Hujiamini, tetea hoja zako mfu wacha kuhamisha magoli.
Twende taratibu, hao watu ndio wanaleta hizo hoja, sasa nimekuonesha yale uliyoandika (hoja) aliyofanya Nyerere, ambapo wewe unasema alikosea, ndio utumbie hapa, alikosea vipi mpaka sisi tuliopo tushindwe kurekebisha?Mie sijadiligi watu. Najadili hoja
Hayo uliyoyaainisha ndio yanayosababisha pesa za umma zinapigwa kutoka kila kona kila kukicha ??!!1. Kuanzisha Azimio la Arusha mwaka 1967. Uamuzi huu ulipelekea jamii nyingi sana kuingia kwenye umaskini na nyingi hazijaondoka kwenye umaskini hadi leo. Pia imefanya jamii nyingi kuwa na akili mfu na kutopenda kufanya kazi wakitegemea Serikali kuwafanyia kila kitu
2. Kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia na mawasiliano. Hili jambo ukichanganya na matokeo ya jambo la kwanza limeturudisha nyuma sana. Leo hii Watanzania wengi wanaogopa kupambania fursa zinazopatikana duniani kwa kutokujua lugha tu. Lugha imepelekea pia kukosa fursa nyingi sana kwa Watanzania za ndani na nje.
3. Kuruhusu watu kujenga maeneo ambayo hayajapangwa wala kupimwa. Hili hadi leo limesababisha sehemu kubwa ya nchi yetu kujengwa hovyo bila mpangilio.
4. Utaifishaji wa Mali hasa Makampuni na Taasisi zilizokuwa zinajiendesha vizuri. Hili lilitokana na sera za ujamaa. Mali nyingi zilizotaifishwa hatukuweza kuziendeleza na ilikuja kusababisha uchumi wetu kuwa duni sana. Hadi leo hatujutii hili jambo
5. Kuvunja mikataba ya uwekezaji kwa Kiki za kisiasa. Hili jambo limetugharimu na litakuja kutugharimu sana huko mbeleni. Nchi hii imewapa wanasiasa nguvu kubwa sana ya kuamua mambo na imefika kipindi hawajali hata sheria na taratibu. Maamuzi yao hayahojiwi hivyo kupelekea kila siku tumekuwa tukiumizwa na maamuzi hayo.
6. Kuunda Muungano wa Serikali 2. Kiukweli muungano kama Muungano ulitakiwa kuwa wa Serikali 1 tu. Huu uwingi wa Serikali ni uchu wetu sisi waafrika kutaka nafasi ili kujipatia ulaji
NYONGEZA
7. Kufanya Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi. Kusema kweli ule mji haupendezi na utaligharimu taifa fedha nyingi sana kuupendezesha. Una kaukame kamoja kabaya sana na maji magumu sana. Kuna mda hadi pipes za kuingia majumbani zinaziba kwa sababu ya chumvi.
Sababu zilizotumika kuufanya kuwa Makao Makuu ya nchi sikubaliani nazo na ingekuwa uamuzi wangu ningechagua sehemu yenye kijani na maji safi kama Mkoa wa Pwani, Morogoro au Arusha kuufanya Makao Makuu.
Asante sana Nabii The Boss1.Kung'oa reli mikoa ya kusini
2.kuwapangia wananchi nini cha kulima...
3.kuzuia wasomi hasa watumishi kuingia kwenye mabaraza ya halmashauri ....na siasa...
4.kulazimisha pesa yetu Ku peg na dollars pekee yake badala ya Ku peg na sarafu za nchi nyingi..
5.Muungano na Zanzibar only wakati tungezeweza ungana na Burundi,Malawi Drc. N.k hata Uganda...
6.kufanya foreign policy ni siasa badala ya biashara...
7.kuwajenga wananchi kuchukia matajiri....na kutukuza umasikini na kuita umasikini ndo uzalendo.
8.kuwafanya wananchi kuchukia Kodi na kutukuza wizi serikalini...
9.Kuaminisha wananchi serikali ina pesa nyingi na haishindwi kitu...
10.kudumaza wananchi kupenda kukaa Tanzania Tu ...hawataki hata kwenda nchi jirani kutazama fursa..
11 kuaminisha kila kijana ajira zipo serikalini..
Ina maana Mzee alikuwa ametushikilia akili zetu tangu akiwa hai mpaka sasa bado amezishikilia akili zetu pamoja na kwamba hayupo nasi tena ! 😅😅Twende taratibu, hao watu ndio wanaleta hizo hoja, sasa nimekuonesha yale uliyoandika (hoja) aliyofanya Nyerere, ambapo wewe unasema alikosea, ndio utumbie hapa, alikosea vipi mpaka sisi tuliopo tushindwe kurekebisha?
Huko kuchukia matajiri matokeo yake sasa wapigaji ndio mnawaona wajanja..1.Kung'oa reli mikoa ya kusini
2.kuwapangia wananchi nini cha kulima...
3.kuzuia wasomi hasa watumishi kuingia kwenye mabaraza ya halmashauri ....na siasa...
4.kulazimisha pesa yetu Ku peg na dollars pekee yake badala ya Ku peg na sarafu za nchi nyingi..
5.Muungano na Zanzibar only wakati tungezeweza ungana na Burundi,Malawi Drc. N.k hata Uganda...
6.kufanya foreign policy ni siasa badala ya biashara...
7.kuwajenga wananchi kuchukia matajiri....na kutukuza umasikini na kuita umasikini ndo uzalendo.
