Uko sahihi kiongozi,nakubaliana na weweNadhani ni hivyo japo sina uhakika, ila zamani ilikua tambiko la kipagani na kulikuwa na sanamu (miungu )360 ndani ya kaaba
Ni kama Christmas na pasaka, zilikuwepo kabla ya Yesu ila sherehe za kipagani
MIMI naishi na Imani ya Wakolosai unaambiwaNikujulishe tu hakuna atakayechomwa moto kisa hakwenda hijja,
UrojoHuna hoja zaidi ya porojo ulizoziandika
Al qaaba na mji wa Makkah umekuwa mtukufu tangu enzi na enzi na ibada ya hijjah imeanza tangu enzi hizo
Nilitarajia hoja zako zitaanzia huko ila hata sijui umeandika nini.
Kama ni enzi na enzi basi ni ibada ya kishetani maana uislam umeanza juzijuzi tu karne ya sita au ya sabaHuna hoja zaidi ya porojo ulizoziandika
Al qaaba na mji wa Makkah umekuwa mtukufu tangu enzi na enzi na ibada ya hijjah imeanza tangu enzi hizo
Nilitarajia hoja zako zitaanzia huko ila hata sijui umeandika nini.
ShetaniHivi wanarushaga mawe pia kule Maka? Naomba nieleweshwe ili nijuwe na kama wa Arusha wanamlenga nani siku zote hizo?
Qur'an ngap hio?Kiarabu ni" jannat", jannat = garden.
Ndio mbingu haijawahi kua bustaniSiyo kweli. Nafahamu sana unachokisema lakini haiingii akilini.
Peponi = bustani.
Hiyo lugha ya "mbinguni" kuwa ni peponi ni ya watu wasiokuwa na uhakika na walisemalo.
No. Ni sehemu tofautiPeponi=mbinguni
Huogopi majini?Aliyeleta dini Africa alituweza kweli kweli😀😀
ElezeaNo. Ni sehemu tofauti
Utatupiwa majiniHijja mi naenda kijijini kwetu kuna mbuyu mkubwa sana, nafanya tambiko
Hiyonjwa kitabuNdio mbingu haijawahi kua bustani
Kweli kabisa, sikubishii kwa hilo.Ndio mbingu haijawahi kua bustani
Nipe Mstari najua hukosi Mstari Genesis ngapi?Hiyonjwa kitabu
Kweli kabisa, sikubishii kwa hilo.
Katafute maana ya "garden of Eden".
Mkubwa mzima unaongelea imani za watu na huna hata ujuzi huu ni ushamba wa kijinga sana.Hija ni moja ya ngozo katika dini ya kiislam.
Nguzo nyingine ni shahada,swalat,swaumu na zakat,
Tofauti na Sunni,dhehebu la shia katika mafundisho yao hawafundishi shahada kama nguzo ya kiislam,shahada ni kama kukiri kwa kinywa chako kuwa hakuna Mungu mwingine ila Allah na Mohamad ni mtume wake
Hijjah ni nguzo iliyokaa kimtego mtego maana inabagua kati ya masikini na wenye uwezo ,tofauti na nguzo nyingine,huwezi kwenda hijjah kama uchumi wako ni mdogo,sasa Allah hawezi kuwa mbaguzi kwa waja wake kwa kiasi hicho.matokeo yake inaonekana kama ni sunna,sunna ni kitu ukifanya sio dhambi na usipofanya pia sio dhambi.
Nikujulishe tu hakuna atakayechomwa moto kisa hakwenda hijja,
hijja ni project ya waarabu kupiga hela za utaliikupitia waumini wake,
Mwaka 2022 Saudia iliingiza dola bilioni 150 kupitia religious tourism hasa hijja,takribani trilioni 400 za kitanzania,
Saudi Arabia inaweza kuendesha nchi kupitia hijjah peke yake kama chanzo cha uchumi bila kutegemea sekta nyingine na chenji ikabaki.
Si ajabu Hijjah asili yake ni matambiko ya waarabu wa kale sema wameigeuza na kuonekana ni something spiritual matokeo yake Allah kushikwa hasira hadi kupelekea vifo vya mahujaj kila mwaka
Asee kwa hiyo zile bikira 72 zitaliwa bustanini, huku mito ya mvinyo ikikatiza kwenye bustani,,,,itakua ni mwendo wa kupiga magoli tu mwanzo mwisho bustaniniKwenye bustani ndipo watu hupata kuburudisha nyoyo zao. Peponi.
bora pepo ya hivyo kuliko mambo ya kugeuka kua mtumbuizaji milele tutakaukiwa sauti bwana 😂😂Asee kwa hiyo zile bikira 72 zitaliwa bustanini, huku mito ya mvinyo ikikatiza kwenye bustani,,,,itakua ni mwendo wa kupiga magoli tu mwanzo mwisho bustanini
Binadamu na dini zake!Hija ni moja ya ngozo katika dini ya kiislam.
Nguzo nyingine ni shahada,swalat,swaumu na zakat,
Tofauti na Sunni,dhehebu la shia katika mafundisho yao hawafundishi shahada kama nguzo ya kiislam,shahada ni kama kukiri kwa kinywa chako kuwa hakuna Mungu mwingine ila Allah na Mohamad ni mtume wake
Hijjah ni nguzo iliyokaa kimtego mtego maana inabagua kati ya masikini na wenye uwezo ,tofauti na nguzo nyingine,huwezi kwenda hijjah kama uchumi wako ni mdogo,sasa Allah hawezi kuwa mbaguzi kwa waja wake kwa kiasi hicho.matokeo yake inaonekana kama ni sunna,sunna ni kitu ukifanya sio dhambi na usipofanya pia sio dhambi.
Nikujulishe tu hakuna atakayechomwa moto kisa hakwenda hijja,
hijja ni project ya waarabu kupiga hela za utaliikupitia waumini wake,
Mwaka 2022 Saudia iliingiza dola bilioni 150 kupitia religious tourism hasa hijja,takribani trilioni 400 za kitanzania,
Saudi Arabia inaweza kuendesha nchi kupitia hijjah peke yake kama chanzo cha uchumi bila kutegemea sekta nyingine na chenji ikabaki.
Si ajabu Hijjah asili yake ni matambiko ya waarabu wa kale sema wameigeuza na kuonekana ni something spiritual matokeo yake Allah kushikwa hasira hadi kupelekea vifo vya mahujaj kila mwaka
Haha pepo ya huko makoo yatakauka na hakuna hata mvinyo wa kulainisha koobora pepo ya hivyo kuliko mambo ya kugeuka kua mtumbuizaji milele tutakaukiwa sauti bwana 😂😂
Ila dini bwana ukiwaza unaweza kukufuru 🤣🤣