Hahahahahah...kwamba aje nipige ..hata ham ya papuch yake sina kwa hasira niliyonayoHahahahah akija utapiga atachukua laki 2 ingine tena! [emoji23]
Kibarua ni wewe kutembea na gari bila hela hata ya hongo ya askari![emoji28] Au kwa miguu mpaka kuipata ATM
Haha nyundo ya kichwa paaaa...!Endelea nae tu mkuu sio mnapenda wenye matako na sura za kutokea [emoji28]!!! Hizo ndio gharama zenyewe najua kumuacha huwezi so pambana bro[emoji41]
Aki lazima😂😂 Sio kwa unyonge huo jamaa aliouonyeshaAtakua anamfinyia kwa ndani
Sio kwa kupita na dough yote hiyo, Mwamba afanye mpango arudishe hata nusuEeh ndio maisha yalipofikia yani, demu wako anaweza akaku rob kisha ukaomba mkopo kwake akupatie sehem ya hela zako!
Hasira hua zinapoa mkuuHahahahahah...kwamba aje nipige ..hata ham ya papuch yake sina kwa hasira niliyonayo
Aisee. Navyomjua .na jins nilivyomtumia had leo. Hana jeur ya kukimbia. Sanasana mim ndo na m keep..namwonea huruma kumuacha yan..hana jeur ya kuniacha mim hata mara 1.hahahah..mkuu....hawa watu sasa hiv ndo wanatuhitaj more than everAtakukimbia kabla ya mwaka kuisha kama ukianza huo msimamo![emoji23][emoji23][emoji23]
Bei elekeziWait!!! Kwani ulipanga kumpa ngapi akiwa anaondoka? Au ulijiandaa na "thank you baby it was fantastic and enjoyable"
We huna jeuri ya kumuacha, na yeye pia hivo hivo....mnapendana sana nyie.Aisee. Navyomjua .na jins nilivyomtumia had leo. Hana jeur ya kukimbia. Sanasana mim ndo na m keep..namwonea huruma kumuacha yan..hana jeur ya kuniacha mim hata mara 1.hahahah..mkuu....hawa watu sasa hiv ndo wanatuhitaj more than ever
Ya eneo gani bei ni tofauti kulingana na eneoBei elekezi
Ni kweli mkuu, daah pole sana. Kama una SimBanking fanya muamala hapo chapLaki mbili ni kubwa sana kama huna hata 100 ndugu yangu
Anakuhitaji sababu unacheua mipunga! Ukimpeleka accapela miezi kadhaa lazma apige chini tu! Mwanamke anaeongozwa na njaa sio wa kumuamini.Aisee. Navyomjua .na jins nilivyomtumia had leo. Hana jeur ya kukimbia. Sanasana mim ndo na m keep..namwonea huruma kumuacha yan..hana jeur ya kuniacha mim hata mara 1.hahahah..mkuu....hawa watu sasa hiv ndo wanatuhitaj more than ever
Kama hatoki zaidi ya km 30, apewe hiyo 40 ajikate mkoani tunaangalia umbaliYa eneo gani bei ni tofauti kulingana na eneo
🤣🤣🤣 Sawa mkuu, pole sanaMkuu..niache
Harudishi af hawa wana mapenzi ya mazoea ya kufanyiana drama! 😅😅😅Sio kwa kupita na dough yote hiyo, Mwamba afanye mpango arudishe hata nusu
Wese limepanda mdogo wangu, muwafikirie kina "parcel"Kama hatoki zaidi ya km 30, apewe hiyo 40 ajikate mkoani tunaangalia umbali
Ni shujaa na jasiri anayejua nini anachokitaka na jinsi ya kukipata, alikuwa anamuomba jamaa kwa heshima tu, sasa yeye hakumheshimu🤣😂😂 Ila me nimependa ujasiri wake, kakomba zooote hajataka shida
Sawa mdogo wangu halafu nakutafutaWese limepanda mdogo wangu, muwafikirie kina "parcel"