Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?

Status
Not open for further replies.
Kumbe mwenyekiti wangu wa chama kafilisika mawazo kiasi hiki. He is too irational nowdays!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Tatizo la huyo Mbowe nikujiona kuwa ni kiongozi wa wachagga na sio watanzania wote. Ndio maana hilo lichama lake halitakuja kushika dola manaake limejaa ukabila sana.
 
Lugola,siro, mobeyo wote njia moja hao
 
Magu alipambana na ukabila kwa nguvu zote! Hapo kabla ilikuwa na kawaida sana kuona majina ya mushi, masawe, kimario, nk TRA, benki kuu, na mabenki yote nchini! Na wakiwa kwenye nafasi hizo, waliweka mifumo ya upigaji ambao Magu aliufumua kwa bomu la nyuklia! Hivyo Magu hakuchukia wala kuwatenga wachaga bali wapigaji bila kujali makabira yao! Kwa kuwa wengi wa wezi ktk vitengo vilivyoongoza kwa upigaji wachaga walikuwa wengi...wapumbafu wenye upeo finyu kabisa walihusianisha na chuki za kikabila😠! Wanasahau kuwa Magu aliwateua wachaga wengi tu waaminifu kwenye teuzi zake nyingi!
Mbowe ni mkabila ndio maana hataacha kutetea wachaga! Hutasikia akiwasemea waha, wangazija, wamatumbi, wadengeleko nk bali wachaga kwani upeo wake ndipo unapogotea😡!
 
Namnukuu Mbowe

''Miaka mitano ya Hayati Magufuli ilikuwa ni miaka ya mateso kwa watu wa Kaskazini hususan Wachaga, ilifika wakati Magufuli akatoa maagizo ya Wachaga kutoajiriwa Serikalini na kwenye Taasisi za Umma''

Nakumbuka hata Hitler alipiga marufuku Wayahudi kuajiriwa serikalini. Matokeo yake baada ya muda Wafanyabiashara wakubwa wa Ujerumani wakawa ni Wayahudi ambao walikopesha hadi serikali za Ulaya mfano ni familia ya kiyahudi ya Rotschid.

Kuzuia Wachagga wasiajiriwe Serikalini ni vizuri sana maana itabidi wafanye biashara sehemu ambayo tayari wanaimudu sana.

Magufuli alikuwa muovu sana. Kifo kimetusaidia sana kumnyamazisha
 
Mlisema NYERERE kwa kuweka mizani ya maslahi ya watanzania wote....hatuwashangai mkamshambulia kipenzi chetu MAGUFULI....
 
Source yako ni Jery eeh, Wilder beast😡!
 
Inasikitisha kujadili mambo mazito ukiwa na taarifa hafifu. Waziri Msuya alikuwa mbunge wa Mwanga, ni mji mdogo kando ya barabara kubwa ya kutoka Dar kwenda Arusha, SIO mlimani pili swala la umeme sio jambo la kushangaa kwa eneo hili, bwawa la Mungu liko karibu na kituo kikubwa cha kuzalisha umeme Pangani. Raslimali ni nyingi Kaskazini kama ilivyo Serengeti/Usukumani- zote ni za taifa na Nyerere alituanganisha! Leo hii ni wapi utaenda umkose mchagga au msukuma. Lakini unapokuwa kiongozi na kudhihaki kabila fulani, kuonyesha chuki, ndio tatizo kubwa, na hili naamini ndilo analozungumza Mbowe. Unakumbuka yule mama aliyekuwa analalamika kudhulumiwa, Hayati alipomuuliza mdhumulaji ni nani, yule mama akasema Mushi- Hayati alihamiki vipi? Pamoja na utani lakini ilidhihirika alikuwa na issue na kina Mushi! Kwa nini tusiache haya mazungumzo hayana tija
 
HUU UPUUZI ALIKUWA ANAONGELEA WAPI?

Ni mpuuzi pekee anaweza kuona maneno ya Mbowe juu ya ukabila wa JPM kuwa ni kweli JPM ndo ameweka standard kwenye swala la ajira leo mfumo wa kuajiri serikalini na mashirika na taasisi zake lazima upitie utumishi

Nani asiyejua kuwa watu wa kaskazini walikuwa wanaingizana makazini bila ya vigezo? Huuu ni ukweli mchungu sana ulikuwa ukienda mashirika ,taasisi,wizara zote zanye ukwasi wachaga wamejazana je unadhani ilikuwa sahihi je wao ndo wamesoma peke yao JPM yote alikuja kuweka sawa kila mtu apate kazi kwa juhudi na maarifa aliyonayo si ukabila na kuwekena uliokuwa unafanywa na wachaga .

Ni mambo mangapi au watu wangapi wameumia Mbowe kaona hilo la wachaga wenzake ? Mbowe anatangaza Rasmi kuwa chadema ni chama cha kutetea haki za wachaga, na kauli yake inataka kuonyesha chuki za wazi kwa Wasukuma na watu wa kanda ya ziwa sasa na sisi tutaanza kupambana na wachaga sasa wazi wazi winner takes all bhasi.
 
Namnukuu Mbowe

''Miaka mitano ya Hayati Magufuli ilikuwa ni miaka ya mateso kwa watu wa Kaskazini hususan Wachaga, ilifika wakati Magufuli akatoa maagizo ya Wachaga kutoajiriwa Serikalini na kwenye Taasisi za Umma''

Hilo sitaki kuliongelea ... Hii nchi si ya kimila anaonekana kupigania upande mmoja wa wachaga je wale ambao hawana wa kuwasemea?
 
Iwe kasema au haukusema kama ni mfuatiliaji mzuri wa utawala wa mwenda zake ni ukweli usio shaka kwamba aliwanyanyasa sana wachaga na Magufuli alionesha chuki za wazi dhidi ya wachaga na wengi aliwatesa kuanzia wafanya biashara hadi watumishi ktk sekta mbalimbali aliwatesa sana,
 
Wachaga wengi wao wezi pia wachoyo na wanaukabila sana hawafai katika utumishi wa umma....waendelee na biashara zinawatosha.
 
Acha upuuzi, mbowe amekazia maneno kuwa wachaga walibaguliwa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…