Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

Nimesoma mpaka nimemaliza sijaambulia point hata moja.

Hebu iandike upya
 
Mm nilijaribu hata majibu sikupewa [emoji1787] nilikoma hadi leo napambana na hali yangu.
Pole, ila Wakati mwingine kabla hujaingia kwenye mahusiano na mtu vyema ukapata nafasi ya kumchunguza.

Ila wenye huo uwezo wa kutoa Mtaji wa biashara ni married Men. Try them
 
Elfu 10 ndo unajaza server humu...we mpe 10 na kumi yakutolea alafu mpotezee atakuja mwenyewe.
 
Hivyo vya hivyo hovyo sana mkuu, Hawa under 20 ni matatizo sanaaaa, Kuna kimoja nilikakuta maeneo fulani Kako vzr portable, Sasa nikakasemesha kanajibu vzr t nikachukua no, jioni na kacheki kaka respond vzr t, kesho yake nakaambia Kako wapi kasema nyumbani, nyumbani wapi kaka taja, njoo basi tuonane kakasema hakawezi coz kanaishi kwa dada yake na kaachiwa mtoto, nikakauka,
Haikupita nusu saa nikatumiwaa invoice, oooh naomba pesa ninunue chakula coz hapa nateseka, namuekewesha kuwa cwzi tuma pesa ajili ya kt fulani hataki kuelewa, waaaay, nikamuacha na ku mblock mm
 
Shitiholu
 
Sasa Madam, hela imekuwa ngumu na Vijana hawataki kukopwa Penzi si Bora kujichukulia Sheria mkononi na hela yako ndogo ikabaki πŸ™Š
Naomba nikuhakikishie sheria mkononi inamadhara kishenzi nguvu nehi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…