Historia|Wasifu: Je, Benjamin William Mkapa ni nani hasa?

Historia|Wasifu: Je, Benjamin William Mkapa ni nani hasa?

Aende zake kuleeh akakutane na aliowaua 2001 pale Zanzibar, na imani watazungumza vizuriih kuhusu hilo.
 

Benjamin William Mkapa alizaliwa mnamo 12 November 1938 huko Ndanda Wilayani Masasi Mkoani Mtwara. Alimaliza Shahada ya kwanza ya Lugha ya Kiingereza kutoka Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda mwaka 1962

Mwaka 1963 alihitimu shahada ya Uzamili katika Mahusiano ya Kimataifa kutoka katika Chuo Kikuu cha Columbia

Aliwahi kuwa Afisa Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Waziri wa Sayansi na Teknolojia, alikuwa Balozi (Canada) 1982 na baadaye nchini Marekani 1983 - 1984

Aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, 1977 - 1980 na 1984 hadi 1990

Alichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia 1995 - 2005

Alikuwa miongoni mwa viongozi walioshiriki kutatua Mgogoro wa Uchaguzi nchini Kenya mwaka 2007 - 2008

Aliteuliwa kuwa msuluhishi wa mgogoro wa nchi ya Burundi mwaka 2016 - 2019


SHAHADA ZA HESHIMA ALIZOWAHI KUTUNUKIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA:
Mwaka 1998 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Sōka University (Japan)

Mnamo mwaka 1999 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Morehouse College (Marekani)

Mwaka 2003 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Mwaka wa 2005 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Sheria na Chuo Kikuu cha National University of Lesotho (Lesotho)

Mwaka 2005 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Elimu na Chuo Kikuu cha Kenyatta (Kenya)

Mwaka 2006 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Dar es Slaam (Tanzania)

Mwaka 2007 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Sheria (Civil Law) na Chuo Kikuu cha Newcastle (England)

Mwaka 2008 alitunukiwa Shahada ya Juu katika Sheria na Chuo Kikuu cha Cape Coast (Ghana)

Mwaka 2009 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Sheria na Chuo Kikuu cha Makerere (Uganda)


MITAA, MAENEO NA MAJENGO YALIYOPEWA JINA KWA HESHIMA YA BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Ukumbi wa Benjamini Mkapa uliopo Jijini Mbeya katika Mtaa wa Sokomatola

Barabara ya Benjamini Mkapa inayounganisha eneo la Mtoni Kidatu na Uwanja wa Ndege wa Abeid Aman Karume kupitia Daraja Bivu Zanzibar

Daraja la Mkapa ambalo ndilo daraja refu nchini (Tanzania) lenye urefu wa Mita 970

Jengo la Benjamin William Mkapa Pension Tower, ambalo ni miongoni mwa majengo marefu nchini (Tanzania) lipo Jijini Dar es Salaam

Eneo la Ukanda Maalum wa Uchumi wa Benjamin William Mkapa uliopo Jijini Dar es Salaam

Shule ya Sekondari ya Mererani Benjamin William Mkapa Secondary iliyopo Mkoani Manyara

Shule ya Sekondari ya Benjamin William Mkapa iliyopo Kariakoo Jijini Dar es Salaam

Hospitali ya Rufaa ya Benjamin Mkapa iliyopo Jijini Dodoma

Shule ya Msingi ya Benjamin Mkapa iliyopo Mtaa wa Makunguru Jijini Mbeya

Pumzika kwa amani Mzee Benjamini William Mkapa

PIA SOMA:
= > Breaking News: - TANZIA: Rais wa awamu ya 3, Benjamin William Mkapa afariki dunia
 
Unajua unapotumia maneno "NI NANI HASA" tunategemea uje na info exclusive ambazo jamii haikuwa inazifahamu au zilikuwa zinafahamika na wachache Sana. Sasa wewe unatuletea taarifa ambazo hata mtoto mdogo anazijua. Disappointed.
 

Benjamin William Mkapa alizaliwa mnamo 12 November 1938 huko Ndanda Wilayani Masasi Mkoani Mtwara. Alimaliza Shahada ya kwanza ya Lugha ya Kiingereza kutoka Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda mwaka 1962

Mwaka 1963 alihitimu shahada ya Uzamili katika Mahusiano ya Kimataifa kutoka katika Chuo Kikuu cha Columbia

Aliwahi kuwa Afisa Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Waziri wa Sayansi na Teknolojia, alikuwa Balozi (Canada) 1982 na baadaye nchini Marekani 1983 - 1984

Aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, 1977 - 1980 na 1984 hadi 1990

Alichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia 1995 - 2005

Alikuwa miongoni mwa viongozi walioshiriki kutatua Mgogoro wa Uchaguzi nchini Kenya mwaka 2007 - 2008

