"Akicheza na Isaka mwanaye?" Sijawahi ona mbona kwenye maandiko huo mstari, version Gani hiyo mkuu?Mwanzo 21:9 Baadaye Sara alimwona Ishmaeli, mtoto wa Abrahamu aliyezaliwa na Hagari, Mmisri, akicheza na Isaka mwanawe. 10Basi, Sara akamwambia Abrahamu, “Mfukuzie mbali mjakazi huyu na mwanawe.
HAPA NDIPO ASILI YA UZAO WA CHUKI, ULIPAJI VISASI, MAUAJI, UGAIDI ULIPO ANZIA.
WATU WA VISIWANI NI KAMA WATU WA UZAO WA ISHIMAEL WENGINE, USISUMBUKE NAO
Dhambi ya ubaguzi huwa haiishi kamwe.Huyu jamaa ni muislamu mbona ?
Ulisikia wapi ? kule kuna sheria zao fuateni msipeleke demokrasia yenu sio Tanganyika....Kwa hiyo mkristo ndo mwenye haki ya kufanyiwa ubaguzi na waislamu?
Unaongea nn? yaani zanzibar inakuhusu nn ? Acha unafiki nchii hapa watu wanauliwa daily na serikali wewe unafautilia ya zanzibar kama sio tabia za kike.Dhambi ya ubaguzi huwa haiishi kamwe.
Mkimaliza kuwabagua wote waliotofauti nanyi mtaanza kubaguana wenyewe kwa wenyewe kwa rangi au hata maumbo ya miili yenu.
Hao wazanzibari kama wamejitosheleza wanafuata nini huku Tanganyika?Ulisikia wapi ? kule kuna sheria zao fuateni msipeleke demokrasia yenu sio Tanganyika....
Zanzibar ni jamii nyingin usiforce pambana na maisha serikali yako ya Tz.
Ulisikia wapi Zanzibar wanategemea bara wakati wamepokwa mamlaka na bara? , sisi ukanda wa pwani ni ndugu zetu nyie kutoka bara hawahusu .Hao wazanzibari kama wamejitosheleza wanafuata nini huku Tanganyika?
Huna akiliUlisikia wapi Zanzibar wanategemea bara wakati wamepokwa mamlaka na bara? , sisi ukanda wa pwani ni ndugu zetu nyie kutoka bara hawahusu .
Wazanzibar ni ndugu zetu kuliko nyie.Huna akili
Mwanzo 21:9 Baadaye Sara alimwona Ishmaeli, mtoto wa Abrahamu aliyezaliwa na Hagari, Mmisri, akicheza na Isaka mwanawe. 10Basi, Sara akamwambia Abrahamu, “Mfukuzie mbali mjakazi huyu na mwanawe.
HAPA NDIPO ASILI YA UZAO WA CHUKI, ULIPAJI VISASI, MAUAJI, UGAIDI ULIPO ANZIA.
WATU WA VISIWANI NI KAMA WATU WA UZAO WA ISHIMAEL WENGINE, USISUMBUKE NAO
ADUI mkubwa wa Wazanzibari ni DINI na ujinga kwa sababu hawajasoma, hakuna kingine
Hapo nilichoona tatizo kubwa ni shule tu yaani hao jamaa wangekua wamefika hata form two tu wakafeli wasingekua na akili za hovyo namna hio
Hayana uzao wowote wa Ismail. Ni mijitu mieusii tii kama tako la iddi Amin yanatamani kuwa miarabu
sio kila kitu ni dini bro mimi nimesema kwa wale wazinzibar shule haikua upande wao kumtendea binadamu mwanzao yale
Na wao wakija bara tuwachukulie hivyo hivyoMtu yoyote kutoka bara akija kuishi Zanzibar, akili za 90% ya wazanzibar wanawaza mojawapo ya haya;
1. Ni mgalatia mwenye hatari ya kuambukiza ugalatia Zanzibar!
2. Amekimbia dhiki bara ili kuja kuneemeka Zanzibar hivyo kuzuia riziki kwa wazanzibar!
3. Ana malengo maalum mabaya ya siri dhidi ya Zanzibar au wazanzibar!
Angalizo
Ukija Zanzibar njoo kwa tahadhari, adabu na hekima.
sio kila kitu ni dini bro mimi nimesema kwa wale wazinzibar shule haikua upande wao kumtendea binadamu mwanzao yale
wewe pia ina expose namna gan una upungufu au ukosefu wa uelewa kwa kufowad malink yasiyohusiana na mada pale juu muwe na utu
Ali namfahamu,kijana wa Mbagala huyo:-Nimeiona hii video ya kijana Ali mwenye ulemavu na tatizo la kifafa.
Nimesikitika sana alichofanyiwa na wananchi wenzetu wa Zanzibar.
Huyu kijana kwa wanaomjua wanasema amekulia Sinza na ni mlemavu kweli na amekua akiishi kwa kupata vibarua na kuomba msaada wa chakula na hela.
Udhalilishaji aliofanyiwa umeniacha na maumivu makubwa moyoni. Mtu hata kwa kumtazama usoni unaona dhahiri hayuko sawa na asiye na siha njema. Nimesawijika sana.
Wanasema amewaibia lakini hakuna uthibitisho wa hilo. Zaidi unaona ni chuki ya kwa kua ni mtu wa bara na zaidi ukisikiliza clip kwa uzuri kuna mtu anaropoka hawezi kua na msalaba huyo? Hiyo baada ya mmoja kumuuliza bwana Ali kuhusu mtu anaitwa Eric Masawe.
Nimekerekwa sana kwa udhalilishaji huu. Hii chuki ya dini ya mtu inatoka wapi? Asilani siwezi kumchukia mtu kwa dini yake hata kama si wa imani yangu na siafiki mambo juu ya imani yake. Kulikua na haja gani kutaja suala la msalaba?
Mimi kwetu Arumeru baba yangu alikua anakodisha ardhi kwa wazanzibari kiroho safi bila kujali dini zao wala utofauti wa makabila. Lakini, wenzetu hii chuki inatoka wapi?
Bwana Ali ametwezwa sana utu wake. Na huyu ni ndugu muislam vipi kwa asiye muislam? Hivi ndio dini inaelekeza? Kama mnaona kuomba anapata sana basi nanyi muombe muone kama ni jambo la kujivunia.
Wazanzibari mkae mkijua kama ni hasira zenu basi muipelekee CCM na sio wananchi wa kawaida. Huyo ndie adui yenu na adui wa kila mmoja wetu.
Ifike wakati mstaarabike. Dini badala ya kutujenga zinatufanya kuwa mafala na majinga.
View attachment 2977699