Hii tabia ya wanaume kukuna mkono wa mwanamke akisalimiana ni aibu tubadilikeni

Uko sawa hata mi sipeani mikono.. Maana kuna tabia za watu kuji kuna mbupu na somewhere.. Afu unajisahau ule mikono uliosalimiana nae unajishika mdomoni🤣🤣.. Wtf
 
😁😁😁 wewe mjanja sana, natamani mtoto wangu wa kike aje kuwa hivi.
 
Kushikana shikana mikono si poa.
 
Uko sawa hata mi sipeani mikono.. Maana kuna tabia za watu kuji kuna mbupu na somewhere.. Afu unajisahau ule mikono uliosalimiana nae unajishika mdomoni[emoji1787][emoji1787].. Wtf
Acha kabisa kuna kujikuna mbupu na kuna wale wanapenga makamasi halafu anajifuta kwenye suruali, unakutana nae anakupa mkono, dooh! [emoji1785][emoji119]
 
[emoji16][emoji16][emoji16] wewe mjanja sana, natamani mtoto wangu wa kike aje kuwa hivi.
Mfundishe tu mapema ajue kushikana mikono hapana,
Magonjwa ni mengi pia tunashauriwa tukirudi nyumbani baada ya mizunguko yote cha kwanza ni kunawa mikono na sabuni kwa maji tiririka, tunashika vingi huko njiani.
 

Ila kutuma salam kama kawaida.. bbj
 
Mbona mnalinyonya kwa mdomo ?!
 

Kumbe ni upinde… ndio maana fuse za ubongo zimelegea
 
Wabongo wana tabia za hivyo wao wanawaza ngono mda wote ,binafsi huwa sipendi hii tabia na huwa sihisi chochote,zaidi ya kukuona mshamba
Mtu unayejiheshimu huwezi kupewa mkono alafu ukaanza kuukuna kuukuna kuna,stupid!
 
Mfundishe tu mapema ajue kushikana mikono hapana,
Magonjwa ni mengi pia tunashauriwa tukirudi nyumbani baada ya mizunguko yote cha kwanza ni kunawa mikono na sabuni kwa maji tiririka, tunashika vingi huko njiani.
Sawa nimeupokea ushauri.
 
Ikatungiwe sheria bungeni haraka
 
One dei manzi wangu alikuja home, sasa bro wangu hamfaham katika kusalimiana wakashake mikono, siku nyingine kabisa dem akaniuliza hivi yule kakaako ananiniii mbona sikuile alinikuna kiganja? Dah, nilim mind bro kinoma. Siyo tabia nzuri kwakweli.
 
Akili nyingi sana 😆
 
Mimi nilijua baada ya Covid19 watu wameacha kusalimiana kwa kushikana mikono, kumbe bado wapo watu wanashikana mikono!

Kusalimiana kwa kushikana mikono hakufai hata kabla ya Covid19, sema tu ilikuwa ukikataa kutoa mkono unaonekana unaringa, ila hakuna sababu ya kusalimiana kwa kushikana mikono ili kulinda afya zetu maana watu wanashika vitu mbalimbali na hawanawi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…