HII TIMU INAYOMRUBUNI FEI TOTO ILI IMSAJILI MPAKA AKAVUNJA MKATABA NA KLABU YAKE YA YANGA MBONA AIMTAMBULISHI MPAKA SASA KAMA YUKO HURU?

sasa leo hao wanasheria wake walianza kwa kumkataa wakili wa yanga mgongolwa haha ila kamati inetupilia mbali hilo shauri
 
Nyie mnasem hajielewi wakati mtu anapigania ugali wake... we unadhani akizeeka atakula yale mashuti

Mpira ni hela.. sio maneno matupu... mwacheni aende kwa wataomlipa..
Ulichosema ni kweli, lakini alitakiwa kuwa muungwana kwa kumshirikisha mwajiri wake. Hata akina Msuva walipita Yanga, na sasa wapo nje ya nchi!

Kiufupi hakutumia njia ya mkato kama aliyotumia huyu dogo. Alifuata utaratibu, akaondoka kwa baraka zote. Shida iko wapi kwa Fei Toto?
 
Anyway inawezekana na yeye anamakosa.. lakini mimo nafikiri yanga wana makosa zaidi.. walikuwa wapi muda wote huo kukaa naye chini kuboresha mkataba?

Maana binafsi ishu ya feitoto kwamba analipwa hela ya mchicha tumeanza kuisikia kitambo.. maana yake yanga walikuwa na mda wa kutosha kukaa naye chini lakini ni kama walikuwa wanapuuzia.
 
Ukitaka mpira wako ufie Bongo hata kama una kipaji na uwezo wa kucheza Barcelona basi jisajili Yanga.

Mbele ya safari wachezaji wenye malengo watakimbia kusajiliwa na Yanga.
Hivi Msuva alichezea Simba? na Tuswila naye alichezea Azam? Cha msingi ni kufata tararibu tu
 
Wala hamna cha ajabu! Mbona umemsajili Mudathir Yahaya mchezaji ana Nusu Msimu yupo Magomenii! Hata Fei nae atacheza wakati atakaoona ni sahihi! Uwehu ni UTO, Mchezaji ni wenu na hamumtumiii!
 
Hivi Msuva alichezea Simba? na Tuswila naye alichezea Azam? Cha msingi ni kufata tararibu tu
Taratibu ni zile zile kama alivosajiliwa GADIEL & SURE BOY .... Azam to UTO...
 

kama yupo huru kesi za TFF za nn
 
Hiyo Hela ya mchicha nani alisaini?
 
Mkataba ulisema wazi alipe 100M na mshahara wa angalau miezi mitatu.
Alilipa kama mkataba unavyosema,wewe unasemaje aliondoka bure?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Yaani akiamka tu asubuhi anaweka hizo hela anaondoka?si kwamba ndogo la hasha.ingekuwa hakuna mchezaji mzuri anadumu kwenye klabu na vilabu mchezaji akishuka kiwango au asipoonyesha uwezo wanamfukuza Mara moja win win situation.
Kama ndio hivyo basi walioandaa huo mkataba Ni wajinga Sana.na labda watakuwa maafisa sheria sio mawakili
 
Wewe umemleta nani? Ngoja tusubili huo utambulisho wa feisal mtausubili mpaka kiama
Sisi tutatangaza wachezaji tukifanikiwa kuwapata. Siyo drama za anapiga mashuti makali halafu uishie kuzindua channel ya TV
 
Kitu mnachoshindwa kuelewa kwanza mnatanguliza chuki kabla ya yote kwa akili zenu mnakua mnahisi Yanga siku zote anakosea. Hakuna mchezaji anayekatazwa kuvunja mkataba ila uvunjaji wa mkataba unataratibu zake kulingana na mazingira na wakati husika. Wauluze ma HR kwa level ya maofisini wakueleze terms of contract termination.

Yan kwakua tu kwenye mkataba kuna kipengele cha kuvunja mkataba basi unavunja unavyotaka wewe. No haipo ivyo
 
Mpaka mfanyakazi kuamua kuvunja mkataba ina maana hajaridhishwa na malipo au huduma anazopata.
Kuna kipengele cha kuvunja mkataba na kinaelezea namna ya kuvunja mkataba kama kipo na mchezaji akataka kuvunja mkataba mimi sioni kosa lake. Nilivyosikia kwenye kipengele cha kuvunja mkataba unatakiwa ulipe 100 milion. Sasa Yanga hawataki wanataka Feisal abaki kucheza.
Morrison naye mliandama mpaka sijui wapi, wachezaji wanataka masilahi (pesa)
 
Kama akili zako zinafanyakazi mkataba unaboreshwa pale unapoongeza mkataba mpya, unapewa muda wa kusoma mkataba na kunegotiate, msiongee vitu kimihemko badala ya fact.

Feisal alisaini mkataba mpya that means alikubaliana nao.

Aziz Ki na mama yake walikaa hotelini zaidi ya wiki walikuwa bado hawajakubalina vipengere mpaka walipoelewa ndio akasaini mkataba.

Acheni uswahili uswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…