Waliojenga maporini ndo wapo mjini sasa. Kuna ndugu yangu mwaka 2007 alienda kujenga chanika porini tena alipata kiwanja 45*90 kwa 900,000tulimcheka sana. Sasa yupo mjini ana nyumba na frem za maduka.
Sisi bado tunakomaa na tunataka viwanja vya mil 15 tena kwa mkopo/
Fainali uzeeni.
Hayupo mjini ila ni sawa na anayeishi nyumb ya kupangaAsa mtu unajenga Chanika, utasema upo mjini.?
Hivi kiwanja milioni 20,mkopo million 20, banda la kuku na kuku wake 2 million. Jumla napata kama milioni 42 hivi.
Hivi haiwezekan katika milioni 25~30 kupata nyumba ambayo ipo standard ukiwa umepunguza million 10 za mkopo? Na kuwaepusha watoto kula ugali tembele daily? Au ndio ile lazima tukae madale, mbezi beach, kawe nk!
Bila shaka kuna washkaji mkishakamata Lite ya 3 story zake alikua anakukatisha tamaa... akili kichwaniHayo mawazo nilikua nayo hata mm ila mke wangu alikomaa nijenge huku nilipo na palikua polini kiasi ila kwa sasa pamekua town hasa.Ukikaa unasema ule ujana kaa pia ukijua kuna kuachishwa kazi kuna kuna kufilisika kampuni ukajikuta huna pa kushika ukabaki unatoa mimacho tu wakati ulikia unachezea pesa
na umesahau vile vile kuna kufa,,ntajenga kipato kikiruhusu ila siwezi kujitesa kisa tu nijenge,,, unakuta mtu hali vizuri avai vizuri kisa tu anajibana ajenge mimi siweziHayo mawazo nilikua nayo hata mm ila mke wangu alikomaa nijenge huku nilipo na palikua polini kiasi ila kwa sasa pamekua town hasa.Ukikaa unasema ule ujana kaa pia ukijua kuna kuachishwa kazi kuna kuna kufilisika kampuni ukajikuta huna pa kushika ukabaki unatoa mimacho tu wakati ulikia unachezea pesa
Ulitaka ufanyeje labda cha zaidi humu duniani?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]Yaani Bongo tunasoma ili tuajiriwe hafu tuoe kisha tuzae na tuangaike kusomesha tujenge na kununua IST kisha Tufe.
Basi.
Mkuu ulishawahi kujenga?Hiz habar za kujenga nyumba ndog kwanza halaf et tutajenga kubwa baadae mimi nilishayakataa....unajenga kijumba cha kisela af matokea yke unajikuta unazeekea humo...kwanin usijipe muda tu ukiinuka unainuka mzima mzima?
Ndio yale unakuta mstaafu anajengea nyumba pesa ya pensheni. Si sawa sana sema tu ndio maisha. Binafsi naona ni bora nijenge bangaloo pagare complete nipige bati na kuingia nitai finish taratibu mdogo mdog kuliko kujenga kijumba kidogo na kukipiga finishing huku nina mpango wa kujenga nyumba kubwa baadae hapana
Exactly..nimejenga ndio.kwa approach tajwa hapoMkuu ulishawahi kujenga?
Hongera mkuu lkn binadamu hatufanani hasa ukizingatia background ya maisha pamoja na karma... so kila mmoja anajikuna pale mkono wake unapoishiaExactly..nimejenga ndio.kwa approach tajwa hapo
ujinga wa kiwango cha lamiMi banda la kuku nimejenga nyuma sio mbele.
NB: Tutafanya nini sasa.
Na kwanin mtumie mikopo ya riba kujenga nyumba za kuishi?
Subiri mirathisisi wenye miaka 20-25 tunaoishi kwa wazazi mnatushaurije
π π π π π tupo bongo bahati mbaya tu karibu ulaya.Yaani Bongo tunasoma ili tuajiriwe hafu tuoe kisha tuzae na tuangaike kusomesha tujenge na kununua IST kisha Tufe.
Basi.
umeongea kwa hasira mpak mwandiko umevurugikaAcha uongo banda hani la mil 20 kuku wa milioni 2. Kuna watu mnakuaga wachawi sana kwenye kushauri mtu . Sijui mnatokaga famikia za kishua sana au ndo kuhikweza tu.
Biashara sio kwa kila mtu mkuu, tena nyakati hizi za mzee baba, unaweza kushangaa 45 yote imeungua!!Au kwanini usiichukue iyo hela 40 milion ukafanya biashara ya 25 ukaweka reserve 10 milion alafu operation cost 5 milion baada ya miaka mitano ukanyanyuka mzima mzima na vitu viwili mjengo na biashara.
Kujenga nyumba ya kuishi ni moja kati ya uwekezaji mbovu kwa vijana. Chini ya miaka 45 hakika usijenge, ni hasara iyo pesa fanyia biashara zingine