Hii ndiyo sababu ya mimi kutokuwa na huruma na Ndugu

Na nimemuambia amsamehe mama.
 
Fanya mambo yako usiwakaribishe Wala kiwashirikisha mambo yko watakuharibia,wale waliokuwa wanakunyanyasa wakat huna ndio roho zao halisi,hawa wa sasa ni feki.Na ukija kuowa jipange mkeo na watoto kuchukiwa kwamba wanafaid hela zako.
Kweli kabisa
 
Ila msimlazimishe kusamehe. Mshaurini asamehe na si kumlazimisha.
 
Hakika
 
Unamtenga mpaka mama yako mzazi . Mama yako ndio aliekusomesha mkumbuke
 
Pomoja na hayo yote kutokea mkuu nakushauri usiache kumhudumia mama yako,siku zote yalipe mabaya kwa mema na Mungu atakubariki Sana.
 
Mleta mada kama vile Malaika yani tangu azaliwe hadi sasa hivi hajawahi kumkosea Mtu yeyote duniani.

Mama ni Mama utake usitake ipo siku hatakuwepo duniani na utatamani sana kumwomba msamaha ila utakuwa ushachelewa.

Kuna faida gani sasa ukiwa unatumia pesa bila ya damu yako kunufaika nazo?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwani wao wakati nawahitaji hawakujua haya maneno.
Maisha yaleyale walioishi na Mimi nami nitaishi nao hivyohivyo.

#YNWA
Hata Kama unataka kuliipiza,tumia njia nzuri ya kuwachomolea huku mnacheka,usioneshe beef live! Kua Kama Mkwere Mzee wa Msoga,anacheka huku ana lake moyoni!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…