Hii ndiyo orodha ya maamuzi ya ovyo kuwahi kufanyika Tanzania

Hii nchi kusema kweli ingekuwa uwezo wangu tungeanza upya kila kitu
 
La kwanza kabisa ni Nyerere kudai uhuru 1961, alitukosea sana yule mzee na mitamaa yake ya uongozi. La pili ni kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar, hapo ndo tulikosea mazima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vita na Iddi Amini Dada iliyoiingiza nchi kwenye njaa mpaka leo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona Dubai ilikuwa jangwa na sasa hv pakoje?
Hv sisi watanzania tuna laana au yaani kuna mijitu mijinga mijinga sana
 
Niliwahi kujisemea nisije pewa uwaziri wa ardhi. Maana ntavunja nyumba za watu hadi wataniona mwehu
Mbona wa Maliasili wanakunja tu na kuhamisha watu kuwa wamevamia hifadhi wakati umeme ,maji ,vituo vya kupigia Kura na shule serikali imepeleka Leo wanawavunjia mf.Morogoro ..hii ya hovyohovyo sana..
 
Mbona Dubai ilikuwa jangwa na sasa hv pakoje?
Hv sisi watanzania tuna laana au yaani kuna mijitu mijinga mijinga sana
Somaga kitu uelewe ndo utoe comment yako.
Hoja kuhusu Dodoma imejikita kwenye gharama za kupapendezesha. Hata Dubai wanatumia gharama kubwa sana kupafanya kuwa pazuri jambo ambalo kwa Tanzania halikuwa na ulazima kwa sababu tuna mikoa ina hali nzuri ya hewa na kijani kinachopendeza
 
hapo kwenye kuruhusu kiswahili kuwa lugha ya taifa na lugha ya kufundishia shule ya msingi upo sahihi 100%.

madhara yake ni makubwa sana, tumebaki kutumia hoja dhaifu kujifariji. unakuta mwanasiasa anazungumza eti hata wachina, waitaliano na wajerumani hawazungumzi kingereza na wapo mbelea kauchumi, seriously!?
 
The worst of all ni jiwe kupewa urais.
 
Kwa hiyo hiyo seehemu nyingine isingetumika gharama? Unajua maana ya Dodoma kufanywa makao makuu ? Ndio maana nasema Tanzania kuja kuendelea ni ngumu coz kuna majitu majinga mengi sana yasio na uelewa kama wewe
 
Muogope kama ukoma mtu yeyote anaye chukka ukomonosti na ujamaa. Ni mbaguzi mbinafsi, sana. Kwa taarifa yako. USA, China, Russia. Wanaanda Dunia mpya kijamaa na kikomonisti.kwa jiba Democratic socialism
 
Muhimu hili la muungano lipo hoja zako zote naziunga mkono.

Pia na vita ya uganga nayo imetuweka sehemu mbaya kwa kiasi chake.
 
Kwa hiyo hiyo seehemu nyingine isingetumika gharama? Unajua maana ya Dodoma kufanywa makao makuu ? Ndio maana nasema Tanzania kuja kuendelea ni ngumu coz kuna majitu majinga mengi sana yasio na uelewa kama wewe
Maana gani ya msingi ya kufanya Dodoma kuwa Makao Makuu?

Ndo hiyo mnadai mkoa wa katikati mwa Tanzania?

Katika karne hii ya sayansi na teknolojia hiyo hoja ina msingi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…