Mkuu ebu njoo PM tuyajenge, kama aje umteme huyo mwenyeji wako nimtunze hapa Mwanza...πKabisa na hamustahili mgeni mwingine π
Japokua nmekua hapo last month
Mm mgeni wangu alinipokea vizuri jaman
Kwa siku 3 sikujuta...Ila kawaida baadhi ya makosa hayakosekanππ
Akhuuu me simtaki huyo
dah π π π hakika watu wa mwanza ni wakalimuMkuu ebu njoo PM tuyajenge, kama aje umteme huyo mwenyeji wako nimtunze hapa Mwanza...π
Labda nikupe kaz unisaidie kumsomesha mtuππUmesomeka mama.
Ujumbe umefikaπππ
Kuna point ambayo wanaume huwa tukifikia tuna sema...ngoja nifanye kweli kulinda heshimaπππππππππππ Glenn hebu tulia bhana
Ukuwadi hapana....hiyo kazi naiweza we nikabidhiπππLabda nikupe kaz unisaidie kumsomesha mtuππ
Mjinga wewe ππMi najifurahisha tu mpendwa usinichukulie siriazi.
Itoshe tu kusema huyo ngosha mwenzetu alizingua. Sasa usingekuwa na pesa za kulipia hizo siku tatu ulizokaa hapo ingekuwaje? Hata kama alikuta yaliyopaswa kuwemo hayamo, hakupaswa kufanya hivyo. Angalau angelipia hiyo huduma ya usiku mmoja ndiyo atokomee zake. Pole sana!
Aliacha 100kMi najifurahisha tu mpendwa usinichukulie siriazi.
Itoshe tu kusema huyo ngosha mwenzetu alizingua. Sasa usingekuwa na pesa za kulipia hizo siku tatu ulizokaa hapo ingekuwaje? Hata kama alikuta yaliyopaswa kuwemo hayamo, hakupaswa kufanya hivyo. Angalau angelipia hiyo huduma ya usiku mmoja ndiyo atokomee zake. Pole sana!
π π π π π subiri nakuja na details zoteUkuwadi hapa....hiyo kazi naiweza we nikabidhiπππ
Ila tulicho mfanyia mleta mada ni ukarimu uliopitiliza hadi Jf yote imejua kama aliliwa...πdah π π π hakika watu wa mwanza ni wakarimu
Lakini wana Mwanza tumeonyesha ukatili ulio changamka sana. Najua hatutapata mgeni tena...π
Angalia usije na proposal mbaya jana kuna askari alinivunja moyo vibaya mnooπ π π π π subiri nakuja na details zote
kwa laki moko tu ya kitiziii π π π π malipo ni hapa hapa duniani kunwa mwana itakuwa aliwahi mtia hasaraIla tulicho mfanyia mleta mada ni ukarimu uliopitiliza hadi Jf yote imejua kama aliliwa...π
πππππAweeeee shindwa kabisaMkuu ebu njoo PM tuyajenge, kama aje umteme huyo mwenyeji wako nimtunze hapa Mwanza...π
Ko unataka kusemaje yaani ππhebu tulia wewe soon utaniita shemeji nyau weweKuna point ambayo wanaume huwa tukifikia tuna sema...ngoja nifanye kweli kulinda heshima
Ngalikihinja
Ushimen
Shimba ya Buyenze
Mnasemaje wakuu?? ππ