Hii nguvu kubwa sana inayotumika na Jeshi la Polisi kuzima maandamano ya CHADEMA, nguvu hiyo hiyo ingetumika, bado tungekuwa hatujawapata akina Soka?

Hii nguvu kubwa sana inayotumika na Jeshi la Polisi kuzima maandamano ya CHADEMA, nguvu hiyo hiyo ingetumika, bado tungekuwa hatujawapata akina Soka?

Tanzania vyama ni viwili ccm na chadema asa we unachoona cha ajabu kipi ?

Nimekubali CHADEMA ni kiboko ya samia na ccm yake. Mkwara wa CHADEA umeibua mpaka farasi na miumbwa koko. Asanteni CHADEMA tumejua samia ni dhaifu kiasi gani
 
Back
Top Bottom