Kimya kimya mbuyu chiniπ€£π€£Ndio maana minasemaga skuuzi jf imejaa mavijana ya hovyo sana. Hiyo comment yangu umebeba mbadala wa mawazo ya vijana wengi.
Yaani Jf yetu ilikua poa sana, na kilakitu kilukua kimyakimya....π
Lakini wana Mwanza tumeonyesha ukatili ulio changamka sana. Najua hatutapata mgeni tena...πNihamie mwanza alaf akatae kuja tena ππ
Nataka nihamie karbu na kwake
Akizunguka Tu nyuma ya nyumba yake ananionaπ
Udugu wangu, kanuni ni 1 anakupa kabisa pesa ya kila kitu afu ndo mnaanza maongezi sasa. UwiiiiihAcha tu udugu wangu nimekoma
Una hoja nzito upewe ulinzi
Alikudanganya nani?Wewe sikataa ndoa wewe
Kabisa na hamustahili mgeni mwingine πLakini wana Mwanza tumeonyesha ukatili ulio changamka sana. Najua hatutapata mgeni tena...π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu bado huwajui wanaumee?? WoiiiiiihAliniteka na suatu utani wake jaman hiii hawa wanaume mimi hapana
Mi najifurahisha tu mpendwa usinichukulie siriazi.Uzuri wake tulianza onana face kwa face soma vizuri uelewe
Ukome wasukuma hatutaki watumia mikorogoIlikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo
Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana
Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi
Umesomeka mama.Nikuzungukie mbuyu weweπππhebu mie