Mkuu wasipo kuelewa na hapa basi tena.Mtoto wangu anaadabu zile nazohitaji mimi.Wewe wako anaadabu katika mizani yako tusipangiane maisha.
Mtoto wa miaka hiyo hyio mitatu huko China anafundishwa mambo kedekede ukija huku mavumbini mtoto anakazi ya kuimbishwa nyimbo siku nzima😀😀😀
Kwahiyo ndugu mtanzania maisha ni kupanga nyie endeleeni na akina junia wenu wenye kazi ya kupanda kwenye mapaja ya wageni na kulilia soda za wageni .Sisi ngoja tuendelee na akina Shija wetu wenye adabu na utii kama tuliokulia wazazi wao.
Atavibeba baada ya masomo. Na utamwambia na Mzazi wake kuwa nitampa adhabu hii na sidhani kama ni mbaya.Mwanafunzi anayedoji masomo unampa adhabu inayomfanya akose masomo zaidi?
Injury mkuu kuna injury hapo? Hapo kuna pain tu sio injury. Na pain evokes memories kuliko kubeba vidumu vya lita tano
Mbona mambo yapo wazi sana mkuu huku mitaani tena Wenyewe wanawaita 'Watoto wasiku hizi' hawajui hao watoto wa siku hizi wametokana na nini.Kizazi hiki cha wazazi wa kileo bomu tunalopika likija kulipuka hakuna atakayesalimika.
Leo hii mitoto ambayo wazazi wao waliwalea hovyohovyo inavuta bangi, inakaba,inajiuza, inashinda vijiwenu.Jamii haijishughulishi kwa kuwa siku hizi mtoto ni wa mtu sio wa jamii.watu wanasubiri mtoto wako ajae kwenye mfumo wamuwahishe mavumbini.
Hali ni tete vijana wanavuta mibangi, mapusha wanauza bangi waziwazi jamii imebaki ikiangali kwa kuwa jamii imeng'olewa meno.Kesho na keshokutwa takwimu zikitola kila mtanzania anajifanya kushtuka na kustaajabu😄😄😄
Tuendelee kulea ujinga tutastaajabu sanaaaa.
Ujinga tuu kumchapa mtoto kwa kumlazimisha kukariri upuuziKusema ukweli utandawazi umeharibu maadili hivi hapo kina kipi cha ajabu? Kipindi tunasoma sisi mwalimu wetu alikuwa anakuvua kaptura unabaki na chupi ndo anakushushia mvua ya fimbo lakn hakuna kulalamika.
Lakin sasa hiv mnataka mtoto akikosea apetiwe petiwe acheni mambi yenu bwana nyie ndiyo mnasababisha maadili yanaporomoka
Alaaawakubaruuuuuuuuuu.......Kusema ukweli utandawazi umeharibu maadili hivi hapo kina kipi cha ajabu? Kipindi tunasoma sisi mwalimu wetu alikuwa anakuvua kaptura unabaki na chupi ndo anakushushia mvua ya fimbo lakn hakuna kulalamika.
Lakin sasa hiv mnataka mtoto akikosea apetiwe petiwe acheni mambi yenu bwana nyie ndiyo mnasababisha maadili yanaporomoka
Hao watoto wakitoka hapo wanajiunga na Hamas moja kwa moja maana wanakuwa wamekomaa kwa mboko na hawataogopa mabom ya ukanda wa Gaza na magharibi ya mto Jordan
Double standard hii.Atavibeba baada ya masomo. Na utamwambia na Mzazi wake kuwa nitampa adhabu hii na sidhani kama ni mbaya.
Hii ya physical pain ni Physical Abuse.....Inflicting pain on body using your power ni Ukatiri sio njia ya kumuonya mtoto.
Watoto wengine kama ni wakorofi unaachana nao. Dunia itawanyosha huko mbeleni.
Nafahamu mkuu shida hii magnetude haijagusa kisawasawa watoto wa big FISHES.Mbona mambo yapo wazi sana mkuu huku mitaani tena Wenyewe wanawaita 'Watoto wasiku hizi' hawajui hao watoto wa siku hizi wametokana na nini.
Ni kwamba wametokana na Wazazi wa Siku hizi..
kuiga kila kitu kutoka kwa wazungu.
Eti muache junior muache apasue TV ,,avunje Kioo tumuache tuu kisa yeye ni Junio ndio wao watoto wakija Wageni Wanawatia Aibu.
Mtoto huwezi tena kumwambia acha Akaacha lazima uanze kumbembeleza Junior acha ee acha mwanangu acha baba Toto linakazania Sitakiiii mbele ya Wageni unabaki na Aibu zako.
Waache waendelee kufuga watoto Ngoja Sisi Tulee.
Huyo aliyevuliwa bukta na Ustadhi atoe maelezo vizuri ...Hajawahi washenyeta mzee. Au unataka na watoto wa sasahvi wavuliwe bukta kama wewe. Hivi una watoto wewe.
Hii ya physical pain ni Physical Abuse.....Inflicting pain on body using your power ni Ukatiri sio njia ya kumuonya mtoto.
Watoto wengine kama ni wakorofi unaachana nao. Dunia itawanyosha huko mbeleni.
📌Huna akili,unakoment kama umebeba helmet juu ya shingo.Hao watoto wakitoka hapo wanajiunga na Hamas moja kwa moja maana wanakuwa wamekomaa kwa mboko na hawataogopa mabom ya ukanda wa Gaza na magharibi ya mto Jordan
Hawa wazungu pori wasitubabaishe na elimu zao uchwara with poor thinking capacity!!!Kwahiyo mtoto akushinde aje kuuwawa na walimwengu?
Aje kukutesa hospitali na polisi?
Aje kuwa mzigo wako mbeleni?
Aje kusumbua watu?
Yani jukumu lako unalidefer kwa Dunia huko mbeleni?
Mtoto kushindikana ni matokeo ya machaguo yake mwenyewe.Kwahiyo mtoto akushinde aje kuuwawa na walimwengu?
Aje kukutesa hospitali na polisi?
Aje kuwa mzigo wako mbeleni?
Aje kusumbua watu?
Yani jukumu lako unalidefer kwa Dunia huko mbeleni?
Mtoto unampa MACHAGUO? Jesu!Mtoto kushindikana ni matokeo ya machaguo yake mwenyewe.
Aisee
Ni matokeo ya malezi mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.Mtoto kushindikana ni matokeo ya machaguo yake mwenyewe.
Ndiyo maana umekuwa na roho katili namna hii. Unaona siyo ajabu mtoto kupigwa. Umeathirika mpaka ubongo wako.Kusema ukweli utandawazi umeharibu maadili hivi hapo kina kipi cha ajabu? Kipindi tunasoma sisi mwalimu wetu alikuwa anakuvua kaptura unabaki na chupi ndo anakushushia mvua ya fimbo lakn hakuna kulalamika.
Lakin sasa hiv mnataka mtoto akikosea apetiwe petiwe acheni mambi yenu bwana nyie ndiyo mnasababisha maadili yanaporomoka