Hii ndiyo Simba SC mpaka muda huu tayari Mashabiki wa Simba SC wameshajichangisha Milioni 32 kati ya Milioni 100 za CAF ili ikalipwe kama Faini

Kweli wajinga ndiyo waliwao,timu inamwekezaji na wadhamini wengi tu ,Leo hii eti mnachangishana milioni100?
 
Nusu kwa timu nusu kwa Mwamedi,watu watapigwa kama walivyopigwa za uwanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…