Hii video ina-trend ya namna kijana Ali alivyonyanyaswa na kubaguliwa Zanzibar

Tupe jibu Eric Masawe ni nani yake hata awe anamtumia hela kila siku?.
Huyu kuna mtu anayeitwa Erick Masawe ,anaytumia hela anazokusanya,huyu Erick Masawe ni nani kwake?Ndio swali analoulizwa,na hasemi ni nani kwake.Na kwa nini anamtumia hizo hela?Huwenda huyu anatumiwa na huyo mtu kwa nguvu,na pengine wapo wrngine pia huuo Erick,anawalazimisha waombe mitaan na nyumva za ibada,halafu wamtumie yeye hizo hela.
 
Dah wananyanyasa na kubagua hadi Kobaaz mwenzao? Je mimi mgalatia na myahudi mweusi wa Bonyokwa?

adriz hydroxo Mufti kuku The Infinity Accumen Mo
Kama yeye
Kama yeye ni Muislam kweli kwanini aombe hela kwa Waislam halafu hela hizi za Waislam azitume kwa Erick Massawe wakati hilo jina siyo Kiislsm?
Ritz hebu rudi huko kwenye mitandao ya wamatekani uje tushirikiane kumsulubu huyu kafiri anayeomba hela za wana ummat na kutuma kwa makafiri wenzake
 
Hiyo dini yao imewaathiri akili sana wale watu. Dini yenyewe ililetwa toka mbali
Nilikuwa naota...zenji wamepamba moto siku za hivi karibuni, upinde nao wako juu!

- Nchi yote kwa ujumla iko chini ya kisiwa

Kuna lolote la kufikiri?
Kuna hitilafu mahala?
Ni sawa nchi nzima kuwa chini ya upande mmoja?

Wale waimba pambio, wengine wanazo hadi kengele, wanatumia makalio kufikiri?

Nukuu: Raisi wa Zanzibar anaingia kwenye baraza la mawaziri kama waziri!
 
Hakuna kitu kama hiko. Abraham alikuwa Muebrania na Hajiri alikuwa mweusi sasa huyo Mkuresh ametokea wapi?
 
Jamaa wana roho mbaya sana sijapata kuona.
 
Ubaguzi upo kila mahali ndugu yangu, ipo katika misingi ya kikabila, kidini, rangi, ukanda, elimu n.k.

Kikubwa ninacho kiona hapo ni kuwa Bwana Ali alitiliwa shaka kwa mienendo yake na hao raia. Hayo maneno maneno ni katika kumtia kashikashi ili ajue kuwa wamemshtukia.

ANGALIZO: Siungi mkono ubaguzi unaozingatia misingi yoyote ile.
 
Sidhani kama hapo wanamnyanyasa kwa sababu ya Uzanzibar. Sehemu yeyote ombaomba ananyanyasika. Ndio maana kuwa ombaomba si sifa.
 
na waislamn wa kigoma na kondoa sio ndugu zenu? ndio maana tunasema hamna akili. bora mwende tu.
 
na waislamn wa kigoma na kondoa sio ndugu zenu? ndio maana tunasema hamna akili. bora mwende tu.
Kwani nimekuambia kwa kigezo cha dini? Kuwa na akili zanzibar ni pwani wana milki ya ukanda wa pwani wote.
 
Zanzibar wanaongezewa mishahara wanapendana huku kazi kupeleka pesa huKo Dodoma jangwani na Arusha.
 
Kwani nimekuambia kwa kigezo cha dini? Kuwa na akili zanzibar ni pwani wana milki ya ukanda wa pwani wote.
ndo maana nasema shule ni shida. kama haujui, hata kabla hamjafanya mapinduzi dhidi ya mwarabu, sultan alishauza ukanda wooote kuanzia mtwara hadi mombasa. ndio maana hata katiba yenu inatambua mipaka ile ya wakati ule mnafanya mapinduzi, kwasababu kabla ya hapo Tanganyika ilishachora mstari wake. sultani wenu aliuza pwani yote kwa mjerumani na muingereza, na sisi tulipokea kijiti toka kwa muingereza kukiwa na mipaka hii ya sasa. chenu ni kisiwa cha unguja na pemba na tuvisiwa tunatowazunguka tu. Mafia ndio iliuzwa kitambo mno, ushahidi wote upo. pigeni shule ndugu zangu.
 
Hawa Wazanzibar ni mbwa na hawafai kabisa mimi nashangaa huku kwetu kuna watu wanawashobokea sana na kujifanya ndugu zao! Binafsi nawachukia sana.
 
Hawa Wazanzibar ni mbwa na hawafai kabisa mimi nashangaa huku kwetu kuna watu wanawashobokea sana na kujifanya ndugu zao! Binafsi nawachukia sana.
wanamiliki ardhi nyingi sana kigamboni na pwani yote, hadi mikoani wanamiliki ardhi. ila sisi kwao No. kama hatuna akili vile?
 
Shule ipi kenge wewe, hamna ukanda uliouzwa waliondoka ,pwani tumebaki na asili yetu hatufanani na nyie wabara hata mfanyaje ....Ukanda wa pwani ni sehemu ya zanzibar nyie machzi wa bara sio ndugu zetu .

Nionyeshe hizo documents ambazo waliuziwa Tnganyika , pwani sio mali ya mzungu kenge wewe!

Hiyo BOT imeanzishwa na wazanzibar nyie ni kuchapwa kabisa maana hamuelewi kazi vyeti fake tu πŸ˜€ πŸ˜€dogo elimu huna unaforce endelea kumfuata yesu hku hujui kitu ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…