Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

So Communism has worked for China, brought it to an unprecedented heights of innovation and astronomical levels of wealth.

Meanwhile, Capitalism is driving the collective west into an endless black-hole of debt, consumerism, extreme inequality and moral decadence.

I'm now candidly observing China, and learning new things about The Art of Statecraft. 🤔​
 
Sisi ngoja tuendelee kupambana na Ngedere na Bundi kwanza kwenye Treni ya Mchongo
 
I wonder how powerful electromagnets are being used,
maana repelling force ya kunyenyua tani kadhaa Ni lazima current inayomagnetize Iwe kubwa sana
 
Acha utani mkuu, kwamba JPM angekuwepo tungeliweza ndani ya miaka michache? Si kweli hata kidogo, hiyo ni ndoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…