road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Ulimiuua mwendazake asante munguUkabila utammaliza Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimiuua mwendazake asante munguUkabila utammaliza Mbowe.
Basi jiwe alikuwa "a curse".Mbowe ni janga.....
Akichukuliwa SERIOUS atasababisha matatizo makubwa mno.....
Wachagga wamesoma sana, lakini nahisi wamesomea WIZI.Pelekenj watoto shule.
Acheni kuabudu uchawi.
🤣🤣Wachagga wamesoma sana, lakini nahisi wamesomea WIZI.
Kwenu mnaweza kumchagulia TUSI LOLOTE.....Basi jiwe alikuwa "a curse".
Si ungezikwa na kipenzi chako sadist!!!!??Mlisema NYERERE kwa kuweka mizani ya maslahi ya watanzania wote....hatuwashangai mkamshambulia kipenzi chetu MAGUFULI....
Kumbe baba yako akifa huwa mapenzi yanamalizika zwazwa?!!Si ungezikwa na kipenzi chako sadist!!!!??
Mungu akubariki sana mkuu Njilembera ,umeandika kwa hekima sana. Ushauri mzuri sana.Inasikitisha kujadili mambo mazito ukiwa na taarifa hafifu. Waziri Msuya alikuwa mbunge wa Mwanga, ni mji mdogo kando ya barabara kubwa ya kutoka Dar kwenda Arusha, SIO mlimani pili swala la umeme sio jambo la kushangaa kwa eneo hili, bwawa la Mungu liko karibu na kituo kikubwa cha kuzalisha umeme Pangani. Raslimali ni nyingi Kaskazini kama ilivyo Serengeti/Usukumani- zote ni za taifa na Nyerere alituanganisha! Leo hii ni wapi utaenda umkose mchagga au msukuma. Lakini unapokuwa kiongozi na kudhihaki kabila fulani, kuonyesha chuki, ndio tatizo kubwa, na hili naamini ndilo analozungumza Mbowe. Unakumbuka yule mama aliyekuwa analalamika kudhulumiwa, Hayati alipomuuliza mdhumulaji ni nani, yule mama akasema Mushi- Hayati alihamiki vipi? Pamoja na utani lakini ilidhihirika alikuwa na issue na kina Mushi! Kwa nini tusiache haya mazungumzo hayana tija
Mbowe anazungumzia Ajira au Teuzi ?"Watu wengi wa Magu wa karibu hawakuwa wasukuma.
Mfano:
Wewe Mkaruka ,hapo juu unazungumzia teuzi ama ajira!?
- Mfugale
- Kijazi
- Kabudi
- Pole pole
- Bashiru"
Mbona unaonyesha ukilaza wako hadharani!!??
Ukiwa kilaza,usipende kuongea au kuandika sana maana utajulikana na kuchekwa ewe mjane.
Ukimchukia JPM basi pia umchukie NYERERE aliyeweka MIZANI bora juu ya maslahi mapana ya kila MTANZANIA......Mungu akubariki sana mkuu Njilembera ,umeandika kwa hekima sana. Ushauri mzuri sana.
👍Mbowe anazungumzia Ajira au Teuzi ?
Na kama ni ajira anazungumzia ajira zipi ? Za UTUMISHI ?
Au hizi za mass employment kama Afya na Ualimu ?
Una maana clip imetengenezwa tik tok?Hii si kweli, Ila pia sina imani na chanzo Cha habari, mbowe hawezi kusema hivyo
Endeleeni na ushirikina mkiamini utawatoa.Wachagga wamesoma sana, lakini nahisi wamesomea WIZI.
Leo nipo Mkuranga - shambani huku nanunua ufuta. Wasukuma wamejaa huku balaa. Wanashukuru kwa mwendazake kuenda zake maana wanasema alikuwa ni "shetani".Kwenu mnaweza kumchagulia TUSI LOLOTE.....
Mwendazake atabaki kuwa KIPENZI CHA WATANZANIA WALIO WENGI zaidi yenu wachache.....
Ninyi endeleeni na WIZI naona umewatoa sana.Endeleeni na ushirikina mkiamini utawatoa.
Na kama ni Kweli kasema basi ushahidi anao,shida hata banwa na vyombo vya dola ili athibitishe.Hii si kweli, Ila pia sina imani na chanzo Cha habari, mbowe hawezi kusema hivyo
kama usemayo yanakweli, why mungu hafanyi hivyo kwa mabeberu yanayotufanyia dhuluma, kutunyonya na kututawala kwa mabavu miaka nenda rudi?Hakuna uganga wala Uchawi juu ya nyumba ya Israeli..
Wachaga hawakipigana vita na Mwendazake, maana Mungu aliaahidi, for the battle is not yours ...
Ajaribu mwingine nae apendwe zaid....