Aliteuliwa kuwa msuluhishi wa mgogoro wa nchi ya Burundi mwaka 2016 - 2019


SHAHADA ZA HESHIMA ALIZOWAHI KUTUNUKIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA:
Mwaka 1998 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Sōka University (Japan)

Mnamo mwaka 1999 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Morehouse College (Marekani)

Mwaka 2003 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Mwaka wa 2005 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Sheria na Chuo Kikuu cha National University of Lesotho (Lesotho)

Mwaka 2005 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Elimu na Chuo Kikuu cha Kenyatta (Kenya)

Mwaka 2006 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Dar es Slaam (Tanzania)

Mwaka 2007 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Sheria (Civil Law) na Chuo Kikuu cha Newcastle (England)

Mwaka 2008 alitunukiwa Shahada ya Juu katika Sheria na Chuo Kikuu cha Cape Coast (Ghana)

Mwaka 2009 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Sheria na Chuo Kikuu cha Makerere (Uganda)


MITAA, MAENEO NA MAJENGO YALIYOPEWA JINA KWA HESHIMA YA BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Ukumbi wa Benjamini Mkapa uliopo Jijini Mbeya katika Mtaa wa Sokomatola

Barabara ya Benjamini Mkapa inayounganisha eneo la Mtoni Kidatu na Uwanja wa Ndege wa Abeid Aman Karume kupitia Daraja Bivu Zanzibar

Daraja la Mkapa ambalo ndilo daraja refu nchini (Tanzania) lenye urefu wa Mita 970

Jengo la Benjamin William Mkapa Pension Tower, ambalo ni miongoni mwa majengo marefu nchini (Tanzania) lipo Jijini Dar es Salaam

Eneo la Ukanda Maalum wa Uchumi wa Benjamin William Mkapa uliopo Jijini Dar es Salaam

Shule ya Sekondari ya Mererani Benjamin William Mkapa Secondary iliyopo Mkoani Manyara

Shule ya Sekondari ya Benjamin William Mkapa iliyopo Kariakoo Jijini Dar es Salaam

Hospitali ya Rufaa ya Benjamin Mkapa iliyopo Jijini Dodoma

Shule ya Msingi ya Benjamin Mkapa iliyopo Mtaa wa Makunguru Jijini Mbeya

Pumzika kwa amani Mzee Benjamini William Mkapa

PIA SOMA:
= > Breaking News: - TANZIA: Rais wa awamu ya 3, Benjamin William Mkapa afariki dunia
Apumzike kwa amani. Umetaja wilaya, mbona wengi pia hawataji kijiji alikozaliwa? Kwenye kitabu chake ameandika tukio la bibi yake kuuwawa na wanakijiji kwa tuhuma za ulozi wa mvua. Kwa nini familia hiyo tu ililengwa?
 
Namjua kama mtu asie shindwa jambo, akitumwa tegemea ushindi tu kama unabisha muulize wenje atakwambia
 
This is too cheap bro! Think harder, Hospital ya St. Fransis London ni hospitali yenye hadhi na jina kubwa, haiwezi kudanganya kuhusiana na sababu za kifo cha Baba wa Taifa, kama unazo tofauti zako na Mh. Ben uzitaje tuzifahamu kuliko kuzusha mambo yasiyo na msingi!
Ben ni moja wa maraisi bora kabisa kupata kutokea hapa Afrika


Rais bora kwa kutuulia ndugu zetu, kunajisi, kuiba , kuwapeleka ndugu zetu uhamishoni . Hatukuwa na Mamlaka ya kumshitaki . Mungu atatuhukumia kwa vitendo alivyotufanyia LAANATULLAHI MKAPA
 
Rais bora kwa kutuulia ndugu zetu, kunajisi, kuiba , kuwapeleka ndugu zetu uhamishoni . Hatukuwa na Mamlaka ya kumshitaki . Mungu atatuhukumia kwa vitendo alivyotufanyia LAANATULLAHI MKAPA
Hata mitume kuna watu waliwatukana na wengine kuwa kuwauwa kabisa, hata uwe na maneno gani kwa Ben, bado yeye at atabakikuwa Raisi bora na mwenye uweredi wa hali ya juu sana!
Nina uhakika yeye yuko juu kulinganisha na maraisi wengi waliowahi kutokea bara baraniAfrica!
 
Dah pamoja na shahada zote hizo za heshima hakuwahi kujiita Dr Kuna jambo la kujifunza hapa...

