Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Zaidi nimekwambia, yani ya baba yak3 yawakute wanae mara mbili zaidi watakuwa wamerithi kwa babu yao hata hivyoKwa hio na wewe unamuombea mabaya na yeye yamkute km ya Baba yake aliwe kiboga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi nimekwambia, yani ya baba yak3 yawakute wanae mara mbili zaidi watakuwa wamerithi kwa babu yao hata hivyoKwa hio na wewe unamuombea mabaya na yeye yamkute km ya Baba yake aliwe kiboga?
Bimaza na Mange wamefungua mashine ya kusaga na kukoboa nafaka?Wana machine za kusagana na mange wake
Baby yao tena?Zaidi nimekwambia, yani ya baba yak3 yawakute wanae mara mbili zaidi watakuwa wamerithi kwa babu yao hata hivyo
Usinichoshe na weweBaby yao tena?
😂 Typo nimemaanisha Babu yaoUsinichoshe na wewe
Mkuu uko sahihi Ila tusubirie Kwanza orodha ya makonda labda huyo unayemwqmbia naye yumoHaya mambo yamenizidia huyu Mange Kimambi anamdhalilisha sana Rais wetu na baadhi ya Watanzania wanafurahia kabisa kuona mambo haya hii ni aibu kwa Taifa letu...
Sawa kama wewe ni Mungu.Hakuna atakaye compete naye mpaka awamu yake ya pili iishe fullstop. Na washasema inatoka fomu moja tu. Hizo zilizobaki ni hisia zako wewe na ni haki yako kuwaza unachowaza.
🤣itakuwa, si bure
Amewahi kumtukana sana zamani, labda wewe ni mgeni mjini au ulikuwa bado mdogo.Mange na makamba na mwamvita ni timu ya kufa na kuzikana
Mange hajawahi kumtukana makamba
Akili ndogo nyie
Maelezo kidogo..anasema shilole anapigishana short na kiongozi
Sina maelezo mkuu ila matusi matus mazito Sana hayo kumtuhuku kiongozi wetu DrMaelezo kidogo..
Tumefikaje hapa? Hivi kweli kwa matusi na udhalilishaji uliofanywa na huyu mdada taasisi na Rais mwenyewe waliweza kushindwa kufikiri kuwa mtu kama Mange akupaswa kumsogelea au kupata nafasi ya kuwa karibu na Rais? Hivi hata kama Samia na Magufuli hawakuwa ndugu lakini kile kuwa makamo wa Rais wake hakupaswa hata kumsogelea kabisa hivi huyu kichaa kweli ndio wakumsogelea na kuwa rafiki wa Rais?Nami dadangu naliangalia hili kwa upande wa pili, yaani mama, mke, bibi, mkwe.
Serikali ichukue hatua dhidi ya utukanaji kwa mwananchi yeyote,siyo mpaka awe kiongozi.
Lugha ya kuudhi na uzalilishaji ni makosa, ni nani anayetakiwa kushitaki!!??
Either hajui au anapotosha kwa makusudi, Hii ni vita ya Urais ndiyo, mtu anaweza kujiuliza ni kivipi wakati Mama lazima amalize muda wake? Ndio maana huyo uliyomqoute ameisisitiza hii point, ukweli ni kuwa January is now 50 of age, rafu anayocheza ni kumuomba mama asigombee mwakani kusudi agombee yeye, kwasababu kumuacha mama agombee mwakani ni kumfanya Januari asubiri miaka mingine 15 ndipo aje agombee (kama Mungu atamjalia). Hii uncertainty ndiyo inayowafanya hiyo team wafosi kuachiwa kugombea 2025.Mkuu hiyo ya lazima Samia amalize vipindi viwili umeisoma wapi!?,kwanini unakomaa watu wakariri hivyo!?,unaficha nini nyuma ya pazia?,wewe ni Mungu?,una guarantee gani ya maisha kwa kiongozi yeyote!?,michango yako sio ya wachangiaji wa kawaida JF, una ajenda za siri nyuma yako, mwanzoni sikugundua hilo, kuna vitu unakomalia sana hadi umeshtukiwa.