Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Uko sawa hata mi sipeani mikono.. Maana kuna tabia za watu kuji kuna mbupu na somewhere.. Afu unajisahau ule mikono uliosalimiana nae unajishika mdomoni🤣🤣.. WtfNilivyokua na kinyaa siwezi kushake hands na mwanaume, hua nawaza pengine katoka kukojoa huko kajishika kadude kake hata kunawa hajanawa [emoji2961],
Akilazimisha kuleta kono lake nakunja ngumi nampa tano na hapo lazima nijifute na sanitizer [emoji40]