SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 1,213
- 1,918
Usagaji na Ushoga havijaanza leo ila UTANDAWAZI umefanya viwe wazi kwa maana ya "BAD STORIES, BIG STORIES"..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule za single sex ni tatizo la ili Janga
Sawa, lakini ukitamani kitu unaweza uliza gharama hata kàma hukinunui.Nimesema nlitamani,ila sijawahi
Sa mie ntajuaje mkuu
Warumi 1Habarini,
Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria
Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.
Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Unataka kuharibu jukwaaHivi wanasaganaje ? Kwa anayejua atujuze
Hao mashoga wengi wamezaliwa wakiwa na matatizo ya homoni kama ilivyo kwa baadhi ya wasagaji hadi wenginge wanaitwa "tom boy" wengine wengi ni tamaa za maisha mazuri bila kutoa jashoHujanielewa.nimesema ni chanzo kimojawapo kinachangia.lakini sio general kwamba Kila msagaji ni WA kuumizwa,wengine kama sababu ulizotaja wapo..ama mashoga wana vyanzo vingapi mpaka unakuta kijana mzuri anakuwa shoga?
Wanaume mkipewa muwe mnaifanyia kazi vizuri, mi ninachoona ni kuwa wasagaji wengi wao wapo huru kwa wasagaji wenzio na hii inapelekea kila mmoja kuridhika na huko kukoboana ndio maana wakianza hawaachi.Hatari mtu wangu, mdada anataka mwanaume tall, dark, handsome, 6ft, 6 figures, 6 packs bongo hii wanaume wa hivyo wako wangapi?
Unakuta mdada anamtoa out/vacation expensive rafiki yake wa kike, wakati kwenye relationship yake na mwanaume, hajawahi mnunulia mwanaume wake hata biskuti ya tsh 500, unajua ni marafiki kumbe wanasagana🤔, sijui wasagaji wanapeana vitu gani adimu Hadi wanahongana, wakati wanasema wanawake nature Yao sio kuhonga, hatari mkuu Sister Abigail Sosthenes Maendeleo mzabzab DeepPond Ms R Donatila
Njaa kivipi yaani hebu fafanua.Njaa tu zinawasumbua, wanaosagwa
Vyote vina madhara...yaani vyoteeUsagaji hauna madhara makubwa kama ushoga
ModeratorHakuna raha kama VITUMBUA VIWILI vinapokutana na KUBAMIZANA.
Unakuta LIKITUMBUA limenona kama kitimoto, linakutana na mwenzake aliyenona, ni mwendo wa siagi tu SAGA NIKUSAGEEE assssshhhhhhh
Cc: Lamomy binti kiziwi secretarybird Mbaga Jr Poor Brain Extrovert
Asamalekoooo fundi mkuu wangu😀Njaa kivipi yaani hebu fafanua.
Mfano mimi nikikutana na BFF wangu Evelyn Salt tukakoboana, njaa inahusikaje hapo?
Naona umeanza kashifa za rejareja kwa kipenzi chetu watanganyika Samia Hassan Mwinyi🤫🤫🤫Habarini,
Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria
Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.
Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Utamu unachezewa sana siku hiziUtandawazi😂
Tumia akili wewe zuzu usagaji ni bora hata kuliko punyeto kwa wanaume sembuse ushoga ?🙄👏 ushoga unaua kizazi kabisa cha binadamu ni hatari sana....huu ndiyo mtiririko wa ubaya kwanza kabisa kwa ubaya niVyote vina madhara...yaani vyotee
Happy holidays my dear fundiAsamalekoooo fundi mkuu wangu😀
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna raha kama VITUMBUA VIWILI vinapokutana na KUBAMIZANA.
Unakuta LIKITUMBUA limenona kama kitimoto, linakutana na mwenzake aliyenona, ni mwendo wa siagi tu SAGA NIKUSAGEEE assssshhhhhhh
Cc: Lamomy binti kiziwi secretarybird Mbaga Jr Poor Brain Extrovert
Si ni rahisi kupataUtamu unachezewa sana siku hizi