Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Labda umenielewa vibaya mkuu..msisitizo wangu hapo ni kwamba kwa kuwa mimi sikupenda nusu nusu haina maana haikua rahis..]Hongera mkuu lkn binadamu hatufanani hasa ukizingatia background ya maisha pamoja na karma... so kila mmoja anajikuna pale mkono wake unapoishia