Historia|Wasifu: Je, Benjamin William Mkapa ni nani hasa?

Historia|Wasifu: Je, Benjamin William Mkapa ni nani hasa?

Ndiyo. Alikuwa kiongozi mzuri na kama binadamu wa kawaida pia alikuwa na mapungufu yake. Uuzaji wa kiholela wa mashirika ya umma, mauaji ya Mwembechai (alishalijutia hili) na tamaa yake ya kujilimbikizia mali mpaka ikabidi watu wapige makelele kwenye baadhi ya mambo (mf. Kujimilikisha mradi wa makaa wa Kiwira) kunaonyesha udhaifu wake. Ila aliiacha nchi ikiwa na neema kuliko alivyoikuta. Apumzike kwa amani kiongozi huyu mzalendo, msomi na mwenye uwezo mkubwa wa kujieleza [emoji1545][emoji1545]
 
The late Mkapa was an African icon who believed in the economic emancipation of our continent. He also believed in the establishment of strong institutions in order to bring national development . He was very thorough in his undertakings and loathed mediocrity. He has bequeathed our nation with an endelibre legacy.
 
Ndiyo. Alikuwa kiongozi mzuri na kama binadamu wa kawaida pia alikuwa na mapungufu yake. Uuzaji wa kiholela wa mashirika ya umma, mauaji ya Mwembechai (alishalijutia hili) na tamaa yake ya kujilimbikizia mali mpaka ikabidi watu wapige makelele kwenye baadhi ya mambo (mf. Kujimilikisha mradi wa makaa wa Kiwira) kunaonyesha udhaifu wake. Ila aliiacha nchi ikiwa na neema kuliko alivyoikuta. Apumzike kwa amani kiongozi huyu mzalendo, msomi na mwenye uwezo mkubwa wa kujieleza [emoji1545][emoji1545]
Mauaji ya Mwembechai Rais alikua ALLY HASSAN MWINYI
 
Na vitabu kedekede, kitabu kimoja wanafunz 3 ratio nakumbuka nikiwa s.t.d 3, sahv mashulen vitabu hamna kbsa. Aliingia madarakani walimu hata chaki walikuwa hawana ila mpka anaondoka chaki jambo la kawaida. Uongozi wa mwinyi ulitucheleweshea Sana maendeleo
Benja alifuta ada ya primary school kutoka buku mpaka bureeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipende kuishi kwa negative thought Sana mkuu, ipi ni impact ya alilolisema ktk maisha ya uhalisia. Ilikuwa ni politics tuu and nothing more. Ila ukwel uyu jamaa alitengeneza structure ya nchi mpaka leo ipo hivi, laiti angelipokea kijiti kwa JKN alafu kijiti yeye akampa JPM aisee hii nchi ingekuwa mbali sanaa
Kama aliwaita Watanzania malofa,hata yeye atakuwa lofa tu.
R.I.P
 
Mashirika mengi yalianzishwa kwa mwongozo wa world bank mfano TRA, Kenya revenue authority na uganda revenue authority zilianzishwa pamoja mwaka 1996... sawa sawa na NHIF na mengineyo yalianzishwa pamoja nchi zote africa
 
Acha kumfananisha Kikwete, put some respect kid!
Kikwete ndio kaifikisha hii nchi katika hali mbaya sana, sababu ya kukosa mipango imara, kama kikwete angekua makini angerekebisha mapungufu ya awamu ya tatu leo magufuli angekua anadili na mipango mingine, sasa magufuli anarekebisha makosa ya awamu ya tatu na nne ( hapo ndio kuna tatizo kubwa mno) kikwete hakua kiongozi imara, alishindwa kuendelea pale alipoishia mkapa kwa kurekebisha mapungufu yake tungekua mbali,
Mfano kurekebisha mikataba n.k
 
Ni kawaida ya binadamu kupuuzia mazuri ya kitu cha zamani,
Jaribu kufikiria nje ya box mkuu, usiyumbishwe na siasa.
Mi siyumbushwi na siasa ndio maana nakupa na mifano. Tuambie wewe hayo mazuri ya kikwete , ya kufanya hasipuuziwe?
 
Kwa maelezo ya kutoka kwa mkaribu hasa wa Marehemu Raisi a.k.a Mwita Kiaro (brother in law)
The late BWM llikuwa anapenda sana Chapati na mchuzi wa nyama.
 
Kikwete ndio kaifikisha hii nchi katika hali mbaya sana, sababu ya kukosa mipango imara, kama kikwete angekua makini angerekebisha mapungufu ya awamu ya tatu leo magufuli angekua anadili na mipango mingine, sasa magufuli anarekebisha makosa ya awamu ya tatu na nne ( hapo ndio kuna tatizo kubwa mno) kikwete hakua kiongozi imara, alishindwa kuendelea pale alipoishia mkapa kwa kurekebisha mapungufu yake tungekua mbali,
Mfano kurekebisha mikataba n.k
Kipi kipya amekuja nacho Magufuri hakikuanza na Kikwete? Rais gani kajenga miundombinu mingi ya brbr? Ni kipindi gani uhuru wa kujieleza uliimarika zaidi? Ni kipindi gani zimejengwa shule na vyuo vikuu vingi zaidi,
 
TRA, TCRA, TAKUKURU, NHF, shirika la mikopo elimu ya juu, NSSF, TASAF, MKURABITA, TPA, EWURA, TAA, TTB(bodi ya utalii), n.k

Hivi ni kichwa hiki hiki kimoja cha uyu mzee kilifanya haya yote. Nimetafakari sana nikagundua huyu jamaa ndio mtu alie itengeneza structure ya nchi, huyu mzee anastahili heshima kubwa mno. Mimi naweza kumuita baba watafa baada ya Nyerere.

Pumzika kwa amani
Benjamin William MkapaView attachment 1519015

Aaah, eti nini! Baba wa Taifa?!? Acha kabisa maneno hayo. Nyerere ni habari nyingine kabisa. Kama hujui uliza. Huyo Mkapa hastahili hata kulegeza gidamu ya viatu vya Nyerere.
 
Alianzisha Wizara ya ushirika na masoko.
Akaanzisha Co-operative Reform and Modernization Program 2005-2015 lengo ikiwa ni kufufua nguvu ya ushirika kwenye kuuza mazao na bidhaa za wazalishaji.
Bahati mbaya Kikwete akaona ushirika unafanana na kilimo (kitu ambacho si kweli) akaivunja Wizara na kuirudisha Wizara ya Kilimo.
 
Back
Top Bottom