R.I.P
Hiki kilikuwa kichwa,sio ma DR wetu wa sasa,ambao richa ya kupata hizo PHD zao,ambazo wamezisoma kwa kizungu,lakini hiyo lugha inawapiga chenga balaa,kiasi kwamba comand yao ya lugha utafikiri mtoto wa kidato cha tatu,
Ni wababe hapa ndani ya mipaka ya nchi,ambapo,hawapingwi,kila wanachoongea,wanapigiwa makofi,ukiwapereka kwenye mijadara mizito ya thinkers,mishuzi tu inawatoka,ni majogoo ya shamba,hayawiki mjini,
 

Benjamin William Mkapa alizaliwa mnamo 12 November 1938 huko Ndanda Wilayani Masasi Mkoani Mtwara. Alimaliza Shahada ya kwanza ya Lugha ya Kiingereza kutoka Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda mwaka 1962

Mwaka 1963 alihitimu shahada ya Uzamili katika Mahusiano ya Kimataifa kutoka katika Chuo Kikuu cha Columbia

Aliwahi kuwa Afisa Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Waziri wa Sayansi na Teknolojia, alikuwa Balozi (Canada) 1982 na baadaye nchini Marekani 1983 - 1984

Aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, 1977 - 1980 na 1984 hadi 1990

Alichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia 1995 - 2005

Alikuwa miongoni mwa viongozi walioshiriki kutatua Mgogoro wa Uchaguzi nchini Kenya mwaka 2007 - 2008

Aliteuliwa kuwa msuluhishi wa mgogoro wa nchi ya Burundi mwaka 2016 - 2019


SHAHADA ZA HESHIMA ALIZOWAHI KUTUNUKIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA:
Mwaka 1998 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Sōka University (Japan)

Mnamo mwaka 1999 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Morehouse College (Marekani)

Mwaka 2003 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Mwaka wa 2005 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Sheria na Chuo Kikuu cha National University of Lesotho (Lesotho)

Mwaka 2005 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Elimu na Chuo Kikuu cha Kenyatta (Kenya)

Mwaka 2006 alitunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Dar es Slaam (Tanzania)

Mwaka 2007 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Sheria (Civil Law) na Chuo Kikuu cha Newcastle (England)

Mwaka 2008 alitunukiwa Shahada ya Juu katika Sheria na Chuo Kikuu cha Cape Coast (Ghana)

Mwaka 2009 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Sheria na Chuo Kikuu cha Makerere (Uganda)


MITAA, MAENEO NA MAJENGO YALIYOPEWA JINA KWA HESHIMA YA BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Ukumbi wa Benjamini Mkapa uliopo Jijini Mbeya katika Mtaa wa Sokomatola

Barabara ya Benjamini Mkapa inayounganisha eneo la Mtoni Kidatu na Uwanja wa Ndege wa Abeid Aman Karume kupitia Daraja Bivu Zanzibar

Daraja la Mkapa ambalo ndilo daraja refu nchini (Tanzania) lenye urefu wa Mita 970

Jengo la Benjamin William Mkapa Pension Tower, ambalo ni miongoni mwa majengo marefu nchini (Tanzania) lipo Jijini Dar es Salaam

Eneo la Ukanda Maalum wa Uchumi wa Benjamin William Mkapa uliopo Jijini Dar es Salaam

Shule ya Sekondari ya Mererani Benjamin William Mkapa Secondary iliyopo Mkoani Manyara

Shule ya Sekondari ya Benjamin William Mkapa iliyopo Kariakoo Jijini Dar es Salaam

Hospitali ya Rufaa ya Benjamin Mkapa iliyopo Jijini Dodoma

Shule ya Msingi ya Benjamin Mkapa iliyopo Mtaa wa Makunguru Jijini Mbeya

Pumzika kwa amani Mzee Benjamini William Mkapa

PIA SOMA:
= > Breaking News: - TANZIA: Rais wa awamu ya 3, Benjamin William Mkapa afariki dunia
mbona kuhusu familia amsemi?mf alioa lini na watoto,wajukuu n.k
 
Mzee asiye na makuu, pumzika kwa amani, ni matumaini yangu utakuwa pamoja na mwalimu, mtuombee sisi tuliobaki duniani
 
Hata mitume kuna watu waliwatukana na wengine kuwa kuwauwa kabisa, hata uwe na maneno gani kwa Ben, bado yeye at atabakikuwa Raisi bora na mwenye uweredi wa hali ya juu sana!
Nina uhakika yeye yuko juu kulinganisha na maraisi wengi waliowahi kutokea bara baraniAfrica!


Yaani unamlinganisha Laanatullahi Mkapa na mitume ?? Yaani unataka kutuambia kuwa mitume waliwapa vyeo maaskari waliokwenda kuuwa watu na kunajisi wanaume na wanawake na kuwafanya watu wakimbie nchi zao??

Ama kweli Apendae chongo huona kengeza

Haya endelea kumuona Laanatullahi Mkapa ni Mtume wako
 
Back
Top Bottom