Hii tabia ya kutukanwa Hayati Magufuli na wasaka vyeo kwa Samia ukiendelea tunawaonya tutakipasua CCM humu mitandaoni

Hii tabia ya kutukanwa Hayati Magufuli na wasaka vyeo kwa Samia ukiendelea tunawaonya tutakipasua CCM humu mitandaoni

IMG_6645.jpg
 
Ukiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...

Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..

Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...

Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
Na sasa kafa harudi tena na tuko na samiah
 
Magufuli alishakufa, kuzikwa na kuoza, wewe bado unampambania nini sasa?

Ndugu nakushauri sasa anza kupambania maisha yako kwanza, hayo ya kupambania wafu hayatakusaidia kitu, utajichosha bure.
WE hujabomolewa kibanda kwel😂😂, watu wanajifanyaga wanapambana kumbe njaa kali tuu
 
Naantombe Mushi

Jitombashisha

@jidulamumbasi

Naantombae Moshi..

Ngangambafu ngongondingondingo chichiyemu ya baba na Mama hii...

Ukichimba nchale na ukikaa nchale
 
Alikuwa ni mshamba na dhalimu kwa washenzi wachache mliozoea vya bure na kuwakandamiza wanyonge, alikuwa dhalimu kwa washenzi ambao walitumika kuchelewesha maendeleo...

Alikuwa dhalimu pia kwa wale.waliotetea ushenzi, wakaonywa hawakusikia...
Mta refer Lissu na Saanane, wewe una chungu sana na Lissu ameoa kwenu?

Acheni unafiki, hakuna mchezo kwenye masuala na maslahi mapana ya taifa... ukicheza wanalala na wewe, ni serikali zote duniani zenye maendeleo..

Magufuli ni raisi bora wakati wote...

Ww una uchungu na yule dhalimu kwani ulikuwa mchepuko wake? Alikuwa anapigania maslahi gani ya taifa, hakuna maslahi ya taifa yanayopiganiwa na jizi la kura. Alikuwa rais bora kwako maana ww ulikuwa kwenye lile kundi lake la watu wasiojulikana.
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Upo sahihi
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.

Kwani kile chama ambacho kauli mbiu ni "hapa kazi tu" mmefikia nacho wapi 😁😁?
 
Pamoja na yote hayo kashiriki ujenzi wa barabara karibia zote zilizounganisha nchi ambayo unatumia wewe.

Hata mimi ningekuwa na madaraka bado ningejenga barabara tena zenye ubora kuliko za kwake, na nisingeendekeza siasa chafu. Labda useme alijenga hizo barabara substandard kwa mshahara wake.
 
Alikuwa ni mshamba na dhalimu kwa washenzi wachache mliozoea vya bure na kuwakandamiza wanyonge, alikuwa dhalimu kwa washenzi ambao walitumika kuchelewesha maendeleo...

Alikuwa dhalimu pia kwa wale.waliotetea ushenzi, wakaonywa hawakusikia...
Mta refer Lissu na Saanane, wewe una chungu sana na Lissu ameoa kwenu?

Acheni unafiki, hakuna mchezo kwenye masuala na maslahi mapana ya taifa... ukicheza wanalala na wewe, ni serikali zote duniani zenye maendeleo..

Magufuli ni raisi bora wakati wote...
Tuambie huyo shujaa wako kapeleka wap 1.5t. Alikuwa mwiz na mshenz, mkabila,mbabe wa kijinga
 
Watoto wao wananihusu nini we kima mknd...
Usilete huruma za kinafiki kwenye maslahi mapana ya Taifa.

Uliwazaa wewe? Toa unafiki wako hapa...
Mao Zedong wa China ni moja ya alama waliiachia China na kuifanya ifike pale,..

Nchi inanuka umasikini, wananchi watoa kodi wanaumizwa na washenzi wachache waliotunisha wake zao makalio kwa pesa za wanyonge... halafu linatokea lijinga kutetea ushenzi.. hata kama ni mie nakufutia juu kwa juu pmbv

Unajua utendaji mbovu, rushwa jinsi ulivyopoteza maisha ya wa Tanzania masikini?

Nchi ambayo bado mnatongoza wapiga kura kwa kuwadanganyia vyoo na madawati inahitaji mkono wa chuma na mtu kama JPM...
Shetani katika ubora wake
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Kwi Kwi Kwi !
 
Kwanza JF hairuhusu matusi, posti zenye matusi hufutwa na watukanaji hupigwa ban.
Kwanini unaplay VICTIM?!!!

Hivi kuna mwanaCCM haswa....kindakindaki.....aliyeiva itikadi bora ya CCM akaufunua mdomo wake KUMTUKANA kiongozi yeyote wa CCM?!!!

Yaani kabisa mwanaCCM huyo amtukane ALIYEPATA kuwa MWENYEKITI WAKE WA CHAMA na RAIS WA JMT?!!!

Nakataa huyo si mwanaCCM wa ITIKADI......

Humu JF kipindi cha UTAWALA WA AWAMU YA 5 tulikuwa wote....bega kwa bega na UONGOZI WA AWAMU HIYO NA CCM YAKE ila cha ajabu "wanahesabika mno" wanaoendeleza ADA ileile....wako waliomuacha AMIRI JESHI mh.Rais SSH na kuanza kumshambulia na KUMKEBEHI....wanajulikana humu!!!

Wako wanaomshambulia kwa DHIHAKA NA KEDI El Comandante hayati JPMRip)....nao wanajulikana humu!!!!

Waliobaki KATI.....wanajulikana humu......

My take : Tuache UNAFIKI
CCM ipo kabla ya hayati JPM na itaendelea kuwepo baada ya utawala wa mh.Rais wetu SSH.....

Tujikumbushe UTII KWA CHAMA NA UTII KWA MWENYEKITI WETU NA RAIS WA JMT[emoji120]

#SIEMPRE JMT
#SIEMPRE SSH
#NCHI KWANZA
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Dikteta kichaa alijichafua mwenyewe
 
Magufuli alishakufa, kuzikwa na kuoza, wewe bado unampambania nini sasa?

Ndugu nakushauri sasa anza kupambania maisha yako kwanza, hayo ya kupambania wafu hayatakusaidia kitu, utajichosha bure.
Hampambanii ,ispokuwa hataki mchezo wa kingese unaoendelea
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Mkuu umenena vyema. Sie tunawaangalia tu.
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Wacha kipasuke tu
 
Mbona nyie mlimtukana kikwete na hatukusema malipo ni hapa hapa
 
Back
Top Bottom