Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Nyie mnasem hajielewi wakati mtu anapigania ugali wake... we unadhani akizeeka atakula yale mashutiSema wachezaji mabumunda, na wale wasiojielewa kama Fei Toto ndiyo watakimbia kusajiliwa na Yanga.
Mpira ni hela.. sio maneno matupu... mwacheni aende kwa wataomlipa..