Hii nguvu kubwa sana inayotumika na Jeshi la Polisi kuzima maandamano ya CHADEMA, nguvu hiyo hiyo ingetumika, bado tungekuwa hatujawapata akina Soka?

Hii nguvu kubwa sana inayotumika na Jeshi la Polisi kuzima maandamano ya CHADEMA, nguvu hiyo hiyo ingetumika, bado tungekuwa hatujawapata akina Soka?

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Watanzania wote tunashuhudia jinsi Jeshi la Polisi lilivyojipanga katika kuzima maandamano ya amani yaliyoandaliwa na CHADEMA hapo kesho.

Tunashuhudia askari wengi sana wakimwagwa mitaani, huku wakiwa na magari ya washawasha, wakirandaranda na farasi, wengine hata wakiwa wamebeba na silaha za moto.

Swali Moja tu jepesi ambalo nataka kuwauliza Jeshi la Polisi, hivi juhudi kubwa kabisa ambazo mnazitumia, Kwa ajili tu ya kuyazima maandamano ya amani ya CHADEMA hapo kesho, Kwa kuwa nyinyi Jeshi la Polisi na Jeshi lolote Duniani, wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao, naomba mjiulize hivi hizi juhudi zote mnazitumia, mngezitumia katika kuwatafuta viongozi wa CHADEMA waliotekwa na watu tunaoaminishwa kuwa ni watu wasiojulikana, hivi Hadi leo hao akina Soka wangekuwa tu bado hawajapatikana??

Na Kwa kuwa Jeshi la Polisi mahali popote pale Duniani, wajibu wao namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao na Kwa kuwa Jeshi letu la Polisi wsko wapi na Jeshi limeshindwa kutuambia hao ndugu zetu kina Soka, ambao toka watekwe ni zaidi ya mwezi mmoja, jambo la muhimu la kufanyika ni kuwajibika Kwa kujiuzulu, Waziri wa Mambo ya ndani, Yusufu Masauni na IGP Wambura.

Mungu ibariki Tanzania
 
Watanzania wote tunashuhudia jinsi Jeshi la Polisi lilivyojipanga katika kuzima maandamano ya amani yaliyoandaliwa na CHADEMA hapo kesho.

Tunashuhudia askari wengi sana wakimwagwa mitaani, huku wakiwa na magari ya washawasha, wakirandaranda na farasi, wengine hata wakiwa wamebeba na silaha za moto.

Swali Moja tu jepesi ambalo nataka kuwauliza Jeshi la Polisi, hivi juhudi kubwa kabisa ambazo mnazitumia, Kwa ajili tu ya kuyazima maandamano ya amani ya CHADEMA hapo kesho, Kwa kuwa nyinyi Jeshi la Polisi, wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao, naomba mjiulize hivi hizi juhudi zote mnazitumia, mngezitumia katika kuwatafuta viongozi wa CHADEMA waliotekwa na watu tunaoaminishwa kuwa ni watu wasiojulikana, hivi Hadi leo hao akina Soka wangekuwa tu bado hawajapatikana??

Mungu ibariki Tanzania
Ingekuwa hawajapatikana maana wamejichimbia nchi jirani!
 
Watanzania wote tunashuhudia jinsi Jeshi la Polisi lilivyojipanga katika kuzima maandamano ya amani yaliyoandaliwa na CHADEMA hapo kesho.

Tunashuhudia askari wengi sana wakimwagwa mitaani, huku wakiwa na magari ya washawasha, wakirandaranda na farasi, wengine hata wakiwa wamebeba na silaha za moto.

Swali Moja tu jepesi ambalo nataka kuwauliza Jeshi la Polisi, hivi juhudi kubwa kabisa ambazo mnazitumia, Kwa ajili tu ya kuyazima maandamano ya amani ya CHADEMA hapo kesho, Kwa kuwa nyinyi Jeshi la Polisi, wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao, naomba mjiulize hivi hizi juhudi zote mnazitumia, mngezitumia katika kuwatafuta viongozi wa CHADEMA waliotekwa na watu tunaoaminishwa kuwa ni watu wasiojulikana, hivi Hadi leo hao akina Soka wangekuwa tu bado hawajapatikana??

Mungu ibariki Tanzania
Leo iwe siku ya maombi kabla ya kufika kesho wawe wamewapata wote.Kwani inaweza kuwa ndio msako wa wapi walipo unaendelea hivyo.
 
Watanzania wote tunashuhudia jinsi Jeshi la Polisi lilivyojipanga katika kuzima maandamano ya amani yaliyoandaliwa na CHADEMA hapo kesho.

Tunashuhudia askari wengi sana wakimwagwa mitaani, huku wakiwa na magari ya washawasha, wakirandaranda na farasi, wengine hata wakiwa wamebeba na silaha za moto.

