Historia|Wasifu: Je, Benjamin William Mkapa ni nani hasa?

Historia|Wasifu: Je, Benjamin William Mkapa ni nani hasa?

Nakubali kwamba Mkapa was the brightest president after Mwalimu lakini hizo sifa ulizompa kutokana na uanzishwaji wa hayo yote, mengi hayakutokana na akili yake bali external force!!

TRA-- hii ilianzishwa awamu ya Mwinyi, Mkapa amekuja kula matunda yake tu! Uanzishwaji wake ni external force ya Mabeberu kupitia Structural Adjustment Program!

TAKUKURU-- Hii haikuanzishwa na Mkapa bali na Kikwete! Mkapa alianzisha TAKURU, yaani Taasisi ya Kuzuia Rushwa, JK ndo akaanzisha ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa!

Na kabla ya hapo sio kwamba hatukuwa na taasisi kuhusu hayo mambo, hell no... we'd Kikosi cha Kuzuia Rushwa!

TCRA-- Yes, Mkapa

NSSF- Yes, Mkapa lakini sio kwamba alianzisha kitu kipya kwa sababu kabla ya hapo ilikuwa inaitwa NPF. Mabadiliko ya kiuchumi ambayo na yenyewe yaliasisiwa naMabeberu yalilazimisha kufanya mabadiliko ya mifuko ya hifadhi za jamii!!

TPA-- Yes, Mkapa lakini hakuna kipya saaaaana hapo ambacho kilianzishwa na Mkapa kwa sababu TPA ilikuja kuchukua nafasi ya THA, na kupewa mamlaka ya kusimamia na bandari za maziwani ambazo hapo kabla hazikuwa chini ya THA!

Lakini wakati Mkapa anafanya hayo ambayo positive, kwa mkono wa kushoto akaisaliti TPA baada ya kuuuza container terminal kwa TICTS! Sitasahau siku uncle anarudi home anaonekana yupo down ile mbaya; namuuliza kulikoni, akaishia kusema "Yaani Mkapa!"

Siku ya pili ndipo akanijuza kwamba jana yake TICTS walikuwa wamefanya bonge la sherehe la ku-break even only 10 months after acquiring the container terminal!!! Mbaya zaidi, kabla hawajamaliza mkataba wao wa kwanza, akawaongezea miaka mingine 10 wakati anajiandaa kuondoka madarakani!!

Bodi ya Utalii-- Hii ilianzishwa na Utawala wa Mwinyi ikichukua nafasi ya Tanzania Tourist Corporation.

TAA-- Yes, Mkapa but it wasn't something new kwa sababu ilianzishwa ku-take over majukumu ya Kurugenzi ya Masuala ya Anga!

MKURABITA, TASAF, na MKUKUTA (uliisahau hii)-- Haya ni matunda ya Mabeberu wa IMF, WB, Paris Club na Donors wengine ambao walikubaliana kupunguza madeni kwa zile walizoita Heavily Indebted Poor Countries!

Mabeberu walitoa orodha ya nchi 38 including TZ ambazo zingesamehewa madeni kwa sharti kwamba wakishaonesha nia, basi kiasi cha deni kutoka kwa mabeberu kielekezwe kuhudumia wananchi badala ya kupeleka kwa mabeberu!

Mabeberu waliorodhesha maeneo walikotaka pesa zao zitumike, na ndipo ikaanzishwa Mkakati wa Kukuza na Kuondoa Umaskini (MKUKUTA)

Through MKUKUTA, serikali ya Mkapa na zingine ambazo zingefuatia zilitakiwa kuelekeza pesa za mabeberu kwenye: access to education (ndipo ikazaliwa Shule za Kata), access to health service (ndiyo inayotekelezwa leo na Magu), kupunguza umaskini wa kipato )ndipo ikaja TASAF, na hapo pia ndipo ikaja MKURABITA ambayo ilikuwa influenced na Professor Hernando de Soto!
Thanks that is jf we want your truly great thinker
 
Mungu ailaze pema peponi roho ya mzee Mkapa.

Alikuwa hana ubaguzi wa kidini, kisiasa wala kikabila aliwahudumia wananchi wote kwa usawa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mzee Mkapa ametufikisha hapa tulipo ameweza kuanzisha tasaf,elimu ya masafa open University,kuongeza shule hakika ndani yangu utabaki.
 
29 Julai 2020
Dar-es-Salaam, Tanzania





Hellen Kijo Bisimba, Akilimani Gemma, Johnson Minja, Jenrali Ulimwengu

Source: Jenerali online
 
Huyu mzee alifanya mambo makubwa sana lakini hakupenda sifa za kijinga hata kidogo, kama binadamu naye alikuwa na mapungufu yake.
 
Hello wana if, hebu tufahamishane kidogo kuhusu familia ya Mh. Mkapa (R.I.P). Alikuwa na watoto wangapi ?.

Na uhusiano wa mke wa Mh. Mkapa na Mramba ukoje?
 
Nikiongea mimi Kingereza kizuri kuliko mtukufu utasikia, oooh English is just another language! Ubeberu!

Mkapa baada ya kufariki imekuwa ni sifa ya ziada eti oooh alimzidi hadi Nyerere kwa English!!

Pathetic!
 
And I am proud to be his child in that context lakini nataka kujua zaidi sina nia mbaya
Tambua tumeshafika uchumi wa kati sasa ukianza kupoteza muda kujua maisha ya mtu mwingine baada ya kuutumia muda huu kujiingizia kipato na kuendeleza Taifa unakosea sana.
 
Naomba mwenye picha ya Mkapa RIP ile naiona Instagram amevaa shati la blue ya kukolea sana, halafu ipo kama ya kuchora nahisi.

Mwenye anaweza kuiweka hapa ili niidanilodi nitashukuru.
 
Back
Top Bottom