Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Habarini,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.

Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria

Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.

Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Warumi 1
26 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;

27 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.

28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
 
Hujanielewa.nimesema ni chanzo kimojawapo kinachangia.lakini sio general kwamba Kila msagaji ni WA kuumizwa,wengine kama sababu ulizotaja wapo..ama mashoga wana vyanzo vingapi mpaka unakuta kijana mzuri anakuwa shoga?
Hao mashoga wengi wamezaliwa wakiwa na matatizo ya homoni kama ilivyo kwa baadhi ya wasagaji hadi wenginge wanaitwa "tom boy" wengine wengi ni tamaa za maisha mazuri bila kutoa jasho
 
Hatari mtu wangu, mdada anataka mwanaume tall, dark, handsome, 6ft, 6 figures, 6 packs bongo hii wanaume wa hivyo wako wangapi?

Unakuta mdada anamtoa out/vacation expensive rafiki yake wa kike, wakati kwenye relationship yake na mwanaume, hajawahi mnunulia mwanaume wake hata biskuti ya tsh 500, unajua ni marafiki kumbe wanasagana🤔, sijui wasagaji wanapeana vitu gani adimu Hadi wanahongana, wakati wanasema wanawake nature Yao sio kuhonga, hatari mkuu Sister Abigail Sosthenes Maendeleo mzabzab DeepPond Ms R Donatila
Wanaume mkipewa muwe mnaifanyia kazi vizuri, mi ninachoona ni kuwa wasagaji wengi wao wapo huru kwa wasagaji wenzio na hii inapelekea kila mmoja kuridhika na huko kukoboana ndio maana wakianza hawaachi.

NB: Mwanaume ukisikia mdada ana BFF wake ujue unaibiwa.
 
Hawa wa fb ni wamenifata zaidi ya wanne wengine nawajua wengine siwajui..Ila nilichunguza chanzo kikubwa ni
Kuendekeza na kufata mkumbo
Ila pia malezi
Wazazi fatilieni watoto wenu
Mtoto wa kike akianza huu mchezo sio rahisi kumgundua..
Ila jamani mbo* ilivyo Tamu vile unaanzaje kumuwaza mwanamke mwenzio
 
Habarini,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.

Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria

Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.

Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Naona umeanza kashifa za rejareja kwa kipenzi chetu watanganyika Samia Hassan Mwinyi🤫🤫🤫
 
Vyote vina madhara...yaani vyotee
Tumia akili wewe zuzu usagaji ni bora hata kuliko punyeto kwa wanaume sembuse ushoga ?🙄👏 ushoga unaua kizazi kabisa cha binadamu ni hatari sana....huu ndiyo mtiririko wa ubaya kwanza kabisa kwa ubaya ni
1)ushoga
2)punyeto kwa wanaume
3)punyeto kwa wanawake
4)usagaji

Tazama hapo usagaji ndiyo wenye madhara duni kuliko vyote.....unaweza kushangaa kwanini punyeto ina madhara kuliko usagaji ? Tumieni akili.....
 
Back
Top Bottom