Hii ni ishara ya kwamba Simba SC ni timu teule Afrika kutoka kwa Mungu

Ulitolewa lini Milembe?
 
Mume wako ndio mjinga kwa kukuachia password yake ya jf
 
Dah.
Jukwaa lina utoto mwingi hili
 
Klabu teuke kwa Mungu ni Ujinga na utoto wa hali ya juu.

Umeandika Pumba kijana.
Sasa image ndio timu pekee namba 1 na bora Tanzania,Afrika mashariki na kati na ni ya 7 kwa ubora Afrika..timu zingine Tanzania kama Azam,mtibwa,yanga n.k hawapo kwenye timu 100 bora barani Afrika..acha wivu na SIMBA sc mpaka FIFA wanaifahamu.
 
Sasa image ndio timu pekee namba 1 na bora Tanzania,Afrika mashariki na kati na ni ya 7 kwa ubora Afrika..timu zingine Tanzania kama Azam,mtibwa,yanga n.k hawapo kwenye timu 100 bora barani Afrika..acha wivu na SIMBA sc mpaka FIFA wanaifahamu.
Ndo timu teule kwa Mungu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…