Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #121
Kwahio hata Ile tuzo ni comedy, Sio kitu serious kumbe..... anyway yaisheSina muda wa kuangalia Video ila kama content / muktadha ulikuwa comedy kwahio chochote kitakachotokea huko nakichukulia kwamba ni comedy (siwezi kutafuta vitu serious kwenye comedy)
Basi Mimi nina chuki, na makasiriko. AsanteMleta mada na wenye mawazo yakufanana na yako, unaijua "White House correspondent dinner"
Inafanyika ndani ya ikulu ya nchi yenye nguvu na ushawishi duniani, wenye userious kuliko familia yako... Shoo inajaa comedian kibao... Rais anataniwa kupita maelezo
PUNGUZA CHUKI NA MAKASIRIKO
Hata Ile tuzo haikua ya maana..... that's good!Kwa akili yako mleta mada,
Katika vitu vyote wameongea wale wachekeshaji kipi kilikuwa cha maana kwa Rais Samia zaidi ya comedy?
Ni kweli kabisaNi lini ccm walifanya masuala yanayolinda maadili?
Achana na kuomba picha... Kulikuwa na haja gani ya hao wanaojiita wachekeshaji kupanda jukwaani kuimba mapambio na kumuabudu SSH?!
Wote wawili ni wahuniSijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
Eeghh kumbe?Rais mwenyewe X wa mtu.
Aisee kwahio kama mtu akipata tuzo ya kucheza mpira hio tuzo nayo ni kucheza tu na haina maana ? Au sababu Tuzo ni Serious na kitu cha maana basi vichekesho vibadilike na kuwa Serious ?; Comedy ni all about kufurahisha, kuchekesha na has nothing to do na vitu serious (ni avenue ya kupunguza / kuondoa stress) ni entertainment....; kwahio so long as ina induce laughther (its all good)Kwahio hata Ile tuzo ni comedy, Sio kitu serious kumbe..... anyway yaishe
Mzee ww ni mwana ubawa ? Mbona umejibu kistratajiaNadhani ilikuwa vionjo vya hao wachekeshaji tu. Nothing serious to my side. Hata hivyo sipuuzi moja kwa moja shaka yako.
Umellezea vzr sana good kama mwanmke yyte anaakuwa rais mbona mama yke mtoa mada kaishia kuuza togwa. Tuheshimuni raisWewe ndio umetafsiri kipuuzi... Hakuna mahali amemaanisha anataka kupiga picha na Rais ili kumringishia mpenzi eti sababu ya uanamke wa Rais. No way acha ujinga. Anaomba kupiga sababu na mamlaka ya utaasisi wa rais, ili mpenzi wake ajue jamaa kwa sasa yupo juu au kimjini mjini ni system.. Umeelewa we tikiti... Tumpe heshima Rais wetu wakati mwingine.
Mimi nimeangalia haina ubaya wowote.Kumbe hujaangalia video Halafu unachangia? Poor you
Una complicated mambo. Mambo yote yalikuwa katika comedy nothing seriousSijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
Wewe ndiye hujaelewa,amlingishie mwanamke wake na anapiga na rais mwanamke,tafsiri yake nini?Wewe ndio umetafsiri kipuuzi... Hakuna mahali amemaanisha anataka kupiga picha na Rais ili kumringishia mpenzi eti sababu ya uanamke wa Rais. No way acha ujinga. Anaomba kupiga sababu na mamlaka ya utaasisi wa rais, ili mpenzi wake ajue jamaa kwa sasa yupo juu au kimjini mjini ni system.. Umeelewa we tikiti... Tumpe heshima Rais wetu wakati mwingine.
Kuna kitu mnakikosa.Yeye mwenyewe kakubali hayo maigizo ndio maana kapewa tuzo ya uigizaji.
Hivi na nyie mlitarajia division 0 ijifiche kweli?
View attachment 3246887
Mbona huku kakimbia??Kuna kitu mnakikosa.
Kuna andiko la maelfu ya miaka
How to win election la Marcus Cicero.
Washauri wa Raisi Samia kwenye mambo ya siasa wanafanya kazi kitaalamu Sana.
Wanaangalia matukio yanayo vuta watu wengi kwenye jamii kwa wakati husika.
Wanajipenyeza na kuteka nyoyo au hisia za wengi ambao ndio mtaji wa kura.
Wanaifanyia social engineering in politics jamii kubwa ya wananchi wa kawaida.
Eeghh tusibishane, ni Sawa kilichotokea, kumtania Raisi kwa kumlinganisha na Ex wake. Anyway hata angemshika Nanihii ni Sawa Tu si ni comedy??Aisee kwahio kama mtu akipata tuzo ya kucheza mpira hio tuzo nayo ni kucheza tu na haina maana ? Au sababu Tuzo ni Serious na kitu cha maana basi vichekesho vibadilike na kuwa Serious ?; Comedy ni all about kufurahisha, kuchekesha na has nothing to do na vitu serious (ni avenue ya kupunguza / kuondoa stress) ni entertainment....; kwahio so long as ina induce laughther (its all good)
Hata kama sio Rais ni mtu tu baki ndio ashikwe ? Kwamba kuna mambo sawa ya kufanyiwa mtu baki ambayo Rais asifanyiwe ? (Kama kuna boundary au what is deemed not appropriate kwa yoyote yule basi kisifanyike ila sio sababu ni Rais ndio afanyiwe au asifanyiwe kitu ukishaingia kwenye ukumbi wa Comedy ni Fair Game chochote ambacho angefanyiwa mtu baki na yeye anafanyiwa...Eeghh tusibishane, ni Sawa kilichotokea, kumtania Raisi kwa kumlinganisha na Ex wake. Anyway hata angemshika Nanihii ni Sawa Tu si ni comedy??
Kama na wewe ni mshauri wa Samia basi nyie ndio mnaompotosha.Kuna kitu mnakikosa.
Kuna andiko la maelfu ya miaka
How to win election la Marcus Cicero.
Washauri wa Raisi Samia kwenye mambo ya siasa wanafanya kazi kitaalamu Sana.
Wanaangalia matukio yanayo vuta watu wengi kwenye jamii kwa wakati husika.
Wanajipenyeza na kuteka nyoyo au hisia za wengi ambao ndio mtaji wa kura.
Wanaifanyia social engineering in politics jamii kubwa ya wananchi wa kawaida.