Swali Moja tu jepesi ambalo nataka kuwauliza Jeshi la Polisi, hivi juhudi kubwa kabisa ambazo mnazitumia, Kwa ajili tu ya kuyazima maandamano ya amani ya CHADEMA hapo kesho, Kwa kuwa nyinyi Jeshi la Polisi, wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao, naomba mjiulize hivi hizi juhudi zote mnazitumia, mngezitumia katika kuwatafuta viongozi wa CHADEMA waliotekwa na watu tunaoaminishwa kuwa ni watu wasiojulikana, hivi Hadi leo hao akina Soka wangekuwa tu bado hawajapatikana??

Mungu ibariki Tanzania
CHADEMA ina nguvu sana.
 
Watanzania wote tunashuhudia jinsi Jeshi la Polisi lilivyojipanga katika kuzima maandamano ya amani yaliyoandaliwa na CHADEMA hapo kesho.

Tunashuhudia askari wengi sana wakimwagwa mitaani, huku wakiwa na magari ya washawasha, wakirandaranda na farasi, wengine hata wakiwa wamebeba na silaha za moto.

Swali Moja tu jepesi ambalo nataka kuwauliza Jeshi la Polisi, hivi juhudi kubwa kabisa ambazo mnazitumia, Kwa ajili tu ya kuyazima maandamano ya amani ya CHADEMA hapo kesho, Kwa kuwa nyinyi Jeshi la Polisi, wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao, naomba mjiulize hivi hizi juhudi zote mnazitumia, mngezitumia katika kuwatafuta viongozi wa CHADEMA waliotekwa na watu tunaoaminishwa kuwa ni watu wasiojulikana, hivi Hadi leo hao akina Soka wangekuwa tu bado hawajapatikana??

Mungu ibariki Tanzania
Hofu,hofu ni ugonjwa mbaya sana,sawa na Umaskini!
 
Nimekubali CHADEMA ni kiboko ya samia na ccm yake. Mkwara wa CHADEA umeibua mpaka farasi na miumbwa koko. Asanteni CHADEMA tumejua samia ni dhaifu kiasi gani
 
Nimekubali CHADEMA ni kiboko ya samia na ccm yake. Mkwara wa CHADEA umeibua mpaka farasi na miumbwa koko. Asanteni CHADEMA tumejua samia ni dhaifu kiasi gani
Hakika CHADEMA ndiyo Kiboko ya CCM!

Hebu "imagine attention" kubwa iliyochukuliwa na serikali hii ya CCM, kuhusu maandamano hayo ya Chadema
 
Nimekubali CHADEMA ni kiboko ya samia na ccm yake. Mkwara wa CHADEA umeibua mpaka farasi na miumbwa koko. Asanteni CHADEMA tumejua samia ni dhaifu kiasi gani
Huo ndio mtazamo uliyouona wewe mkuu, ila kwa jicho lengine maandamano yamepewa sura ya vurugu/fujo katika hii nchi na baadhi ya wananchi wengi ndio huchukulia hivyo maandamano. Hivyo huo mkwara wa jeshi la polisi una faida kwa serikali, maana usifikiri raia wanapoona hiyo mikwara ya polisi wanatafsiri ni ukandamizaji wa uhuru wa kufanya maandamano.
 
Watanzania wote tunashuhudia jinsi Jeshi la Polisi lilivyojipanga katika kuzima maandamano ya amani yaliyoandaliwa na CHADEMA hapo kesho.

Tunashuhudia askari wengi sana wakimwagwa mitaani, huku wakiwa na magari ya washawasha, wakirandaranda na farasi, wengine hata wakiwa wamebeba na silaha za moto.

Swali Moja tu jepesi ambalo nataka kuwauliza Jeshi la Polisi, hivi juhudi kubwa kabisa ambazo mnazitumia, Kwa ajili tu ya kuyazima maandamano ya amani ya CHADEMA hapo kesho, Kwa kuwa nyinyi Jeshi la Polisi na Jeshi lolote Duniani, wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao, naomba mjiulize hivi hizi juhudi zote mnazitumia, mngezitumia katika kuwatafuta viongozi wa CHADEMA waliotekwa na watu tunaoaminishwa kuwa ni watu wasiojulikana, hivi Hadi leo hao akina Soka wangekuwa tu bado hawajapatikana??

Na Kwa kuwa Jeshi la Polisi mahali popote pale Duniani, wajibu wao namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao na Kwa kuwa Jeshi letu la Polisi wsko wapi na Jeshi limeshindwa kutuambia hao ndugu zetu kina Soka, ambao toka watekwe ni zaidi ya mwezi mmoja, jambo la muhimu la kufanyika ni kuwajibika Kwa kujiuzulu, Waziri wa Mambo ya ndani, Yusufu Masauni na IGP Wambura.

Mungu ibariki Tanzania
"Where's the will there's the way".
 
Hivi unaweza weka pesa kwenye wallet yako halafu utumie nguvu nyingi kuichukua?
 
Watanzania wote tunashuhudia jinsi Jeshi la Polisi lilivyojipanga katika kuzima maandamano ya amani yaliyoandaliwa na CHADEMA hapo kesho.

Tunashuhudia askari wengi sana wakimwagwa mitaani, huku wakiwa na magari ya washawasha, wakirandaranda na farasi, wengine hata wakiwa wamebeba na silaha za moto.