8.kuwafanya wananchi kuchukia Kodi na kutukuza wizi serikalini...
9.Kuaminisha wananchi serikali ina pesa nyingi na haishindwi kitu...
10.kudumaza wananchi kupenda kukaa Tanzania Tu ...hawataki hata kwenda nchi jirani kutazama fursa..
11 kuaminisha kila kijana ajira zipo serikalini..
JF imejaa wajinga wengi sana, nao wanajiita GTs!.Ina maana Mzee alikuwa ametushikilia akili zetu tangu akiwa hai mpaka sasa bado amezishikilia akili zetu pamoja na kwamba hayupo nasi tena ! [emoji28][emoji28]
Huoni hadi leo tunakimbiza mwenge? We nikikuuliza faida za mwenge unaweza kunijibu?Ina maana Mzee alikuwa ametushikilia akili zetu tangu akiwa hai mpaka sasa bado amezishikilia akili zetu pamoja na kwamba hayupo nasi tena ! 😅😅
Mpigaji gani anaonwa mjanja?Huko kuchukia matajiri matokeo yake sasa wapigaji ndio mnawaona wajanja..
Nyerere alikuwa nabii wa kweli, alijua kuna akili ndogo zitakuja take over zianze kufumbia macho na kusifia ufisadi.
Twende sawa, swali langu la kwanza hujajibu, usiruke ruke, au wewe kipofu?Mpigaji gani anaonwa mjanja?
Kwani ni uongo kuwa watu hawachukii matajiri na wanaona sifa kuwa masikini eti ndo uzalendo?
Kila hoja iliyosemwa imesemwa na matokeo yake. Au sababu ya kwa nini nimesema hivyo.Twende taratibu, hao watu ndio wanaleta hizo hoja, sasa nimekuonesha yale uliyoandika (hoja) aliyofanya Nyerere, ambapo wewe unasema alikosea, ndio utumbie hapa, alikosea vipi mpaka sisi tuliopo tushindwe kurekebisha?
Nilivyosoma issue ya Azimio la Arusha tu nikajua wazi we kibaka na huna faida katika Taifa letu1. Kuanzisha Azimio la Arusha mwaka 1967. Uamuzi huu ulipelekea jamii nyingi sana kuingia kwenye umaskini na nyingi hazijaondoka kwenye umaskini hadi leo. Pia imefanya jamii nyingi kuwa na akili mfu na kutopenda kufanya kazi wakitegemea Serikali kuwafanyia kila kitu
2. Kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia na mawasiliano. Hili jambo ukichanganya na matokeo ya jambo la kwanza limeturudisha nyuma sana. Leo hii Watanzania wengi wanaogopa kupambania fursa zinazopatikana duniani kwa kutokujua lugha tu. Lugha imepelekea pia kukosa fursa nyingi sana kwa Watanzania za ndani na nje.
3. Kuruhusu watu kujenga maeneo ambayo hayajapangwa wala kupimwa. Hili hadi leo limesababisha sehemu kubwa ya nchi yetu kujengwa hovyo bila mpangilio.
4. Utaifishaji wa Mali hasa Makampuni na Taasisi zilizokuwa zinajiendesha vizuri. Hili lilitokana na sera za ujamaa. Mali nyingi zilizotaifishwa hatukuweza kuziendeleza na ilikuja kusababisha uchumi wetu kuwa duni sana. Hadi leo hatujutii hili jambo
5. Kuvunja mikataba ya uwekezaji kwa Kiki za kisiasa. Hili jambo limetugharimu na litakuja kutugharimu sana huko mbeleni. Nchi hii imewapa wanasiasa nguvu kubwa sana ya kuamua mambo na imefika kipindi hawajali hata sheria na taratibu. Maamuzi yao hayahojiwi hivyo kupelekea kila siku tumekuwa tukiumizwa na maamuzi hayo.
6. Kuunda Muungano wa Serikali 2. Kiukweli muungano kama Muungano ulitakiwa kuwa wa Serikali 1 tu. Huu uwingi wa Serikali ni uchu wetu sisi waafrika kutaka nafasi ili kujipatia ulaji
NYONGEZA
7. Kufanya Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi. Kusema kweli ule mji haupendezi na utaligharimu taifa fedha nyingi sana kuupendezesha. Una kaukame kamoja kabaya sana na maji magumu sana. Kuna mda hadi pipes za kuingia majumbani zinaziba kwa sababu ya chumvi.
Sababu zilizotumika kuufanya kuwa Makao Makuu ya nchi sikubaliani nazo na ingekuwa uamuzi wangu ningechagua sehemu yenye kijani na maji safi kama Mkoa wa Pwani, Morogoro au Arusha kuufanya Makao Makuu.
Ilikuwaje lilifeli? Tusaidie usiye kibakaNilivyosoma issue ya Azimio la Arusha tu nikajua wazi we kibaka na huna faida katika Taifa letu
Kufail walifelisha wahafidhina na mabepariIlikuwaje lilifeli? Tusaidie usiye kibaka
😅😅😅Akafie mbeleMchawi huyo.
Ametumwa na mabwana zake kuja kubadili upepo wa bandari na ule mkataba mbovu.
Kwahiyo unaamini ushirikina ? Kwamba huo mdude unaendelea kutushikilia akili zetu ndio maana tunashindwa kujikwamua tuliponasa ??!Huoni hadi leo tunakimbiza mwenge? We nikikuuliza faida za mwenge unaweza kunijibu?
Ndo kina nani hao?Kufail walifelisha wahafidhina na mabepari