Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Sema wachezaji mabumunda, na wale wasiojielewa kama Fei Toto ndiyo watakimbia kusajiliwa na Yanga.Ukitaka mpira wako ufie Bongo hata kama una kipaji na uwezo wa kucheza Barcelona basi jisajili Yanga.
Mbele ya safari wachezaji wenye malengo watakimbia kusajiliwa na Yanga.