Swali Moja tu jepesi ambalo nataka kuwauliza Jeshi la Polisi, hivi juhudi kubwa kabisa ambazo mnazitumia, Kwa ajili tu ya kuyazima maandamano ya amani ya CHADEMA hapo kesho, Kwa kuwa nyinyi Jeshi la Polisi na Jeshi lolote Duniani, wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao, naomba mjiulize hivi hizi juhudi zote mnazitumia, mngezitumia katika kuwatafuta viongozi wa CHADEMA waliotekwa na watu tunaoaminishwa kuwa ni watu wasiojulikana, hivi Hadi leo hao akina Soka wangekuwa tu bado hawajapatikana??

Na Kwa kuwa Jeshi la Polisi mahali popote pale Duniani, wajibu wao namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao na Kwa kuwa Jeshi letu la Polisi wsko wapi na Jeshi limeshindwa kutuambia hao ndugu zetu kina Soka, ambao toka watekwe ni zaidi ya mwezi mmoja, jambo la muhimu la kufanyika ni kuwajibika Kwa kujiuzulu, Waziri wa Mambo ya ndani, Yusufu Masauni na IGP Wambura.

Mungu ibariki Tanzania
Wakiwaumiza watu wasio na silaha watamchafua Rais wetu ICC.
 
Watanzania wote tunashuhudia jinsi Jeshi la Polisi lilivyojipanga katika kuzima maandamano ya amani yaliyoandaliwa na CHADEMA hapo kesho.

Tunashuhudia askari wengi sana wakimwagwa mitaani, huku wakiwa na magari ya washawasha, wakirandaranda na farasi, wengine hata wakiwa wamebeba na silaha za moto.

Swali Moja tu jepesi ambalo nataka kuwauliza Jeshi la Polisi, hivi juhudi kubwa kabisa ambazo mnazitumia, Kwa ajili tu ya kuyazima maandamano ya amani ya CHADEMA hapo kesho, Kwa kuwa nyinyi Jeshi la Polisi na Jeshi lolote Duniani, wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao, naomba mjiulize hivi hizi juhudi zote mnazitumia, mngezitumia katika kuwatafuta viongozi wa CHADEMA waliotekwa na watu tunaoaminishwa kuwa ni watu wasiojulikana, hivi Hadi leo hao akina Soka wangekuwa tu bado hawajapatikana??

Na Kwa kuwa Jeshi la Polisi mahali popote pale Duniani, wajibu wao namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao na Kwa kuwa Jeshi letu la Polisi wsko wapi na Jeshi limeshindwa kutuambia hao ndugu zetu kina Soka, ambao toka watekwe ni zaidi ya mwezi mmoja, jambo la muhimu la kufanyika ni kuwajibika Kwa kujiuzulu, Waziri wa Mambo ya ndani, Yusufu Masauni na IGP Wambura.

Mungu ibariki Tanzania
Watanzania wote tunashuhudia jinsi Jeshi la Polisi lilivyojipanga katika kuzima maandamano ya amani yaliyoandaliwa na CHADEMA hapo kesho.

Tunashuhudia askari wengi sana wakimwagwa mitaani, huku wakiwa na magari ya washawasha, wakirandaranda na farasi, wengine hata wakiwa wamebeba na silaha za moto.

Swali Moja tu jepesi ambalo nataka kuwauliza Jeshi la Polisi, hivi juhudi kubwa kabisa ambazo mnazitumia, Kwa ajili tu ya kuyazima maandamano ya amani ya CHADEMA hapo kesho, Kwa kuwa nyinyi Jeshi la Polisi na Jeshi lolote Duniani, wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao, naomba mjiulize hivi hizi juhudi zote mnazitumia, mngezitumia katika kuwatafuta viongozi wa CHADEMA waliotekwa na watu tunaoaminishwa kuwa ni watu wasiojulikana, hivi Hadi leo hao akina Soka wangekuwa tu bado hawajapatikana??

Na Kwa kuwa Jeshi la Polisi mahali popote pale Duniani, wajibu wao namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao na Kwa kuwa Jeshi letu la Polisi wsko wapi na Jeshi limeshindwa kutuambia hao ndugu zetu kina Soka, ambao toka watekwe ni zaidi ya mwezi mmoja, jambo la muhimu la kufanyika ni kuwajibika Kwa kujiuzulu, Waziri wa Mambo ya ndani, Yusufu Masauni na IGP Wambura.

Mungu ibariki Tanzania

View: https://www.facebook.com/100064852174593/videos/chadema-wanatekana-wenyeweeasema-dr-slaaza-chini-zinasema-dr-slaa-anapanga-kurej/471191618399307/
View: https://www.facebook.com/watch/?v=471191618399307&vanity=100064852174593
 
Hiyo haiwezekani😅
Sawa sawa , ahsante kwa kuelewa.

Kwa ufupi kina Soka wako kizuizini kwenye mafcho ya hao wahuni , haiitaji nguvu kujua hasa mawasiliano ya Soka k ya mwisho kabla hajapotea.
 
Back
Top Bottom