Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hakuna ibada zozote za sehemu inayo itwa "kuzimu" zinazofanya watu wasagane.Hivi unazijua hizi K za toleo jipya Mkuu? Zina mengi yasiyozitosheleza.
Usagaji na Ushoga kwa watu maarufu wengi wanatimiza Ibada za kuzimu. Wasanii wengi, wengi sana kwa mfano, Wana practice hii kitu.
Nina swali kwako wewe dada, mwanamke mwenzako akikutongoza huwa mnaomba hela?Wanaume wanachangia Kwa kiwango kikubwa wanawake kuwa wasagaji
Kadri mnavyowaumiza ndivyo wanavyozidi kukataa tamaa na wengi kufanya maamuzi mabaya kujiingiza huko.
Hata mie nishapitiwa sana na hayo mawazo.inahitaji Imani dhabiti kuendelea kusimama katika nafasi yako ukiamini ipo siku Kila kitu kitakuwa sawa.ipo siku utaolewa na kuwa na familia yako nzuri tu.
Lakini ukiwa legelege kimsimamo unajikuta huko dakika chache na ukiwa addicted ndo basi Tena.
Ni kweli dokta...shikamoo doktaaaImeandikwa utakula kwa jasho[emoji3][emoji3]
NAKAZIAMaisha ni haya haya acha wasagane
Asante.shida wanaonipinga ni wanae,hawaelewi kituSister Abigail ana hoja asikilizwe.
Kuumizwa na mahusiano inaweza kuwa moja ya sababu inayochangia mtu kuingia kwenye hiyo michezo.
Binti kama amekuwa akilizwa kwenye mahusiano, halafu akakutana na msagaji akamrubuni huyu, huyu binti asipokuwa na msimamo uwezekano ni rahisi kuteteleka.
Martha MwaipajaHabarini,
Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria
Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.
Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Sijawahi kudate mwanamke mwenzangu,so Sina jibu.kawafate unaowajua wanadate mwanmke Kwa mwanmke watakujibu jibu zuri iam sureNina swali kwako wewe dada, mwanamke mwenzako akikutongoza huwa mnaomba hela?
Nimeuliza sababu hata wewe umesema ulishatamani kusagana ndo nikauliza hata wasaganaji mnaombana hela?Sijawahi kudate mwanamke mwenzangu,so Sina jibu.kawafate unaowajua wanadate mwanmke Kwa mwanmke watakujibu jibu zuri iam sure
Nimesema nlitamani,ila sijawahiNimeuliza sababu hata wewe umesema ulishatamani kusagana ndo nikauliza hata wasaganaji mnaombana hela?
Sina wa kumuuliza mwingine labda ajitokeze msagaji humu jf atoe majibu.
Hapa umesema kweli lakini imeelekeza lawama sehemu isiyo sahihi chanzo cha yote ni udanganyifu wa shetani na tamaa za mtu mwenyewe sababu inaweza kuwa wanaume lakini pia inaweza kuwa wanawake wenyewe kudanganyikaWanaume wanachangia Kwa kiwango kikubwa wanawake kuwa wasagaji
Kadri mnavyowaumiza ndivyo wanavyozidi kukataa tamaa na wengi kufanya maamuzi mabaya kujiingiza huko.
Hata mie nishapitiwa sana na hayo mawazo.inahitaji Imani dhabiti kuendelea kusimama katika nafasi yako ukiamini ipo siku Kila kitu kitakuwa sawa.ipo siku utaolewa na kuwa na familia yako nzuri tu.
Lakini ukiwa legelege kimsimamo unajikuta huko dakika chache na ukiwa addicted ndo basi Tena.
Wadada hawakutongozi inbox kwasababu huposti picha nzuri za kujionesha utanashati wako.Habarini,
Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria
Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.
Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Waliposema kua uyaone, sio magorofaHabarini,
Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria
Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.
Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