Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

BULLSHIT! 🤢🤮🤣🤣🤣
 
Ukisoma Quran utagundua manabii wote kuanzia Adam,Ibrahim,Mussa, Suleiman,Yakub,Issa na wengine wote walikuwa waislam.
Adma ndie muislam wa kwanza
hebu tuthibitishie kuwa kitabu hicho ni cha kweli. na sisi tutakuthibitishia kuwa chetu ni cha kweli. sisi tunaamini chako ni cha uongo hivyo hatuna hata sababu yakukiamini kilichomo ndani yake.
 
hii avatar yako si ukute wewe ni yule afande wa zanzibar alikuwa anafumuliwa?
 
Mkuu endelea kujifunza uislam nazan mpk mda huu ujajutia uamuzi wako unaeza kua balozi mzuri wa kufundisha hawa vichwa ngumu wanaozani uislam ni vita
Vipi kuhusu makundi ya Kigaidi yanayosema " Allahu Akbar".?
 

Kwahiyo waislamu hamnyi wala hamkojoi?[emoji28]
 
wasi wasi wangu vipi ungeota unaona watu wanaume wanakatwa😂😂😂😂.
 
Wanawake wakitanga ni mafundi sana. Hao ndio sababu kuu yakusilim kwako. Wakubwa tumeelewa sana justification tu unaitafuta.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Siku ukiishi karibu na kanisa utaota pia unaingia kanisani.After all is not big deal wewe kwenda huko kwani wapo wanaotoka kwenye uislam na kuwa wakristo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…