Hii ni ishara ya kwamba Simba SC ni timu teule Afrika kutoka kwa Mungu

Hii ni ishara ya kwamba Simba SC ni timu teule Afrika kutoka kwa Mungu

Huyo mtoto akipimwa vizuri atagundulika na kifafa cha akili
N:B: msiniulize nimejuaje tatizo hili huwakumba mashabiki wote wa hiyo timu
Wewe na mleta mada mna kifafa cha akili hata msipopimwa. Hata mtu mzima angewekewa hizo nembo mbili angechagua moja. Sasa maelezo mareefu ya nini?
 
Kuna mahala hapo nyuma ya kichwa Yako ulipigwa sana makonzi imekuletea shida ya afya ya akili
 
Waliopiga marufuku bangi walikuwa Sahihi.

Na hivi ndio inavutiwa Kwa kificho madhara yako hivi, sasa pata picha ingehalalishwa kama sigara ingekuwaje?
We unaongea nini?mbona wewe ndio unachangia kama mvuta bangi..we ukijitathmini una akili kweli?
 
Nami nichukue nafasi hii kuuliza kama mdau Mwingine apendavyo kuuliza. HIVI HUU UJINGA MNAZALIWA NAO AU MNAJIFUNZIA UKUBWANI? Maana reasoning ya Ubongo wako ni hamna kabisa
 
Nami nichukue nafasi hii kuuliza kama mdau Mwingine apendavyo kuuliza. HIVI HUU UJINGA MNAZALIWA NAO AU MNAJIFUNZIA UKUBWANI? Maana reasoning ya Ubongo wako ni hamna kabisa
We nenda kanye mavi ya njano huko..huna akili..Azam kwa sasa inaweza ikawa kubwa kuliko yanga.
 
Endeleeni na sifa za kijinga zisizo na kichwa wala miguu halafu mwishoni mukipigwa tena 🖐🏿 munatafuta wa kumtumpia lawama.
 
Hili tukio la mtoto mdogo kuchagua Simba sc baada ya kuwekewa nembo ya Simba na yanga, kisha akachagua Simba sc ni ishara yakwamba Simba sc ndio timu teule kutoka kwa Mungu kuiwakilisha Tanzania, Afrika mashariki na kati,na Afrika kwa ujumla Duniani kote kama Timu bora ya nyakati zote.

Pia kitendo cha Chasambi kukataa mshahara wa millioni 6 Yanga na kukubali mshahara wa millioni 2 Simba, tafsiri yake au sababu ya msingi ni kwamba Chasambi ameangaalia ukubwa wa Simba sc na Yanga, akaona ni bora achezee timu kubwa na bora Tanzania,afrika mashariki na kati na timu inayojiandaa kucheza kombe la Dunia la vilabu kwa sh.milioni 2 ili apate exposure Duniani.

Ni ukweli usiofichika na usioweza kufichika ya kwamba Simba sc ndio mfalme na Baba wa football kwa ubora namba moja Tanzania,Afrika mashabiki na kati kwa kipindi kilichopita,kwa sasa na kwa nyakati zote.

Pia nilichokiona washabiki wengi wa Simba sc hawapendi malumbano sana ila wanaongea kwa vitendo kama timu yao ilivyo..mfano kupewa taji la washabiki bora Afrika.
View attachment 2855148
MBUMBUMBU NI MBUMBUMBU TU HATA IWEJE NI MBUMBUMBU TU
 
Hakuna confirmation report ya kusajiliwa kwa huyo dogo.....
 
Hili tukio la mtoto mdogo kuchagua Simba sc baada ya kuwekewa nembo ya Simba na yanga, kisha akachagua Simba sc ni ishara yakwamba Simba sc ndio timu teule kutoka kwa Mungu kuiwakilisha Tanzania, Afrika mashariki na kati,na Afrika kwa ujumla Duniani kote kama Timu bora ya nyakati zote.

Pia kitendo cha Chasambi kukataa mshahara wa millioni 6 Yanga na kukubali mshahara wa millioni 2 Simba, tafsiri yake au sababu ya msingi ni kwamba Chasambi ameangaalia ukubwa wa Simba sc na Yanga, akaona ni bora achezee timu kubwa na bora Tanzania,afrika mashariki na kati na timu inayojiandaa kucheza kombe la Dunia la vilabu kwa sh.milioni 2 ili apate exposure Duniani.

Ni ukweli usiofichika na usioweza kufichika ya kwamba Simba sc ndio mfalme na Baba wa football kwa ubora namba moja Tanzania,Afrika mashabiki na kati kwa kipindi kilichopita,kwa sasa na kwa nyakati zote.

Pia nilichokiona washabiki wengi wa Simba sc hawapendi malumbano sana ila wanaongea kwa vitendo kama timu yao ilivyo..mfano kupewa taji la washabiki bora Afrika.
View attachment 2855148
Hicho chumba sijui ni stoo!
 
Hicho chumba sijui ni stoo!
Mimi mwenyewe siwafahamu hao ila kwasababu me ni mtu mwenye akili lazima niyaheshimu maisha yao..doesn't matter what...ila kwasababu wewe mavi ya njano yamekujaa kichwani kwako kama hiyo rangi ya mavi inayowakilisha timu yako..sikushangai kwa maneno yako.
 
Back
Top Bottom