Hii ndiyo sababu ya Godbless Lema kutoambatana na mkewe kwenye kesi ya Kamanda Wema sepetu Dar

Hii ndiyo sababu ya Godbless Lema kutoambatana na mkewe kwenye kesi ya Kamanda Wema sepetu Dar

Hakuna kitu kinaniudhi Kama familia ya god bless Lema kuwapandisha watoto wao ambao ni wadogo na kuwalisha maneno watukane CCM wakati hata miaka 18 hawajafikia. Watu wa haki za watoto mko wapi jamani? Mbowe wanawe kawaficha hajawahi waanika hadharani seif sharif hamad pia, lipumba pia slaa pia, magufuli pia, mrema pia, tundu lisu pia,kijo bisimba pia, lowasa pia, sumaye pia,mbatia pia sababu kwao hawataki kuvuruga hatima za watoto wao bila ridhaa yao. Lema na mkewe wajitathimini kutumia watoto wao ambao hawajafikia age of majority kwenye siasa. Napendekeza Lema na mkewe wakamatwe wawekwe ndani na watoto wao wachukuliwe watunzwe na ustawi wa jamii ili wapate nafasi ya kukua kuishi na kufikia hatima zao bila kuingizwa kwenye siasa bila ridhaa yao kutokana na udogo wao

Unapendekeza kwa nani?? Binafsi Lema ni mmoja kati ya majasiri nilowahi kuwaona.
 
Nashangaaa jipu kubwa kama ilo tena lipo usoni halitumbuliwi,,.chenga chenga za bashite
 
Siko chama chochote lakini maandiko yako kiasi fulani huwa yana maana! Lakini kwa hili, is typically a failed propaganda!
 
Hahahaha hii kiboko walahi....,hahaha
 
Sina tatizo na ujasiri koko wa lema ninachopinga ni Child Labour kwenye evil politics za lema awe anatumia wanawe au watoto wa wengine hawatendei haki

Ujasiri wako upo wapi ili tuweze kuulinganisha na ule wa lema ulio koko?? Child Labour umeona kwa Lema? Kama mimi na wewe tumeshindwa kuifanya Tanzania ambayo watoto wetu watajivunia nayo, Lema kajitoa. Hatuna budi kumuombea na kumsupport.
 
mkuu mwambien ndugu yenu atoe ukakasi kuhusu vyeti achana na habqri za wemasepetu
Kumbuka kuwa muhimu ni kulinda Ndoa ya Mama Lema, ni dhahiri iko hatarini. Vyeti vya Rc havina umuhimu kama kulinda Ndoa ya huyu mama Kamanda.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Habari inayotrend kwa sasa ni tukio la Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kumkataza mkewe kutofuatana naye Dar kwa ajili ya kesi ya Kamanda Wema Sepetu. Mke wa Lema amesikika akimshauri mumewe kufuatana naye Dar es Salaam kwa ajili ya kesi hiyo ambayo imepangwa kusikilizwa leo kabla haijaahirishwa. Hata hivyo, Godbless Lema alimsihi mke wake abaki nyumbani aangalie watoto wakati yeye anapambana kumsaidia kamanda Wema ambaye ameonesha uungwana wa kwenda Arusha mara mbili kwa ajili yake.

Inadaiwa kuwa awali Mama Lema hakuwa tayari kumuacha mumewe aende pekee Dar es Salaam kwa madai kuwa usalama wake upo mashakani. Hata hivyo, Lema alimtoa hofu hasa baada ya kumhakikishia kuwa ataambatana na Kamanda Kalist Mabina.

Godbless Lema atakuwa Jijini Dar es Salaam kwa siku kadhaa kwa ajili ya maandalizi ya hafla ya kumkabidhi Kadi ya CHADEMA Kamanda Wema na kwamba wawili hao watakuwa wanakutana mara kwa mara na wakati wowote kwa ajili ya kukamilisha hafla hiyo ambayo inadaiwa kuwa itakuwa ya aina yake
LIZABONI mbona unazidi kujiaibisha?Kwa hiyo wewe umekuwa mke wa LEMA Kwa sasa?
 
Makondae kabanwa kweli unanidhamu hata kwenye posti pole umerudi hamisha hela mapema manake unaondoka
 
Kamanda, kwani kwenye uzi huu kuna.mahala nimeponda upinzani? Kuwa mpole kamanda
.... Kwa nini usitumie muda wako mkuu hata angalau kujadili aliyosema CAG kwani yanatugusa sana sisi wote kuliko hiki ulicholeta??
 
Sasa wewe na Lizaboni jf nani anaaminika na kusomwa zaidi ya Mwingine?
... Magazeti ya udaku ya Shigongo yanasomwa sanaa ukilinganisha na hard news paper but nini hasa kinapatina kwenye magazeti ya udaku??
 
Lema ndio kishachukua zigo lile,tusubiri picha akila mzigo live na kula denda kwenye magazeti ya Kiwi
 
Inadaiwa kuwa awali Mama Lema hakuwa tayari kumuacha mumewe aende pekee Dar es Salaam kwa madai kuwa usalama wake upo mashakani. Hata hivyo, Lema alimtoa hofu hasa baada ya kumhakikishia kuwa ataambatana na Kamanda Kalist Mabina.
SAWAhayo tunayajua sasa weka VYETI Wema tuachie sisi si kashawaachia chama chenu au,,,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom