Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Sahihi kabisa Kaka
 
Sawa inawezekana.
 
Unaonngea point nzito sana yani Hadi inauma.
Tuaishi nao mtaani hawawazu vitu nyeti kiasi hicho.... Upeo mdogo sana sifa nyingi
 
Je unadhani hapa wahusika watakuelewa na utaeleweka kweli?. Wakati protokali inamruhusu kwenda matibabu nje ya nchi?
 
Hizo ni assumption mtu anaweza kuwa na case ya mda mfupi tu na akakimbilia huko
 
Umewaza kitu kama mimi ila vidole vyangu vilikuwa vizito kuposti!
 
Mkuu umeongea kwa umakini mno na kupangilia hoja yako kwa weledi. sisi kama Taifa tumepoteza hazina kubwa sana, Mungu ampokee Ndugulile
 
Hujasoma vema post, hupasw kufanya lobbying, one of the benefits ni unapewa upendeleo wa watu wako being a DG WHO

Hiyo ni one of his responsibilities ndan ya job description yake
Yaani ajira 12 ndio benefits za nchi? Nilidhani ingetupa connection ya kudivert miradi ya WHO/US-CDC kuja Tanzania!!

Mkuu miradi mikubwa duniani ni lobbying ona Kenya wameshawishi taasisi nyingi za magharibi kufungua African offices hapo Nairobi. Hawaji hivi hivi ila kwa connections kupitia diaspora wao kwenye hayo mashirika.

Sisi tunakazania eti ajira 12 na mshahara wa 130M!! Kwamba huyo Ndungilile kaenda WHO kisa mshahara? Kwani pesa walizoiba hao CCM si ana mabilion mpaka sasa!! Mshahara ni nini kwake?
 
Kuna kit hukielewi ndugu yangu..kwann wat hua wanapelekwa India zaid ya nchi zingine izo ulizozitaja.
Nchi za Dunia ya tatu hii zinamambo mengi sana mtu ana ukimwi ila sio ukimwi ngoma ngum
..,Sasa waindi kama ni vitu havieleweki wanaeka sawa kwanza mazingira ndo tunaendelea na tiba za kizungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…